Ujumbe kwa kina Dada Joyce Kiriya umetisha

Hata mkulu alishasema ukitaka kula na wewe lazima uliwe,hao wanaume wanataka kugegeda bure biashara gani hiyo?lazima waingie cost halafu wengi huwa wanatoa wenyewe hata kabla ya kuombwa pesa

Ukifuatilia ujumbe wake facebook kuna maneno mengine yapo kwenye picha nitaeleza in a nutshell
1.Beyonce kamnunulia jay-z a private jet
2.Kim kardshian kamnunulia Kanye west ndinga ya ukweli

Sasa ndio anawahusia wanawake wenzake wasiwe mizigo kila kitu wao mwanamme hata pafyumu ya elfu 3 mzinga ndio hicho anachokichukia.
 
Idea nzuri ila impact yake itaonekana in a long run, tutaona mwanamke atakuwa na wanaume wengi ili amsaidie kiuchumi mwanaume Yahaya!
 
Ha Ha Ha Ha ungefuatilia kipindi chake Joyce Kiria cha jana alieleza yote ndoa yake ilikuwa simple sana hakumchangisha mtu,amefanya hivi ili ile gharama ambayo angeingia kwenye sherehe anaenda kusomesha watoto waishio kwenye mazingira magumu na kusaidia binti aliyebakwa na kupewa mimba amejifungua,anaenda kumsaidia mlemavu wa mikono!! Michango ya harusi inaboa!! Starehe zako iwe kero kwa mwenzako!! Team O.T.M.Y.H

Hiyo ndoa ya pili alifanya hvyo kuficha tu aibu ndoa ya kwanza ili mshinda kwa kukosa huduma hizo.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ndoa ya pili alifanya hvyo kuficha tu aibu ndoa ya kwanza ili mshinda kwa kukosa huduma hizo.

Nitafanya hata Ndoa 1000. Sintavumilia UKATILI WA AINA YEYOTE...

Sintaona Aibu ya Historia daima. Namuogopa Mwenyezi Mungu peke yake.

Sintaishi kufuraisha walimwengu kamwe.

Nilichanga mwanzo kwa sababu ya ujinga na ulimbukeni wa kutafuta sifa za masaa na shida za muda mrefu.

Pesa ya mchango ni heri wapewe maharusi wakaanzie maisha.

Huo ndo msimamo wangu.

Sijutii historia yangu bali najifunza na kuwafundisha wenzangu.....

Nisamehe uliyekerekwa na msimamo wangu...huo ni MTAZAMO tu usijenge chuki
 
Nitafanya hata Ndoa 1000. Sintavumilia UKATILI WA AINA YEYOTE...

Sintaona Aibu ya Historia daima. Namuogopa Mwenyezi Mungu peke yake.

Sintaishi kufuraisha walimwengu kamwe.

Nilichanga mwanzo kwa sababu ya ujinga na ulimbukeni wa kutafuta sifa za masaa na shida za muda mrefu.

Pesa ya mchango ni heri wapewe maharusi wakaanzie maisha.

Huo ndo msimamo wangu.

Sijutii historia yangu bali najifunza na kuwafundisha wenzangu.....

Nisamehe uliyekerekwa na msimamo wangu...huo ni MTAZAMO tu usijenge chuki

Big up mdada , toa elimu
 
Nitafanya hata Ndoa 1000. Sintavumilia UKATILI WA AINA YEYOTE...

Sintaona Aibu ya Historia daima. Namuogopa Mwenyezi Mungu peke yake.

Sintaishi kufuraisha walimwengu kamwe.

Nilichanga mwanzo kwa sababu ya ujinga na ulimbukeni wa kutafuta sifa za masaa na shida za muda mrefu.

Pesa ya mchango ni heri wapewe maharusi wakaanzie maisha.

Huo ndo msimamo wangu.

Sijutii historia yangu bali najifunza na kuwafundisha wenzangu.....

Nisamehe uliyekerekwa na msimamo wangu...huo ni MTAZAMO tu usijenge chuki

wenye uwezo wakuona ndani ya box tu wasikusumbue tunaoona beyond the limit tumekuelewa, wapo wengi kabla ya kuolewa wanawajua wanaume kibao leo wanakushangaa wewe kuwa kwenye ndoa mbili kwa nyakati tofauti! tunakukubali sana dada big up!!!!!!!!!!!!!
 
Usijali utampata tu maana huyo ni mwanaume wake wapili your next lkn itabidi mfunge ndoa ya kimila coz ya kwanza ilikuwa ya kanisani hii ya piki bomani yenu itakuwa yakichaga.

Mi ndoa yoyote tu fresh,kwa jembe kama hilo,mawazo yangu ukichanganya na yake lazima tuyapige mtama maisha kwa mbali sana,au kama umeona mahali jembe la sampuli hiyo niweke tu mkuu,wala sitakuangusha,hutajuta kwa kweliiii
 
wenye uwezo wakuona ndani ya box tu wasikusumbue tunaoona beyond the limit tumekuelewa, wapo wengi kabla ya kuolewa wanawajua wanaume kibao leo wanakushangaa wewe kuwa kwenye ndoa mbili kwa nyakati tofauti! tunakukubali sana dada big up!!!!!!!!!!!!!

ina maana umesahau kuwa alishawahi kuutangazia umma hapo awali kuwa hakumbuki idadi ya wanaume aliowahudumia kingono tena kwa kujisifu kabisa.
 
ina maana umesahau kuwa alishawahi kuutangazia umma hapo awali kuwa hakumbuki idadi ya wanaume aliowahudumia kingono tena kwa kujisifu kabisa.

Mwenyewe sikumbuki sure nasema niwanawake wangapi nimefanya nao ngono! kifupi ungekuwa wewe ungejibu nini kama hukumbuki? au mtu kusahau ndio inamaana amefanya na wengi? Acha kufikiri karibu je angesema watano mme wake hujui kama angetaka kuwafahamu lakini kama hakumbuki atademand vipi? pia yawezekana ni njia ya kukwepa kujibu swali au kweli alikuwa na hofu ya Mungu kuongopa!!!!!!!!!! be smart
 
Mwenyewe sikumbuki sure nasema niwanawake wangapi nimefanya nao ngono! kifupi ungekuwa wewe ungejibu nini kama hukumbuki? au mtu kusahau ndio inamaana amefanya na wengi? Acha kufikiri karibu je angesema watano mme wake hujui kama angetaka kuwafahamu lakini kama hakumbuki atademand vipi? pia yawezekana ni njia ya kukwepa kujibu swali au kweli alikuwa na hofu ya Mungu kuongopa!!!!!!!!!! be smart

mmmh una maslahi siyo bure
 
Nitafanya hata Ndoa 1000. Sintavumilia UKATILI WA AINA YEYOTE...

Sintaona Aibu ya Historia daima. Namuogopa Mwenyezi Mungu peke yake.

Sintaishi kufuraisha walimwengu kamwe.

Nilichanga mwanzo kwa sababu ya ujinga na ulimbukeni wa kutafuta sifa za masaa na shida za muda mrefu.

Pesa ya mchango ni heri wapewe maharusi wakaanzie maisha.

Huo ndo msimamo wangu.

Sijutii historia yangu bali najifunza na kuwafundisha wenzangu.....

Nisamehe uliyekerekwa na msimamo wangu...huo ni MTAZAMO tu usijenge chuki

ina maana ni coincidence kufunga ndoa wakati mmoja na mtalaka wako nao akifunga yake,au ulikuwa unamuwahi ili kumwonyeshea nawe waweza??? halafu umekazania sana suala la sherehe au ni kwa vile yeye kafanya hivyo ni dongo na jibu kwake?
 
Back
Top Bottom