KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 731
Fikra yoyote huamuliwa na mwanadamu kutokana amedondokea katika mlengo gani, maana mwanadamu huongozwa na hisia, hisia ndio kitu pekee kinachoamua kipi mtu afanye na kipi mtu asifanye.
Tukisema kwamba Mimi viko huru ninajiendesha ninapojisikia tunakuwa tumejidanganya sisi wenyewe huku tukijicheka kwa mwendo wa slow motion, kitu tunachopaswa kufahamu mawazo ya mwanadamu huamuliwa na upande alipo na wala sio utayari.
Tukisema kwamba Mimi viko huru ninajiendesha ninapojisikia tunakuwa tumejidanganya sisi wenyewe huku tukijicheka kwa mwendo wa slow motion, kitu tunachopaswa kufahamu mawazo ya mwanadamu huamuliwa na upande alipo na wala sio utayari.