Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

Hapa nilipo kuna watoto wanacheza mpira, wakati huohuo mimi nacomment kwenye hii thread, sio hivyo tu hapa nimekaa kwenye kiti cha plastic na hali ya hewa ni ya mawingu kuashiria mvua itashuka muda wowote.

Nilisahau hapa nilipo nimevaa vyema, na pia napumua bila tatizo.

Ntazidi kuwajuza kinachoendelea jamani

I see....
 

Attachments

  • 1429628832175.jpg
    1429628832175.jpg
    59.4 KB · Views: 107
nipo ruaha tunakunywa supu ya nguruwe hapa kwa mangi
 
Habari ndugu wote!!! jamani naomba kila mwana JF aweze kutoa taarifa za mambo yanaotokea au kufanyika mahali ulipo.

Pia muhimu wanaJF walio karibu kufahamiana ili kutoa habari na kujulishana kama kuna tukio mahali.

Mfano: Mimi nipo Kilombero kwa hiyo, ni vema tukajuana, na wengne pia.

NATOA MAONI

maswala ya kufahamiana Nenda watsapp humu tuna fahamiana kwa fikra na hoja tu
 
Mmmh mwenzangu kanyolewa! Vitaimana nikatie maji! I MISS U Mammie..FREELAND kakumis zaidi.
 
Back
Top Bottom