Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

Ila ukweli usemwe wachaga mmeibia sana hii nchi mkishilikiana na CCM
 
Badilisheni hii chorus jamani imetuchosha,yaani kila wimbo mnaitupia lol
 
Leo Magu rais mm ni member jf bt mwaka 2020 atakaposhindwa urais ataanza kujihusisha na mambo ya kijamii na hatimaye atajiunga jf kama member wakati huo mm nitakuwa moderator hapa jf.

Maisha ni km rangi ya kinyonga.
 


Kwa hiyo unataka kumtisha raisi wetu? Serikali yetu iache kushughukilia criminals wanaotaka kuharibu nchi yetu nzuri kwa sababu ya vijimisemo? Kama misemo ingekuwa na maana yoyote basi Wazungu na Waarabu waliotuuza na kutupiga mijeredi na kubaka Wanawake zetu mbele zetu wangeshalaaniwa lkn waapi mpka leo hii bado wanatutawala na ndo kwanza tunakibilia kwao kuishi!
Hivyo shut the fvck up!
 
Kweli kabisa lakini ni matamanio yangu tuache kujadili watu bali tujadili issues,kati ya vitu ambavyo kiongozi yeyote anatakiwa kufanya ni kubadili jinsi watanzania wanavyofikiri
Inamaana kiongozi ukiiba tuache kukujadili?
 
Mleta mada hiyo ni njaa uliyokuwa nayo propaganda zenu hazisaidii, Hakuna njaa kali kama ile inayoanzia kichwani kuelekea tumboni bora njaa ianze tumboni kuelekea kichwani, Sasa wewe leo umegeuka mtoa ushauri kwa mamlaka ipi ? Lipa kodi kwenda zako unahitaji huruma anza kujihurumia mwenyewe kwa kuliibia taifa muda mrefu, acha Rais afanye kazi
 
Sasa kama TZ ilijaa wezi hadi serikali hii ya awamu ya 5 ikaamua kuunda mahakama ya mafisadi.

Sasa ni kwanini hivi sasa Waziri wa Sheria na Katiba, Dr Mwakyembe anatueleza kuwa mahakama ya mafisadi 'imekaukiwa' na majaji wa mahakama hiyo wanakula 'shushu' kwa kuwa mahakama hiyo imekosa watu wa kupelekwa hapo?!
 
Hahahahaaaaaa Gujalati,we baniani au?maana kuna jimbo moja huko India linaitwa Gujarati,umewapasulia mawimbi kama muziki wa Darassa,pasua anga weka muziki.
Ukimsifu mjinga unakuwa senior wake.
 

Vumilia tu chuki yako dhidi ya wachaga haitakusaidia chochote.

Pambana upate na wewe kama wamekuzidi.

Umeongea kama hao wachaga walikulawt siku za utoto wako.
 
Ukimsifu mjinga unakuwa senior wake.
Sawa mkubwa,basi niache kumsifu nisije kuwa senior au principal wake, haya in mawazo yake ametoa,ujue kuwa haiwezekani watu wote mawazo yakafanana kama wewe unavyotaka mawazo ya wengine yafanane na yako.
BACK TO THE POINT:Ila sasa hivi kuna heshima mtaani,matumizi ya ovyo hamna,watu wanatumia zao za halali,inaonyesha zamani kulikuwa na michongo haramu.Na hao sisi wachache mirija yetu imezibwa ndio tunaopiga kelele kweli kweli,lakini wengi ambao hawakuwa na mirija kimyaaaaa,wanaombea buti kukazwa ili nao wapate heshima mtaani,ndio maana watu sasa hivi wanaouza assets kwa being ndogo na wanunuzi hawapo.
GUJALATI njoo huku uongeze chorus kuna BILA BILÀ anakusubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…