Ujio wa Prince William Sisi kama Taifa Tunanufaikaje ???

Ujio wa Prince William Sisi kama Taifa Tunanufaikaje ???

Joined
May 22, 2018
Posts
26
Reaction score
10
mtoto wa malkia wa uingereza "Elizabeth" Kufanya ziara yake barani afrika katka baadhi ha nchi na inaelezwa kuwa hata tanzania ni miongoni mwa sehemu anazozuru kijana huyu ambae amekuwa ni mwanaharakati wa masuala ya ujangiri kwa mjda sasa na nchini tanzania anatarajiwa kukutana na rais JpM kwaajiri ya kujadiri masuala haya haya ya ujangiri n.k
je ujio wake huu tunautafsiri vipi wanajukwaa, je ss kama taifa tutanufaika na nn juu ya ziara hii ya prince, nafasi ya ujangiri nchini kwetu ikoje ukikompea na juhudi za serikali katika kupambana, harakat za prince zimekuwa zikifanikiwa kwa kiasi gani???
MSAADA WENU WANAJUKWAA TAFADHALI🙏🙏🙏
 
Sioni faida yoyote,kwani hawezi kufanya harakati zake hukohuko mpaka aje huku...wajanja tumeshasoma kule SYRIA kwenye viunga vya Idibili dalili sio nzuri,,wanahangaika kuungwa mkono NATO inahangaika kila kona Afrika..
 
Nikizungumza suala la kuungwa mkono,watu wanadhani ni silaha au wanajeshi,,vita ya sasa strategic war,,war of specification on Interest,,The war of expansionasm and war of strategic protectionism...MBULULA PITENI KUSHOTO.
 
mtoto wa malkia wa uingereza "Elizabeth" Kufanya ziara yake barani afrika katka baadhi ha nchi na inaelezwa kuwa hata tanzania ni miongoni mwa sehemu anazozuru kijana huyu ambae amekuwa ni mwanaharakati wa masuala ya ujangiri kwa mjda sasa na nchini tanzania anatarajiwa kukutana na rais JpM kwaajiri ya kujadiri masuala haya haya ya ujangiri n.k
je ujio wake huu tunautafsiri vipi wanajukwaa, je ss kama taifa tutanufaika na nn juu ya ziara hii ya prince, nafasi ya ujangiri nchini kwetu ikoje ukikompea na juhudi za serikali katika kupambana, harakat za prince zimekuwa zikifanikiwa kwa kiasi gani???
MSAADA WENU WANAJUKWAA TAFADHALI
Mjukuu huyu sio mtoto
 
mtoto wa malkia wa uingereza "Elizabeth" Kufanya ziara yake barani afrika katka baadhi ha nchi na inaelezwa kuwa hata tanzania ni miongoni mwa sehemu anazozuru kijana huyu ambae amekuwa ni mwanaharakati wa masuala ya ujangiri kwa mjda sasa na nchini tanzania anatarajiwa kukutana na rais JpM kwaajiri ya kujadiri masuala haya haya ya ujangiri n.k
je ujio wake huu tunautafsiri vipi wanajukwaa, je ss kama taifa tutanufaika na nn juu ya ziara hii ya prince, nafasi ya ujangiri nchini kwetu ikoje ukikompea na juhudi za serikali katika kupambana, harakat za prince zimekuwa zikifanikiwa kwa kiasi gani???
MSAADA WENU WANAJUKWAA TAFADHALI
Halafu unakuta huyu ni kamanda wa cdm na wanataka wapewe nchi!!!!!
 
mtoto wa malkia wa uingereza "Elizabeth" Kufanya ziara yake barani afrika katka baadhi ha nchi na inaelezwa kuwa hata tanzania ni miongoni mwa sehemu anazozuru kijana huyu ambae amekuwa ni mwanaharakati wa masuala ya ujangiri kwa mjda sasa na nchini tanzania anatarajiwa kukutana na rais JpM kwaajiri ya kujadiri masuala haya haya ya ujangiri n.k
je ujio wake huu tunautafsiri vipi wanajukwaa, je ss kama taifa tutanufaika na nn juu ya ziara hii ya prince, nafasi ya ujangiri nchini kwetu ikoje ukikompea na juhudi za serikali katika kupambana, harakat za prince zimekuwa zikifanikiwa kwa kiasi gani???
MSAADA WENU WANAJUKWAA TAFADHALI
Nafikiri anakuja kumuonya jiwe apunguze ujangiri wake kwa chadema...
 
Tunapata faida ya kumuonesha uwepo wa kipara ngongo pale ikulu
 
Back
Top Bottom