Ujumbe kwa wanaume wote wanaolalamika

Ujumbe kwa wanaume wote wanaolalamika

Ukiwa mtundu pesa utatumiwa tu ukiona haupewi HELA ujue utundu ziro!.
 
tunaposema mtu anajali tunamaanisha anasimamia show muhimu kama kumtoa out, hela za barbershop, mavazi, vizawadi vya hapa na pale, perfume na mambo kibwena.

Sasa wewe mwenzangu kujali unadhani ni kujiunga extreme na kuanza kummiminia mimeseji kuanzia asubuhi hadi usiku, mara bebi umekunywa chai? Umevaa nini? Bebi umeshakula lunch? Baby umelala? Baby mbona kimya? Wenzio wanatuma hela mpesa au tigo pesa then message inafuata ''baby nenda kale''.

Kwa style hii ukiachwa kuwa mpole.


ndio maana niko interested sana na aged moms kuanzia +45.mapenzi na vitoto kama wewe siwezi labda vibabu
 
Tunaposema mtu anajali tunamaanisha anasimamia show muhimu kama kumtoa out, hela za barbershop, mavazi, vizawadi vya hapa na pale, perfume na mambo kibwena.

Sasa wewe mwenzangu kujali unadhani ni kujiunga extreme na kuanza kummiminia mimeseji kuanzia asubuhi hadi usiku, mara bebi umekunywa chai? umevaa nini? bebi umeshakula lunch? baby umelala? baby mbona kimya? wenzio wanatuma hela Mpesa au Tigo pesa then message inafuata ''baby nenda kale''.

Kwa style hii ukiachwa kuwa mpole.

unatumia kinywaji gani tafadhali!???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom