Anatumika kwa manufaa ya taifa la Tanzania!Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?
kwa nini mtumie silaha za moto mahali pasipo na uhitaji?Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?
Usiniunganishe na CCM mkuu....Anatumika kwa manufaa ya taifa la Tanzania!
Lakini mbona wewe unatumika na ccm lakini hatuulizi?
Kwani ujumbe wote ni kuhusu Aquilina? Una kereka sana unaposikia ndugu zake wanapoililia haki yake?Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?
Hii iliyopo ni awamu ya 5 muhula wa pili.Hayo mabango mbona yanahusu awamu ya 5
cc: Zitto Kabwe
Mengine yapo sawa na Sijali kuhusu hayo.....Kwani ujumbe wote ni kuhusu Aquilina? Una kereka sana unaposikia ndugu zake wanapoililia haki yake?
Hayo mabango mbona yanahusu awamu ya 5
cc: Zitto Kabwe
Unaamini hukumu kuhusiana na mauaji yake yalitendea haki?Mengine yapo sawa na Sijali kuhusu hayo.....
Ila sio mara moja au mbili naona mnatumia jina la dada wa watu kwa faida zenu.
Tusidanganyane hapa hakuna ndugu yake hapo.
Mengine yapo sawa na Sijali kuhusu hayo.....
Ila sio mara moja au mbili naona mnatumia jina la dada wa watu kwa faida zenu.
Tusidanganyane hapa hakuna ndugu yake hapo.
Kwahiyo hawastahili kusema ukatili wliofanyiwa??. Ubinafsi wa kijinga sana huu!! Hebu chukua dakika 1 kuwaza ni mdogo wako.Ila kwanini mnapenda kumtumia huyo dada Aquilina kwa manufaa yenu Aseee?
Usijitie huelewi kwanini wanalitumia hilo jina....Kwahiyo hawastahili kusema ukatili wliofanyiwa??. Ubinafsi wa kijinga sana huu!! Hebu chukua dakika 1 kuwaza ni mdogo wako.
Acha kuwa mbinafsi na roho mbaya!!, Kila mwenye kupenda haki anataman kuona haki inatendeka kwa kukatisha uhai wa mtu bila sababu za msingi.Usijitie huelewi kwanini wanalitumia hilo jina....
Umempiga msumari wa motoAnatumika kwa manufaa ya taifa la Tanzania!
Lakini mbona wewe unatumika na ccm lakini hatuulizi?
Hopefully utakuwa wa mbele kabisa na bango lako hapo uwanjani!Yasemekana mama Samia alitokea mlango wa nyuma hotelini na ubalozini kuutoroka ujumbe wake:
View attachment 2198430
Kwa kuwa yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, itapendeza akaribishwe hivi hivi nyumbani atakaporudi.
View attachment 2198432
Kazi ya kumfikishia ujumbe wake na iendelee.
View attachment 2198433
Maccm kazi wanayoYasemekana mama Samia alitokea mlango wa nyuma hotelini na ubalozini kuutoroka ujumbe wake:
View attachment 2198430
Kwa kuwa yaliyoandikwa ni ukweli mtupu, itapendeza akaribishwe hivi hivi nyumbani atakaporudi.
View attachment 2198432
Kazi ya kumfikishia ujumbe wake na iendelee.
View attachment 2198433