Ujue ukweli kuhusu NASA

Hata kama ulikuwa unajaribu kumconvis mtu akuamini akifika hapa anaghair.
Hizo sayari nyingine umewahi kuziona ? Kama umewahi kuziona umeziona kupitia njia gani ? Ya ana kwa ana.

Kama ni kinyume kipi kinafunya wewe uamini uwepo wa sayari hizo ?

Mkipata muda fatilieni ishu za CGI muone watu walivyo fika mbali katika kuvipa vitu vya kufikirika uhalisia.
 
Mleta mada tembelea siku moja baharini kisha tupa macho kule mbali kabisa ambapo usawa wa meli huwa zinaonekana zinaelea na kuendelea na safari..., baadae hupotea machoni kabisa na huonekana kama zimedumbukia kusikojulikana. Uliwahi kujiuliza huwa zinadumbukilia wapi?! Una level gani ya elimu kijana?! Au ndo wale mnaoshindaga vijiweni kudanganyana na waendesha bodaboda na vijana wengineo hopeless mitaani?! Nani alikwambiaga dunia ni flat?! Na hakuna sayari zingine?!... Jichangechange usafiri uende hata dubai ukiwa angani chungulia dirishani utagundua kitu kama ulienda shule lakini... kama hukwenda utajionea sisimizi tu na visivyoeleweka.

Haya tukienda kwenye maswala ya NASA... ulidanganywa na nani hayo unayoyaongea hapa?! Unafkiri mambo nyeti ya kijeshi, ulinzi na usalama ya mataifa mengine tena makubwa kama hayo huvuja kiurahisi mpaka uje kujua wewe uliyepo machokoroni huku?! Ukianzisha mada kama hizi, leta mada kama hujui chochote act kama unahitaji kujua na kuelekezwa kisha waje ambao hawakukimbia umande watiririke upate chochote kitu (elimu bure mtandaoni)

Okay! Wewe unayesema zile picha za mwezini ni za kutengenezwa... palikuwapo programu za kutengeneza picha mitandaoni miaka hiyo?! Unajua hao wendawazimu (wamarekani na wazungu wengine) walitangaza kwenda huko mwaka gani?! Je! Kipindi hicho palikuwapo hizo programu? Vijana wa kiafrika mnaumiza sana! ๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜” hivi matoto yetu yana nini jamani?! ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

India waliwahi kutangaza kujiandaa kwenda mwezini ifikapo mwaka 2030... walitangaza mnamo mwaka 2013 Rais wa marekani kipindi hicho alipofanya ziara yake nchini humo, wakazungumza maswala ya sayansi india nao hawakubaki nyuma wala kusita kusema mipango yao.....

inamaana na wao India wanajiandaa kutudanganya na kujikweza?!?!

Nyinyi mnaopinga hao walioenda mwezini njoeni na hoja nzito zenye mantiki za kutetea upumbavu wenu usio na maana!

Tafuta tuition usome fizikia na jiografia.
 
Heshima kwenu wote humu ndani.

Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.

Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.

Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.

Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.

Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.

The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.

Nakaribisha maswali

View attachment 2601396
we endelea na huo upumbavu wako ila tu usije kuwaambukiza watoto. Huna hata haya kuleta upupu km huu?
 
wajinga Watakubishia ila hicho unachosema ni Ukweli wa Asilimia 100, Earth is Flat Na kuhusu kwenda mwezini nayo umesema ukweli hakuna aliyewahi kwenda mwezini wala hakuna mtambo wowote unaoweza kukanyaga mwezini.

Watu wasichokijua ni kwamba mwanadamu kapewa Leseni na Hati miliki ya kuzunguka hii dunia atakavyo ila Sio kwenda mwezini wala kweny Jua au nyota hiyo haiwezekani.

Hata kam watakupinga uzi mzima ila mi naujua huu ukweli kitambo sana na Nina evidence kibao sema naona uvivu kuanzisha uzi kuelezea hayo mambo maan ni Mengi mno sku nkifungua uzi ntakutag Ndugu yangu Wakili ila wakuamini kwa evidence wanazozitaka.
na kuna sheria zinalindwa ili watu wasifaham lolote kuhusu flat earth.
 
Screenshot_20230428-141541~2.png
 
Heshima kwenu wote humu ndani.

Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.

Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.

Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.

Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.

Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.

The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.

Nakaribisha maswali

View attachment 2601396
Kwahyo hao NASA wanashirikiana na space agencies za china, india, russia kudanganya dunia? Mbona mnapenda kutumia kichwa kama matako?
 
Mleta mada tembelea siku moja baharini kisha tupa macho kule mbali kabisa ambapo usawa wa meli huwa zinaonekana zinaelea na kuendelea na safari..., baadae hupotea machoni kabisa na huonekana kama zimedumbukia kusikojulikana. Uliwahi kujiuliza huwa zinadumbukilia wapi?! Una level gani ya elimu kijana?! Au ndo wale mnaoshindaga vijiweni kudanganyana na waendesha bodaboda na vijana wengineo hopeless mitaani?! Nani alikwambiaga dunia ni flat?! Na hakuna sayari zingine?!... Jichangechange usafiri uende hata dubai ukiwa angani chungulia dirishani utagundua kitu kama ulienda shule lakini... kama hukwenda utajionea sisimizi tu na visivyoeleweka.

Haya tukienda kwenye maswala ya NASA... ulidanganywa na nani hayo unayoyaongea hapa?! Unafkiri mambo nyeti ya kijeshi, ulinzi na usalama ya mataifa mengine tena makubwa kama hayo huvuja kiurahisi mpaka uje kujua wewe uliyepo machokoroni huku?! Ukianzisha mada kama hizi, leta mada kama hujui chochote act kama unahitaji kujua na kuelekezwa kisha waje ambao hawakukimbia umande watiririke upate chochote kitu (elimu bure mtandaoni)

Okay! Wewe unayesema zile picha za mwezini ni za kutengenezwa... palikuwapo programu za kutengeneza picha mitandaoni miaka hiyo?! Unajua hao wendawazimu (wamarekani na wazungu wengine) walitangaza kwenda huko mwaka gani?! Je! Kipindi hicho palikuwapo hizo programu? Vijana wa kiafrika mnaumiza sana! hivi matoto yetu yana nini jamani?!

India waliwahi kutangaza kujiandaa kwenda mwezini ifikapo mwaka 2030... walitangaza mnamo mwaka 2013 Rais wa marekani kipindi hicho alipofanya ziara yake nchini humo, wakazungumza maswala ya sayansi india nao hawakubaki nyuma wala kusita kusema mipango yao.....

inamaana na wao India wanajiandaa kutudanganya na kujikweza?!?!

Nyinyi mnaopinga hao walioenda mwezini njoeni na hoja nzito zenye mantiki za kutetea upumbavu wenu usio na maana!

Tafuta tuition usome fizikia na jiografia.

Uko vizuri
 
Mleta mada tembelea siku moja baharini kisha tupa macho kule mbali kabisa ambapo usawa wa meli huwa zinaonekana zinaelea na kuendelea na safari..., baadae hupotea machoni kabisa na huonekana kama zimedumbukia kusikojulikana. Uliwahi kujiuliza huwa zinadumbukilia wapi?! Una level gani ya elimu kijana?! Au ndo wale mnaoshindaga vijiweni kudanganyana na waendesha bodaboda na vijana wengineo hopeless mitaani?! Nani alikwambiaga dunia ni flat?! Na hakuna sayari zingine?!... Jichangechange usafiri uende hata dubai ukiwa angani chungulia dirishani utagundua kitu kama ulienda shule lakini... kama hukwenda utajionea sisimizi tu na visivyoeleweka.

Haya tukienda kwenye maswala ya NASA... ulidanganywa na nani hayo unayoyaongea hapa?! Unafkiri mambo nyeti ya kijeshi, ulinzi na usalama ya mataifa mengine tena makubwa kama hayo huvuja kiurahisi mpaka uje kujua wewe uliyepo machokoroni huku?! Ukianzisha mada kama hizi, leta mada kama hujui chochote act kama unahitaji kujua na kuelekezwa kisha waje ambao hawakukimbia umande watiririke upate chochote kitu (elimu bure mtandaoni)

Okay! Wewe unayesema zile picha za mwezini ni za kutengenezwa... palikuwapo programu za kutengeneza picha mitandaoni miaka hiyo?! Unajua hao wendawazimu (wamarekani na wazungu wengine) walitangaza kwenda huko mwaka gani?! Je! Kipindi hicho palikuwapo hizo programu? Vijana wa kiafrika mnaumiza sana! hivi matoto yetu yana nini jamani?!

India waliwahi kutangaza kujiandaa kwenda mwezini ifikapo mwaka 2030... walitangaza mnamo mwaka 2013 Rais wa marekani kipindi hicho alipofanya ziara yake nchini humo, wakazungumza maswala ya sayansi india nao hawakubaki nyuma wala kusita kusema mipango yao.....

inamaana na wao India wanajiandaa kutudanganya na kujikweza?!?!

Nyinyi mnaopinga hao walioenda mwezini njoeni na hoja nzito zenye mantiki za kutetea upumbavu wenu usio na maana!

Tafuta tuition usome fizikia na jiografia.
Huna akili
 
wajinga Watakubishia ila hicho unachosema ni Ukweli wa Asilimia 100, Earth is Flat Na kuhusu kwenda mwezini nayo umesema ukweli hakuna aliyewahi kwenda mwezini wala hakuna mtambo wowote unaoweza kukanyaga mwezini.

Watu wasichokijua ni kwamba mwanadamu kapewa Leseni na Hati miliki ya kuzunguka hii dunia atakavyo ila Sio kwenda mwezini wala kweny Jua au nyota hiyo haiwezekani.

Hata kam watakupinga uzi mzima ila mi naujua huu ukweli kitambo sana na Nina evidence kibao sema naona uvivu kuanzisha uzi kuelezea hayo mambo maan ni Mengi mno sku nkifungua uzi ntakutag Ndugu yangu ila wakuamini kwa evidence wanazozitaka
na kuna sheria zinalindwa ili watu wasifaham lolote kuhusu flat earth.
Kabsa mkuu
 
Sasa kama ni flat mwisho kuna nini na kama ni duara, je unaweza kwenda kwa chini ya hilo duara?
hapo kwenye hilo barafu kuna mpaka, ambao binadam haturuhusiwi kuuvuka. kuna baadhi ya makubaliano yameekwa. na hyo ramani haijakamilika.
 
hata hizi evidenve zao ni dhahania tu.
* hivi gravitational pull ya moon ivute maji kupelekea tides lakini ndege wanaruka na hata hawawi affected na hyo gravitation.
 
Sasa kama ni flat mwisho kuna nini na kama ni duara, je unaweza kwenda kwa chini ya hilo duara?
Jikite kwenye Nukta Moja, nimekujibu kuhusu utambarare wa Dunia.

Ukomo wake hakuna aliye ufikia.
 
Hizo sayari nyingine umewahi kuziona ? Kama umewahi kuziona umeziona kupitia njia gani ? Ya ana kwa ana.

Kama ni kinyume kipi kinafunya wewe uamini uwepo wa sayari hizo ?

Mkipata muda fatilieni ishu za CGI muone watu walivyo fika mbali katika kuvipa vitu vya kufikirika uhalisia.
Sijawahi kuziona, ila sikubaliani na wewe kwamba Jua, mwezi na nyota viko ndani ya dunia.
 
Ni kweli kabisa watu hawajui kuwa hii dunia bado inasiri kubwa na inaongozwa na wahuni walioamua kuifanya dunia watakavyo.

Elimu tusomazo ni uongo by90%, how? Baada ya vita hizo mnazoita vita za dunia kumbe bi vita za wazungu, waliamua kuunda mifumo mipya ya kuicontrol dunia na kugawa matabaka na tawala mbalimbali bila kusahau milki na mipaka ya nchi, huku baadhi ya mambo ama elimu za baadhi ya mambo zikiwekwa kama elimu kwa baadhi ya watu kulingana na matabaka yao.

Na kuna mambo mtu wa kawaida hutakiwi kuyajua kwa mujibu wao, hivyo ni jukumu lao kuhakikisha bloodline ya watu walio kwnye circle ya kutokujua haya mambo waendelee kutoyakua tokea kuzaliwa mpka kufa na vizaz vyao vyote, ila tu kwa wale waliochaguliwa kuyajua hayo mambo ambao nao wako ktk hio circle ya kuyajuwa hayo mambo kulingana na level za kinguvu ktk uhusika wa hizi jamii za hawa wahuni.

Mambo ambayo wanatumia kuhakikisha mtu wa kawaida ama ambaye hayuko ktk circle ya kuzijua hizo elimu ni kupitia

Shule
mtoto anapozaliwa tu anapewa hizi elimu zetu za uongo uongo na historia za uongo kumfanya asitoke nje ya mfumo wa kimaisha wa kuujua ulimwengu kwa kumpandikiza mindset za kijinga na kitumwa za kuaminishwa kila jambo la kisayansi na technolojia za uongo.

dini, hapa ndipo walipowaweza watu na kuwakamata wengi kwa kuwaaminisha kuwa dini ndio chanzo cha mtu kumjua Mungu, na usipokuwa na dini basi wew ni mpagani na mtu wa motoni, hivyo dini zikawekwa kuwafanya watu watumwa wa agenda fulan zinazowafanya watu wawe limited kimawazo, kiakil, kiroho na kinguvu yaan wasifikir nje ya mifumo na mipaka ya dini(Mind-control) hivyo basi huu nao ni mtego ama gereza la kuwapofusha watu akili litumiwalo na hao wachache wasiotaka watu wasio ktk circle yao waujue ukweli nje ya hizi imani za kidini.

Media, hizi ni baadhi ya njia watumiazo kusambaza propaganda, uongo, uzushi, makala za uongo, historia za uongo, na mengi ya hovyo, lengo kuwafanya watu wasio wa mlengo wao kuaminisha yale waliyowadanganya tangu utoton kuwa ni kweli pia kuyakazia mafundisho yao ya uongo ya kidini na elimu zao za uongo,

Sanaa za muziki+mpira
Hapa hata sizungumzii kitu maana kuna watu hata humu hawawezi kuitaja mikoa 20 ya Tanzania lkn wanaweza kuwataja wachezaji wa kikosi kizima cha simba na yanga ambayo haina msaada ktk jamii zaidi ya kuwaweka bize na mambo ya msingi na kuwapotezea muda, hapa wale wahuni ndio wanaosapot vzr sana hiz mambo ya burudan kwa kuwafanya hawa watoa burudan kama kioo cha jamii na mifano ya jamii, hili lote ni kuifanya jamii isiyo ktk circle yao iwe bize na maupuuzi ya mamipira.

Nirudi kwenye point.
Baada ya hawa wahuni kuweka hii misingi yao ndipo sasa walioamua hata kuifanya jamii ione Dunia ama huu ulimwengu uko vipi na vitu vipi vinavyouunda huu ulimwengu.

Hushangai kwann USA+Russia+China n.k hizi nchi hazipatan lkn linapokuja suala la Technolojia ya Anga huwa wapo pamoja?, Jiulize kwanin, hawa wote kiukweli wanajuana vzr na hawa ndio maadui zetu wakuu ambao ndio waliosuka mipango ya uongo kuhusu Umbo la dunia na ramani nzima ya dunia bila kusahau Elimu nzima ya anga.

Dunia sio mviringo
Dunia haina mabara 7
Dunia inaundwa na bara moja tu ambalo ni Afrika na hayo mengine waitao mabara ni vijisehem vya ardhi vilivyomeguka ktk Bara la Africa hapo zamani(Pangea) na kuunda viji ardhi vingine.
Dunia haizunguki wala haitembei, bali jua ndilo huizunguka dunia pia mwezi vivyo hivyo.
Jua sio nyota wala jua haliko umbali waliotuaminisha, vile vile jua ni dogo kulko hata umbo la dunia.
Hakuna chombo chochote kilichowai kutoka ktk anga la dunia, wala hakuna aliyewai kutoka nje ya anga la dunia, hata hizo parachuti zao wanazoziita satellite zinaelea ktk anga hili hili na si nje ya anga la dunia, kwanin? Kwasababu hicho kitu wanachoita space, ni uongo na elimu nzima kuhusu Gravitation force ni uongo na uzushi uliotungwa kutetea elimu ya uongo.

hiyo michezo yao ya kurusha satellite nje ya dunia haijawai kufanikiwa wala hiyo michezo ya kurusha rocket nje ya dunia haijawai kufanikiwa zaid ya kuangushwa huko mnakoita bahar ya shetan a.k.a Bermuda triangle .

pia hata zile picha za sayari na mwezi mnazoaminishwa , zile nazo zimetengenezwa hapa hapa dunian huko majangwa ya Arizona na area51 ambako hawataki mtu yeyote aingie kwa kuwaisha kuwa kuna aliens kumbe kuna makambi ya kijeshi kulinda studio zao za kutengeneza mapicha yao ya uongo kuhusu dunia.

Hii michezo inajulikana na wengi tu hata wao wanajua ni wengi wanajua basi tu Nguvu waliyoitumia kuwaaminisha UONGO, watu wengi tangu utotoni NGUVU HIYO ni ngumu sana kupindua meza na uongo wao kuwa peupe, ndiomaana hawaishi kuleta uzushi wa kuendelea kuutetea uongo wao.

Niishie hapa watu wasiopenda kujifunza nje ya box watachanganyikiwa bure.
View attachment 2601925
Uliposema wanaaminisha watu Area 51 kuna aliens nmekuona wewe ni mjinga bwashee......Hiyo sehemu si kila siku wanashutumiwa na wanakataa kuhusu hilo ? Wewe unasema wao wanaaminisha watu hivyo


Nchi tuna vijana wa ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom