Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kwenye hio clip anasema
" La nne ni kwa wale ambao mnafikiri mna vyeo vikubwa kuliko mimi, mjifunze kuwa na nidhamu kidogo nawazidi vitu vingi sana na hatulingani. Unaweza ukawa tunalingana kwa umri tumekuwa pamoja ba tumesoma pamoja lakini NAKUZIDI SANAA, kwa hio kidogo uwe na nidhu na wakubwa zako wananitambua."
Mwisho wa kunukuu.
Sasa swali langu ni kuwa huu ujumbe umemlenga nani?
" La nne ni kwa wale ambao mnafikiri mna vyeo vikubwa kuliko mimi, mjifunze kuwa na nidhamu kidogo nawazidi vitu vingi sana na hatulingani. Unaweza ukawa tunalingana kwa umri tumekuwa pamoja ba tumesoma pamoja lakini NAKUZIDI SANAA, kwa hio kidogo uwe na nidhu na wakubwa zako wananitambua."
Mwisho wa kunukuu.
Sasa swali langu ni kuwa huu ujumbe umemlenga nani?