Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 79
Nimepokea SMS hii hivi punde Wazalendo wenzetu wanakesha NMC kudai haki, tujiunge nao kwa kumtaka Rais Kikwete 0754777777/0754777775 na Spika Makinda 0754/0784465226: Lema aachiwe, uchaguzi wa umeya Arusha urudiwe, mafisadi wa EPA/Richmond/Dowans wakamatwe, muswada mbovu wa sheria ya katiba uondolewe, mpango wa dharura wa kupunguza gharama za maisha upitishwe. Nchi ni yetu sote, sambaza ujumbe kwa wengine
Hivi kuna mwenye namba ya simu au ya barua pepe ya balozi wa Uingereza Tanzania au ya Mtoto wa Mfalme na ujumbe wake unaondelea kufurahia tafrija ikulu hivi sasa?
Hivi kuna mwenye namba ya simu au ya barua pepe ya balozi wa Uingereza Tanzania au ya Mtoto wa Mfalme na ujumbe wake unaondelea kufurahia tafrija ikulu hivi sasa?