Ujio wa Iphone 6 November mosi

Ujio wa Iphone 6 November mosi

Haya wewe mwenyeji wa simu za bei mbaya endelea kubaki na imani yako wala sio lazima ukubali nilichosema ila subiri mwezi ujao simu itatangazwa then utaona mwenyewe.

Mimi huwa nimekuwa naulizaga bei za simu mara kwa mara Posta, Iphone ni wagumu kushusha bei ya bidhaa zao na ni mara nyingi bei zao huwa wanalenga kwa watu wenye pesa zao na si walala hoi. 6 Mil sio mchezo, hiyo simu ikija imezidi sana Milion 2 kwa kuwa ndo inaingia sokoni. Naunga mkono ulichosema, hiyo simu haiwezi kuuzwa kwa Milion 6.
 
nakuunga mkono mkuu. rumors zinasema september sio november kutakua na iphone 6 yenye screen size ya 4,7" na iphone 6L yenye kioo cha 5,5". zitatofautiana specifications pia ila same operating stm. bei hazijavuja sana ila haitazid 2mill ya tz unless iwe customized.

hizo picha nadhani fotoshoped tu. iphone hawawez unda simu yenye bezel ndogo hivyo. lg samsung sony ndio wanaweza

mkuu una maana gan hapo kwenye red?
 
mkuu una maana gan hapo kwenye red?

simu inawekwa nakshi za gold au diamonds carats kadhaa. mfano unanunua simu maybe kwa mil 1,3 hafu na hayo madini kwa mil 3, designing costs na vingine jumla mil 6 hivi .
 
milion6 ...weeeee!!! mbona nackia itakuwa $1000 tu ....mi nmejipanga afu msilte utani bhana... milion6 atanunua mdg 'ke steve JObs
 
Ngoja itoke hiyo Iphone 6 ili hizi nyingine zishuke bei tununue
 
Ikitoka 6 me nanunua 4s itakuwa haina wateja
 
Ni kweli simu nzuri, na bei ipo juu kwa sisi wenye hali ya kawaida, ila inamatumizi gani ya ziada sana ambayo ni tofauti na hizi zingine tunazotumia huku kwetu? (ki miundombinu)
 
Nina uhakika hazifiki mil 6, zinaishia mil 2.5
 
Back
Top Bottom