Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,495
- 17,367
Wana JF heshima mbele;
Nimepata taarifa rasmi kuwa kuna shirika kubwa sana la ndege la wazawa wa Tanzania hapa hapa linaanzishwa litakuwa na ndege nyingi zaidi ya Precision (zaidi ya ndege 20)..za uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 75 kila moja...wameanza kuajiri marubani kama 20 hivi na air hostes kama 30.
Mwenye data kamili atujuze;
Nini mustakabali wa ATCL?itaweza kupambana na makampuni binafsi tena ya wazawa wenye nguvu sana na influence serikalini??
Nawasilisha
Nimepata taarifa rasmi kuwa kuna shirika kubwa sana la ndege la wazawa wa Tanzania hapa hapa linaanzishwa litakuwa na ndege nyingi zaidi ya Precision (zaidi ya ndege 20)..za uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 75 kila moja...wameanza kuajiri marubani kama 20 hivi na air hostes kama 30.
Mwenye data kamili atujuze;
Nini mustakabali wa ATCL?itaweza kupambana na makampuni binafsi tena ya wazawa wenye nguvu sana na influence serikalini??
Nawasilisha