Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

Ujumbe Kwa CloudsFM na Gerald Hando

Clouds tumeilalamikia mno lakini hawana hata nia ya kubadilika.Moja ya sababu ya wao kutotaka kubadilika ni namna wanavyonufaika na hali ilivyo na jinsi wanavyotumika kwa malengo ya watu fulani.Tahadhari ni kuwa wamewezeshwa kukua kwa kasi na kwa porojo zao wanao wasikilizaji wengi pia sababu Watanzania tunapenda porojo pia!
Upo umuhimu wa labda kwenda hatua mbele zaidi kuwapa funzo wale watangazaji wanaowapotosha kwa makusudi wananchi wa kawaida.Clouds hawawezi kubadilika fahamuni hivyo hata tupigeje kelele maana nao wanajua upepo unavyokwenda na wanauma na kupuliza.
Nasikitika Chadema hawajawahi kujibu rasmi tuhuma za kipuuzi za watangazaji wa Clouds ambazo si za kupuuza kwa namna zinavyowafikia wananchi.nafikiri Chadema wanaogopa mgogoro na vyombo vya habari lakini kwa hawa Clouds hata wanahabari wengine wamechoshwa nao na unafiki wao uliopitiliza.
TUMEAMUA KUWAPUUZA TUENDELEE HIVYO LAKINI HAWATAACHA KUENEZA CHUKI DHIDI YA UPINZANI.
 
Ukisha ona mwanaume anatabia ya kujikomba komba basi ujue kuwa ni muumini wa sera za Cameron, na hapo Clouds wapo wengi tuu.
 
Wapendwa wana JF, ningependa sana nianze kwa kuwapongeza kwakuwa na michango yenu mizuri na upeo mzuri katika kuchanganua mambo.

Clouds Fm especially kipindi cha Pb na Jahazi vimeanzakutoka nje ya mipaka yao na wamekosa has mwelekeo wao nini,Maana siku hiziwamekuwa watu wa majungu na matangazo ya wadhamini wa vipindi hivyo.

Nitatoa mifano ambayo imesababisha mi kusema hivyo.

Siku ambapo Dr.Mwakyembe alipotangaza kuwasimamisha baadhiya watendaji katika shirika la ATCL, vipindi hivi viliponda sana na kusemamaneno mengi sana bila kumfuata kwanza muhusika na kummuliza imekuwaje mpakaakafikia uamuzi huo.Waakati wa PB G.Hando na P.James waliongea sana kwa kumwitakiongozi huyo ni mkabila,amekurupuka nk. Kama waliona huyo kiongozi amekulupukawalipaswa wamtafute kwa wakati wao wamuulize maswali yao na baadae wangeletamajibu hayo katika station yao,kweli ningewakubali wanaijua kazi yao,Na kamakiongozi huyo walimwoma ni mkabila,anakulupuka basi ina maana hata aliyemchaguakuwa waziri ALIKULUPUKA NA NI MKABILA PIA.

Ilipofika jioni kwenye JAHAZI napo mambo yalikuwa kuwa yeyeni mkabila,ameonea watu,alipaswa aelewe ATCL kwanza,Kibonde aliponda sana. Cha kushangaza siku ambayo Mwakyembe alivyotoa sababu za yeye kufanya hivyo,Kibondealimsifia sana na kumuona kuwa ni kionmgopzi mzuri na alifanya maamuzi sahihi. Jehapo tunajifunza nini kwa Kibonde(mnafiki).

Mnyika aliposema bungeni kuwa Kikwete ni Dhaifu pamoja naserikali yake,next morning Gerald Hando aliongea sana kwa uchungu na kwa kuonakuwa UDHAIFU ni tusi,Mi nafikiri kwa mtu kama yeye angetafasiri maana yaudhaifu,na atambue kila binadamu ana udhaifu wake,kuitwa we ni dhaifu inapaswaufuatilie ujue udhaifu wako nini.Alitumia dakika 15 ye kumtusi pia Mnyika mbonamyika hajamfuata na kumuambia mbona umeniita mshamba,mjinga nk.Gerald handojaribu kulinganisha na Mnyika afu nadhani uatweza kuona Tofauti ya NYANYA naTENGA.

USHAURI WANGU
Kwanza mnapaswakujua siasa ya Tz inabadilika kila kukicha,leo unaweza ukawa mshabiki wa mtu auchama Fulani lakini kesho huyo mtu au chama kikakuona hufai au kikapoteza nguvuya utawala

Pili mnapaswamjue kuwa nyinyi ni sehemu ya jamii na jamii ni sehemu yenu,mnapoanza kuibaguajamii na kujifanya nyie ndio mna uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wengine nakujiona nyie ni wasafi kuliko wengine mnakosea sana.

Tatu,Jaribuni kusomahistoria ya vyombo vya habari na watangazaji waliosababisha maafa Kenya,Rwandana kwingineko ambako matatizo kama hayo yalitokea

Nne mkumbuke kuwammeajiliwa na mtu binafsi hivyo likitokea na kutokea mtasimama wenyewekupigania haki zenu,kwa jinsi navyowafahamu waajili wa Kitanzania watakuachiakesi na itakusumbua wewe mwenywe na mwisho utafungwa,angalieni waandishi wahabari waliopata matatizo waajili wao wamewasaidia kwa muda mfupi tu na baadaekuwatumbilia mbali.

Tano ,kama mnakitu mnataka kukiongea muwaruhusu watu watoe michango yao kwa kupiga simu na sikwa MSG ambazo mnafuta zile zinazopinga mawazo yenu na kuacha zinazowasifia.
 
hizi kazi za kupewa na mashemeji zina tabu yake.................
 
Thanks sina cha kuongezea kwa vilaza hao wanaotegemea ruzuku za ccm kujiendesha kwa umbea
 
Thanks sina cha kuongezea kwa vilaza hao wanaotegemea ruzuku za ccm kujiendesha kwa umbea

Mwajiri lazima aheshimiwe, hata wewe ungekuwa unapata ruzuku kutoka kwa magamba ungejipendekeza. Hiyo ni sizitaki mbichi hizi
 
Clouds fm, uhuru fm & magazeti yake, oftenly tbc tv and fm, govt newspapers are blacklisted radio stations that i dont listen to! Vyombo vya habari au wanahabari <baadhi> huchangia uovu ktk nchi.
Si wasubiri 2015! Wasome alama za nyakati hao pamoja na Kibonde!
 
Clouds wamepoteza mwelekeo wanajibaraguza na ccm kuna kitu yule mkurugenzi wao(Ruge) anataka huko ccm.
Hando yeye anaelekezwa na bosi sema hivi anafuata maelekezo na yeye anakoleza hapo angalau aje arushiwe japo vimifupa. Wana njaa clouds wacha kabisa
 
HAWA NI WAGONJWA JAMANI AKILI ZAO SIO NZURI ZIMETAFUNWA NA WADUDU,

  1. Kibonde
  2. Hando
  3. Shafii
  4. MaestrO
 
G. Hando alikuwa mpima mafuta bp shell na zero ya form 6... sasa unasubilia nini hapo, utumwa na watu kwa ujila kuongea vile plus maangizo ya maboss wake.....

sikiliza radio one. nasubiri T2015CDM watashika adabu tu..
 
wote mnaochangia either hamkumsikia Gerald au tayari mna maamuzi vichwani hata kabla ya hoja AU NI MAGAMBA1nilitegemea tumpongeze Gerald kwa kufananinisha bunge letu na big brother!moja na mambo aliyosema ni kuwashangaa wabunge kumtunza mwenzao hela wakati anaongea utumbo!ki ukweli Gerald alikuwa anawachana live magamba sentesi moja tu isipoteze maana
 
Wana JF fuateni ratiba hii kila siku hautajuta Asubuh naamka na Radio Free africa Saa 12.30 nahamia Magic FM, saa 3.00 naamia East Africa Radio Mpaka saa 7
 
quote_icon.png
By patakazi
Hando kwanza sio Mtanzania na ninasikia anajipanga kugombea Ubunge,Khatesh ila kwa taarifa za kweli dogo analiwa kiboga na Mchumi Daraja la Kwanza

Kwenye bold hapo mkuu, ni hasira tu or u really meant that?
 
Back
Top Bottom