daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
I will be dead to buy that thing or whatever it is!Milioni 6 ???? Asante kwa taarifa
I will be dead to buy that thing or whatever it is!Milioni 6 ???? Asante kwa taarifa
Jamani ivi mbona mi toka ninunue simu yangu hainiletei yale mambo ya "From my iPhone using jamii forums" kama wenzangu? Nifanyaje?
View attachment 178157
Kampuni matata ya kutengeneza vifaa vya electronic ambayo imejipatia umaarufu mkubwa kwa kuunda simu za iphone,ipad,ipod hata kompyuta na television ,(apple) inatarajia kuiweka sokoni simu mpya yenye mfumo wa ios iphone 6.
Simu hiyo ambayo inasemekana kuwa ya kisasa zaidi inatarajiwa kuwa sokoni novembar 1 mwaka huu, cm iyo ambayo itakuwa na uwezo wa kujijibu yenyewe kama muhusika hatokuwa karibu nayo ,kwa hapa Tanzania inatarajiwa kuuzwa tsh milioni 6 , haya jamani wazee wa iphone tazama picha za kitu iko!!!
Jamani ivi mbona mi toka ninunue simu yangu hainiletei yale mambo ya "From my iPhone using jamii forums" kama wenzangu? Nifanyaje?
Kama hivi?
Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
Mkuu kwani iphone 5s na 5c ipi ipo juu?sasa iphone 5s ni 1.5milion iphone 5c 2.1milion iphone 5 1milion na 30000 iweje iyo iwe bei iyo
Hiyo theory yako si sahihi. Bei huwa zina range fulani. Zao jipya linapotolewa la zamani hushuka bei. Bei itakuwa kati ya dola 700 hadi 1500, hapo bila customization. Articles nyingine zinasema inaweza uzwa nchini Uingereza kati £549, £629 na £709 kulingana na Memory.sasa iphone 5s ni 1.5milion iphone 5c 2.1milion iphone 5 1milion na 30000 iweje iyo iwe bei iyo
Mkuu kwani iphone 5s na 5c ipi ipo juu?
Nilisahahu jamani hapo ukweli mjuavyo ndio sahihinadhani kasahau 5s ni flagship ya mwaka 2013 na 5c ni msindikizaji tu.
5c cheap zaidi ya 5s.
Haiwezi kuwa mil 6 hata siku moja labda kama unataka iwe customized na madini kama gold etc. bei yake ita range kati ya mil 1 hadi 1.5
Fikra za Steve Jobs zitaichukua dunia miaka mingi kusahaulika..Alale pema peponi Jobs. Nitatumia tuu kama ninavyotumia MacBook pro,,iphone 5 na pad kama hivi. Namkubali jobs nitamuenzi kwa kununua kazi zake. "I want to put a ding into the universe"- Jobs
mkuu sijakuelewa kuhusu iphone pia wewe umetazama wapi? Si kweli ngoma inatoka novembar wewe weka weka pesa hiyo, wale watoto wako wanyime ada, waludi nyumbani upate iphone yako mzee iyo ndio akilinakuunga mkono mkuu. rumors zinasema september sio november kutakua na iphone 6 yenye screen size ya 4,7" na iphone 6L yenye kioo cha 5,5". zitatofautiana specifications pia ila same operating stm. bei hazijavuja sana ila haitazid 2mill ya tz unless iwe customized.
hizo picha nadhani fotoshoped tu. iphone hawawez unda simu yenye bezel ndogo hivyo. lg samsung sony ndio wanaweza
ndugu yangu 6milion nadhani wewe ndio umeiyona nyingi ila iyo sio pesa kwa wenye nazo!!sio kila maneno wanayoongea wavuta bangi unayaleta hapa simu mil 6? wewe mwenyewe inibidi utumie kichwa kufikiri.
Eheeee nini tena chifu mkwawa tena , jamani jf imeshakuwa ya kichawiichief-mkwawa naisubiria comment yako kwa hamu hapa