Ujuaji wa kijinga

Richard mtao

JF-Expert Member
May 13, 2018
209
236
Salaam Wakuu.

Kumekuwa na wimbi kubwa la watu especially vijana kujikuta wanajua kila kitu, kiasi kwamba tabia hii inachangia pakubwa kufifisha ndoto/matamanio yao pia tabia hii inadhoofisha mafanikio ya baadhi ya vijana wenye mtizamo tofauti na wenye uchu na mafanikio ya kweli.

Je, unazungumziaje tabia hii iliyokithiri miongoni mwa watu wengi hivi sasa?

Na unahisi nini kifanyike kupunguza tabia hii na kitachochangia ustawi bora wa vijana kifikra na matendo pia??
 
mfano?? lakini pia kumbuka kwa dunia ya sasa ni rahisi sana mtu kujua vitu vingi kwa wakati mmoja kutokana na urahisi wa upatikanaji wa habari uliosababishwa na maendeleo ya teknolojia ya habari mfano unaweza kuwa Tanzania lakini ukawa unajua kinachojadiliwa kwenye senate hapo DC in real time
 
Salaam Wakuu.

Kumekuwa na wimbi kubwa la watu especially vijana kujikuta wanajua kila kitu, kiasi kwamba tabia hii inachangia pakubwa kufifisha ndoto/matamanio yao pia tabia hii inadhoofisha mafanikio ya baadhi ya vijana wenye mtizamo tofauti na wenye uchu na mafanikio ya kweli.

Je, unazungumziaje tabia hii iliyokithiri miongoni mwa watu wengi hivi sasa?

Na unahisi nini kifanyike kupunguza tabia hii na kitachochangia ustawi bora wa vijana kifikra na matendo pia??
Bado haujaueleza huo ujuaji.Fafanua.
 
Salaam Wakuu.

Kumekuwa na wimbi kubwa la watu especially vijana kujikuta wanajua kila kitu, kiasi kwamba tabia hii inachangia pakubwa kufifisha ndoto/matamanio yao pia tabia hii inadhoofisha mafanikio ya baadhi ya vijana wenye mtizamo tofauti na wenye uchu na mafanikio ya kweli.

Je, unazungumziaje tabia hii iliyokithiri miongoni mwa watu wengi hivi sasa?

Na unahisi nini kifanyike kupunguza tabia hii na kitachochangia ustawi bora wa vijana kifikra na matendo pia??
Ianzishwe wizara ya fikra na matendo..!
 
Salaam Wakuu.

Kumekuwa na wimbi kubwa la watu especially vijana kujikuta wanajua kila kitu, kiasi kwamba tabia hii inachangia pakubwa kufifisha ndoto/matamanio yao pia tabia hii inadhoofisha mafanikio ya baadhi ya vijana wenye mtizamo tofauti na wenye uchu na mafanikio ya kweli.

Je, unazungumziaje tabia hii iliyokithiri miongoni mwa watu wengi hivi sasa?

Na unahisi nini kifanyike kupunguza tabia hii na kitachochangia ustawi bora wa vijana kifikra na matendo pia??
Kurudi katika mfumo wa Zamani, kwanza kuvaa kwa staha sio kata 'k',kusoma na kusikiliza wahenga kwa makini bila kupiga kwa sana tamaduni nchi za nje.
 
mfano?? lakini pia kumbuka kwa dunia ya sasa ni rahisi sana mtu kujua vitu vingi kwa wakati mmoja kutokana na urahisi wa upatikanaji wa habari uliosababishwa na maendeleo ya teknolojia ya habari mfano unaweza kuwa Tanzania lakini ukawa unajua kinachojadiliwa kwenye senate hapo DC in real time
Nakubaliana nawewee.
Lakin ujuaji nnao uzungumzia hapa ni ule wa kipuuzi, yaan utakuja mtu hatak kuonekana hajui, anataka kuonekana anajua kila kitu( siasa yey, uongozi vionhoz yey, uchumi wa nchi na mataifa yey, mtu makini na bora yey, yaan kiufupi hatak kuonekana ana upungufu mahali popote)
 
Mtu anapinga kila kitu bila kutoa sababu za msingi na anataka jamii na dunia nzima ione mada iliyowasilishwa ni ya kipuuzi isipokuwa hoja zKe ambazo kimsingi hazielewek na sio zenye tija ukilinganisha na mada iliyopo mezani.
 
Bado haujaueleza huo ujuaji.Fafanua.
Ahsante.
Nitatoa mfano katika mtizamo wa kisiasa.

Hivi sasa kumekuwa na joto kali kwenye ulingo wa kiasa Tz.

Utakuta vijana ambao n wafuasi wa chama X wanabisha kwa nguvu zote na kuonesha ni kwa jinsi wao ni mashupavu katka kujibu kila hoja na kukosoa vikali yale yanayofanywa na serikali.

Sasa ujuaji unakuja wapi??
Pale ambapo wanajarbu kushawishi watu wengine kwamba serikali inazingua, unakuta mfumo wa uwasilishwaji wa hizo hoja haujazingatia hali halisi na kinachofanyika ni kupotosha watu kupitia uelewa mdogo walionao kuhus maswala ya kisiasa n.k

Sijui umepata point ynagu
 
Back
Top Bottom