Ujio wa Yesu na Dini

Mbona hoja nyepesi mkuu,mbona pia kuna watu wapo vijiweni tu hawafanyi kazi yawezakuwa kwa kutotaka kufanya kazi ama kukataa kazi zenye malipo kidogo kisa yeye msomi..je nao pia utasema dini ndiyo imesababisha hivyo? ama ni watu wenyewe tu?

Halafu tuache kukariri usione mtu anashinda tu sehemu ukadhani hana kitu cha kumuingizia kipato.
 
Dini ni kama taasisi iliyotengenezwa kuwa subject watu haswa waafrica kukubali utawala wa wazungu na kuwafanya kuwa tegemezi maisha yao yote..Tafsiri yangu..
Wazungu hawa hawa ambao wanataka tukubali ndoa za jinsia moja? kama ndio hawa hebu eleza ni vp wazungu wanatumia hizi dini ili tukubali utawala wao.
 

Usiame sana Mkuu, dhana ni imani ya dini. wapo wasioamini katika dini na wapo wanaoamini. Kwa sensa ya harakaharaka maskini wengi wanaamini katika dini na kuona ndo njia ya kumfikia Mungu kupata mahitaji yao tofauti na ilivyo kwa matajiri wengi..
 
Uliwahi kufa mkuu hayo mambo wewe umeyajuaje?

scientific proof.. achanana mambo ya dhahania kutokana navitabu vya mzungu. Mfano ni kwamba ukifa na tukaja kukuangalia baada ya miaka minne ni udongo tu sasa utafufuka huku ushafutika katika sura ya dunia!!
 
kila mtu atavuna alichopanda
[emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]
 
Sasa Rafiki Prof. Nanii karogwa na nani?
 
Kwa hio ni nini kiliwaondoa wale weusi katika misri?? Ni intermarriage,,waliuliwa (genocide) au walihamishwa? Hadi wagiriki na waarabu wakatakeover,,,mimi kulingana na biblia Mwanzo10:6~20 Utaona Misri akiwa Mtoto wa Hamu alizaa wafilisti ambao ni kabila la waarabu.Hivyo lazima alikuwa na gene za kiarabu.Na zaidi misri ni jina la mtu aliewazaa Wamisri wote kama ilivyo kwa Yakobo kwa wana wa Israel..Na Wamisri walikuwa ni taifa kubwa kama Marekani hapo zamani na elimu yao haimtegemei mgiriki labda uniambie mgiriki alikopi na kupesti kwa mmisri.Na pia kwangu mimi kushi sio waafrika,,kushi ana mtoto alieitwa Nimrodi na ndie alienzisha ufalme katika babeli kwenye nchi ya Shinari(iraq) mpaka Syria na ndie mjenzi wa mji wa Ninawi,,,na mpaka leo kuna sanamu ya Nimrodi ninawi.Kwa hio watu walipoanza kuwa wengi Iraq ndio wakaanza kuhama kwenda maeneo mengine...Na wanubi(weusi)Wameanza maisha yao Sudan..Misri ina fungamana na waarabu..na ni mojawapo ya chimbuko(shrine) la waarabu.
 
Usiame sana Mkuu, dhana ni imani ya dini. wapo wasioamini katika dini na wapo wanaoamini. Kwa sensa ya harakaharaka maskini wengi wanaamini katika dini na kuona ndo njia ya kumfikia Mungu kupata mahitaji yao tofauti na ilivyo kwa matajiri wengi..
Nimekuuliza kuna watu hawafanyi kazi wapo ndani wakimtegemea mungu? au wote wenye kuamini na wasio amini dini wanafanya kazi pamoja?
 
Ww ni mtu wa ajabu sana
 
scientific proof.. achanana mambo ya dhahania kutokana navitabu vya mzungu. Mfano ni kwamba ukifa na tukaja kukuangalia baada ya miaka minne ni udongo tu sasa utafufuka huku ushafutika katika sura ya dunia!!
Sasa hapo ushahidi wa kuwa hakuna kinachoendelea ni upi?

Halafu vitu vingine ni vya ajabu,leo hatushangai habari ya ya manii kwa sababu tunajua taratibu zake hadi anapokuja kupatikana kiumbe na hadi kuzaliwa ila unasema haiwezekani binadamu huyo huyo aliyepatikana kwa manii kuwa hawezi kufufuka!!!
 
Islamic state japo wako nje ya uhalisia wa ukweli lakini wameyaendesha mambo yao kwa weledi mkubwa,,Umewahi kufikiri chochote juu ya Ninawi au Dabiq?? Umewahi kuwaza juu ya kauli ya Abu Musab al zarqaw""A torch has been lit here on dabiq which will rise until it burnt all the crusaders"" Hawa jamaa walikuwa na plan na walifikiria maeneo Mojawapo ambayo maisha yalianzia na wakajua wanaweza kuanzisha sera mpya ya maisha na Utawala kwa kupitia yale maeneo sensitive..Na kingine ile Armageddon kambi zao hazitakuwa mbali na maeneo haya maana circle humalizikia ilipoanzia..Africa wangekuwa wakushi wasingeamini mizimu maana Nimrodi mtoto wa kushi alikuwa rafiki wa MUNGU.
 
Mkuu toa ushahidi kwamba Bob Marley alikuwepo bila kutumia historia.Ungejua hata huyo Bob aliamini Mungu yupo na alikuwa msomaji mzuri wa Biblia otherwise asingejua habari ya Shadrach Meshach na Abednego na hata kuwaimba katika moja ya nyimbo zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…