afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Happy new year AD....
Happy new year AD....
good to see you again.. sjui ulipotelea wapi dear..
tena ni on the spot.zinarepel hazisubiri sekunde wala dakika wala mwezi.so kama sio pair yako timua
Sadly NOT all relationships can be based on magnetic behaviour.
Mmhhhhh sijui,
Ila siku za karibuni umefunguka zaidi na Babu amekuwa impressed!!
Babu DC!!
ila challenge ni kujua malengo ya mwenzio. vipi kama mwanaume atajuaje malengo ya mwenzio, utausomaje moyo wa mwenzio?
tunda ni tendo la ndoa
since hamna ndoa
no tundi
zozote zitakazotokea hadi kieleweke
kwanza mimi kuna watu sifiki nao hata siku tatu napiga chini kama ni mzushi
NO, I can not.
Sadly?
can you please explain that in more details?
Communication.
Pamoja na kwamba ni ngumu kujua kilichopo kwenye moyo usio wako, mkiwa na mawasiliano yaliyosimana na ukaangalia matendo yake kwa ukaribu unaweza ukapata idea ya kilichopo.
NO, I can not.
Nwy ni hiviiii. . . If the "NOT" part wasn't there, the whole process would have been much easier. Unamtafuta tu unaetofautiana nae and BANG. . . you got yourself a perfect mate.