Ujinga ni kuamini Yesu ni mtoto wa Mungu.
Ujinga ni kuoa mke mmoja kisha unakuwa malaya wengi kisa dini hairuhusu kuwa kuoa wake wengi ila inaruhusu umalaya.
Ujinga ni kuruhusu ushoga nyumba za ibada kisa haki za binadamu.
Ujinga ni kushabikia dini kisa tu, umepata akili ukajikuta una dini hiyo toka kwa wazazi wako
Ujinga ni kuanzisha thread hii.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ujinga ni kuamini Yesu ni mtoto wa Mungu.
ujnga n kuamin ukikojolea QN unakua nyoka
ujinga ni kukosoa maoni ya wengine kwa kutumia bbUjinga ni kuanzisha thread hii.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kwa kutumia mantiki yako 'Ni ujinga kuamini kuwa Yesu ndiye Jesus'.Ujinga ni kuamini kuwa Yesu ndiye Issa.