Ujinga tutaacha lini?

Ujinga tutaacha lini?

Ipo cku ntafanya mtu kama yule juma kanani wa fb. Jamaa alinitukana akatosheka bila kujua ni jirani yangu mara mwisho nilimfata nkampa vitasa vya maana. Sasa ngoja wajione ati ni fake ids na email inasoma uliko pumbavu. Kuna mmoja wa kinondoni nataka nimtolee mfano
 
Sili bhang yoyote mkuu, nimekupa pole na nini ufanye kama hutaki kutongozwa tongozwa. samahani kama nimeingilia privacy yako na hao jamaa. Tafadhali usianze na mimi, sijawahi kukuita dem kama ulivyosema.
jpili nitafute nikununulie hata konyagi coz nimeona unajielewa ila kama utakuwa ndan ya dar mimi ntakuja maeneo ya karbu tushushe konyagi
 
Aisee.. 😂
Hii dunia kuna watu wanateseka na vitu trivial sana...

Yani kwa wenzetu mtu anazaliwa mwanaume, inafika muda mpaka yeye mwenyewe anaamua kubadilisha jinsia na hawazi ila bongo mtu kuitwa tu wa kike anataka ajiuwe.

Mkuu achana na attachment na maneno ya watu
 
Hii kazi ya mtu kupost kitu JF mnaanza kusema huyu ni mwanamke anakuja kiume, cjui ni mwanamme anakuja kike kike muache. Mfano mim ni me afu mtu kabisa na akili zake anasema mimi n dem pumbavu zenu. Hiyo sensor ya kuhesabu wanaume na wanawake nani kawapa? Kama huna cha kukoment achana nayo na sio kuleta mambo ya kidwanzi mbele zangu vichwa mandazi nyie.

Leta mapovu yenu niwatoe nyoro hapa. Akili mnajitoa hambakizi hata za kuvukia barabara. Hapa hakuna mtu anamnunulia mtu simu au bundle aje jf kupangiwa cha kupost mbwa nyie.
☺️😁 Kuchanganyikiwa Kila mtu kwa zamu yake.
 
Hii kazi ya mtu kupost kitu JF mnaanza kusema huyu ni mwanamke anakuja kiume, cjui ni mwanamme anakuja kike kike muache. Mfano mim ni me afu mtu kabisa na akili zake anasema mimi n dem pumbavu zenu. Hiyo sensor ya kuhesabu wanaume na wanawake nani kawapa? Kama huna cha kukoment achana nayo na sio kuleta mambo ya kidwanzi mbele zangu vichwa mandazi nyie.

Leta mapovu yenu niwatoe nyoro hapa. Akili mnajitoa hambakizi hata za kuvukia barabara. Hapa hakuna mtu anamnunulia mtu simu au bundle aje jf kupangiwa cha kupost mbwa nyie.
WAnaume wa huku wanatongoza, hawajali.
 
Hii kazi ya mtu kupost kitu JF mnaanza kusema huyu ni mwanamke anakuja kiume, cjui ni mwanamme anakuja kike kike muache. Mfano mim ni me afu mtu kabisa na akili zake anasema mimi n dem pumbavu zenu. Hiyo sensor ya kuhesabu wanaume na wanawake nani kawapa? Kama huna cha kukoment achana nayo na sio kuleta mambo ya kidwanzi mbele zangu vichwa mandazi nyie.

Leta mapovu yenu niwatoe nyoro hapa. Akili mnajitoa hambakizi hata za kuvukia barabara. Hapa hakuna mtu anamnunulia mtu simu au bundle aje jf kupangiwa cha kupost mbwa nyie.
CHAI
 
Back
Top Bottom