Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,111
- Thread starter
-
- #101
iko wapi hiyo video
Najikuta nimempenda bure bwana hitler...jamaa alikua ni mbabe haswaaaAlitaka kuingia nao mkataba wa amani kabla ya kuipiga london, na tena baada ya kuwakung'uta wafaransa kuna kikosi kikubwa sana cha Uingereza kilikuwa stranded akawapa free passage warudi Uingereza bila kumdhuru mwanajeshi hata mmoja, Wanahistoria wanasema hiyo ilikuwa ni mistake kubwa sana maana Muingereza na wanajeshi wake waliporudi wakaona huu mziki mnene wakamuomba Brother America aingilie kati!. Kwa bahati mbaya Mjapani akapiga Pearl habour hapo mmarekani akaona sasa muda wa kuingiza timu umewadia. Wanahistoria wanakwambia Uingereza ilishabakiwa na Chakula cha wiki mbili tu kabla ya Mmarekani kuwafinance kwa kuwapa mkopo wa pesa zaidi ya dola bilion 40 ambazo kwa thamani ya leo ni zaidi ya dola bilion 400 ( Uingereza alimaliza kulipa huo mkopo mwaka 2006), Pia Mmarekani akaisupply uingereza zana nzito za kijeshi na pia yeye mwenyewe kuingia front
Laiti Hitler angejua, Kile kikosi cha Muingereza angekibutua na kuwapelekea kichapo kulekule uingereza kwa kupiga viwanda, reli na meli za muingereza!. Kama London ingeanguka, Ingekuwa vigumu Mmarekani kuingiza Jeshi kupigana peke yake. Kumbuka wakati huo Ufaransa tayari bendera ya Hitler ilikuwa ikipepea pale Paris!
Hatukatai kwenye mabaya kuna mazuri, ila mabaya yake ya kuwauwa binadamu wenzake kinyama vile yalitufanya tusiyaone hayo mazuri, aliuwa binadamu wenzake bila huruma wala haya..1. Hitler alipiga marufuku pombe
2. Hitler alitoa huduma bure za afya bure kwa akina mama wajawizito
3.Hitler alipiga marufuku riba (Usury)
4.Hitler zaidi ya mara mbili anaitaka Uingereza waingie katika mkataba wa amani lakini uingereza inakataa
5. Hitler alikuwa askari jasiri wa kijerumani katika vita ya kwanza ya dunia
6.Hitler alichukia kitendo cha Mazionists wa Ujerumani "kuwazunguuka" Wajerumani na kufunga mkataba wa siri na uingereza ili kuwatumia Mazionist walioko Marekani kuishawishi serikali hiyo iingie katika vita upande wa Uingereza kitendo kilichosababisha Ujerumani ipigwe wakati ilikuwa inakaribia kushinda vita ya kwanza ya Dunia
7. Hitler mwaka 1938 aliwekwa kwenye Gazei la TIMES kuwa Person Man of the Year
Kwa nini hitler alichukia wayahudi
Je ni kipi kibaya ambacho wayahudi walifanya kwa wajerumani?Wayahudi hupenda kukamata organs muhimu za Mataifa wanayokuwepo , usipowacontrol wanafanya kama yale ambayo AIPAC inafanya leo Marekani, Ziadi ya asilimia 80 ya Congressmen and Women wako Loyal kwao na ajenda yao.
Hukamata njia za ushawishi kama vile media, entertainment industry na huzitumia kuwajenga au kuwabomoa watu fulanifulani ili waitumikie ajenda ya
Huweza kutumia resources za mataifa hayo kupiganisha vita kwa maslahi yao, mfano Vita vya Iraki ilikuwa ni kumuondoa Saddam ambaye alikuwa ni possible challenger mkubwa wa Taifa la Kiyahudi (Israel)
Kwa mfano Wajerumani walikuwa na Kinyongo na Wayahudi wa Ujerumani kwa sababu kwenye Kipindi cha vita ya kwanza ya Dunia, Ujerumani ilikuwa imeshakaribia kupata ushindi, Wayahudi wa Ujerumani wakaizunguuka Ujerumani wakaingia makubaliano na serikali ya Uingereza kwamba Watatutumia ushawishi wa Wayahudi wenzao walioko Marekani Kuiingiza Marekani katika vita upande wa Muingereza In exchange Muingereza akishinda vita akatwaa maeneo ya Ottoman empire ambayo Israel ipo, basi Muingereza atawapa ardhi hiyo ya Palestine (Israel) wajenge nchi yao. Na kweli Mmarekani alivyoingia katika vita kibao kikageuka na Mjerumani akapoteza ushindi hivihivi!. Sasa kutokana na sababu hiyo Wajerumani waliendelea kuwa na kinyongo dhidi ya Wayahudi
Je ni kipi kibaya ambacho wayahudi walifanya kwa wajerumani?
Fact... The same to me, i hate thatI hate a 'Religious fanatisim' bcz it deprives man from reasoning........
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningewaona wamekula njama kutuumizaWakati tunapigana na Uganda ingetokea Wahindi wakaenda kula njama na kumsaidia Amin kisha tukachapwa ungewaonaje Wahindi Leo?
Ningewaona wamekula njama kutuumizaWakati tunapigana na Uganda ingetokea Wahindi wakaenda kula njama na kumsaidia Amin kisha tukachapwa ungewaonaje Wahindi Leo?
Ningewaona wamekula njama kutuumiza
Du
Hakuna kitu kama ww ii, ni uongo mtupu, yaani complete White wash and you, as an African's boy you are comfortable about it, akili ya kusoma changanya na yako.1. Hitler alipiga marufuku pombe
2. Hitler alitoa huduma bure za afya bure kwa akina mama wajawizito
3.Hitler alipiga marufuku riba (Usury)
4.Hitler zaidi ya mara mbili anaitaka Uingereza waingie katika mkataba wa amani lakini uingereza inakataa
5. Hitler alikuwa askari jasiri wa kijerumani katika vita ya kwanza ya dunia
6.Hitler alichukia kitendo cha Mazionists wa Ujerumani "kuwazunguuka" Wajerumani na kufunga mkataba wa siri na uingereza ili kuwatumia Mazionist walioko Marekani kuishawishi serikali hiyo iingie katika vita upande wa Uingereza kitendo kilichosababisha Ujerumani ipigwe wakati ilikuwa inakaribia kushinda vita ya kwanza ya Dunia
7. Hitler mwaka 1938 aliwekwa kwenye Gazei la TIMES kuwa Person Man of the Year
Wakiamua kukutangaza kuwa wewe ni katili, muuaji, coordination yao inatisha
- Hao ni Puppet masters au Chess players wa hii kitu inayoitwa Global order!
- Wanamiliki World Financial systems
- Wanamiliki Media kubwa kubwa kuanzia TV na Printed press
- Wanamiliki politicians influential kama vile Congressmen, Senators etc
- Wanamiliki entertainment industry kama vile Hollywood , Studio kubwa etc
Wakiamua kukupiga vikwazo usiuze au kuuziwa bidhaa kadha wa kadha utaisoma namba
Wana uwezo wa kutengeza artificial economic recession
Nitakupa mfano
(1) Bolshevick revolution ya urusi iliyopelekea mauaji ya Wakiristo zaidi ya milion 20 huko Urusi, walikuwa wao
(2) Young Turks revolution iliyopindua utawala wa Sultan kwenye Ottoman empire mwaka 1908 walikuwa ni wao, hawa Young Turks historia inawatambua kama Crypto-Jews wa Uturuki, Hata muasisi wa Taifa la leo la Uturuki la kisasa aitwaye Mustafa Kemal Atartuk naye alikuwa ni miongoni mwa hao Young turks na alikuwa Freemason (hili liko documented ni historical fact), Hawa Young Turk ndiyo waliofanya Mauaji ya Kutisha ya Kimbari ya Wakiristo wa Armenia ( ZAIDI YA WAKIRISTO MILION 1.5 WALIUAWA KWENYE ALMENIA GENOCIDE)
Ndugu yangu hawa watu siyo wa mchezo mchezo, Ni Network may be behind the scene yupo Shetani mwenyewe, maana mipango yao ni ya muda mrefu
Kuna yule Congresswoman anaitwa Ilhan Omar aliwagusa hawa jamaa kwa kuoji kuwa kwa nini ni halali kuhoji lobbying practice za makampuni ya madawa (Pharmaceuticals) etc lakini ni haramu kuhoji kuhusu AIPAC ambayo kazi yake ni kulobby kwa ajili ya Taifa la kigeni (Israel) aiseeee wale jamaa walimshukia kama mwewe, wakimuita Anti semites etc
Kabisa umesema sahihiHio ndio sheria ya dunia.. mshindi wa vita ndio anaandika historia.
Hata kwenye vita yetu na idd amini side ya pili ya ukweli kuhusu vita inatisha na ukweli ni kwamba Tz tusingepata support kubwa kutoka kwa waganda,nchi za sadc, n.k tungechezea kichapo... lakini kwakua tulishinda sisi ndio tunaandika history. Kwahio tunaitwist tutakavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha utadhani wamewahi kumsikiawafia dini hawaelezi kitu juu ya hilo mkuu.Taifa teule kivipi ukiwauliza utaishia kujibiwa unabishana na Mungu?