rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,212
- 20,203
kiukweli mpaka sasa chadema chini ya mbowe inazidi kudidimia sasa hivi kuna mambo mengi ambayo yeye akiwa mwenyekiti angeweza kuyasimamia na kuyapigania lakini badala yake anahangaika na watu kama wema.Kwakifupi wema ni mtaji wa magazeti ya udaku hasa ya shigongo ila kwenye siasa hamna kitu kabisa