Ujinga Ni.........

Ujinga ni kuoa mke mmoja kisha unakuwa malaya wengi kisa dini hairuhusu kuwa kuoa wake wengi ila inaruhusu umalaya.

Ujinga ni kuruhusu ushoga nyumba za ibada kisa haki za binadamu.

Ujinga ni kushabikia dini kisa tu, umepata akili ukajikuta una dini hiyo toka kwa wazazi wako
 
Namchukia sana hata kama nitakuwa peke yangu, yoyote yule ambae kila thread hata ambayo haihusu mambo ya dini, yeye huyo lazima achomekee/aanzishe mambo ya kuchokoa mambo ya dini. Katika uzi huu mjinga ni yule alianza kwanza kuleta udini kushambulia wanaoruhusiwa kuoa wake wengi kwa imani zao. Mimi ni mkristo na naihubiri imani yangu kwa kutumia Biblia bila kuchambua vifungu vya Vitabu wanavyotumia watu wa dini tofauti na yangu. Amen.
 
ujinga ni noah kusingizia kutiwa kwenye dust bean/bin/
"" """ "" " kuvua boxer then unyimwe niaje
 
ujinga ni kuamini utaenda mbinguni bila kuamin yesu ni mwana wa mungu
ujinga ni kuamin viongoz wa dini waliosema jk ni chaguo la mungu.
ujinga ni kuamin atayempinga jk kwenye uchaguzi atakufa.
 
ujinga ni kujua kwamba kaburu na kaseja ndo wanaiharibu simbafc.
 
ujinga ni kuacha kula ugali mara uingiapo majuu na kudai unaumiza tumbo....
 
ujinga ni kukaa kijiwe cha kahawa na kuamini kuna siku utapewa nafasi ya kuongoza nchi na yeboyebo na kipedo, kilaza!.
 
Ujinga ni kutuma sms clouds fm eti unampongeza Obama kushinda uchaguz, ujinga n kumuuliza konda wa daladala mbona hatuondok wakati dreva yupo, ujinga ni kumwombea marehemu ambavyo enzi za uhai wake ulikuwa umwombei, ujinga n kuamin kuwa vyuo vikuu hakuna mambo y kijinga
 
Ujinga ni kuvaa sare wanaume na wanawake.Wanaume nyeupe, wake nyeusi.
Ujinga ni kufunika uso wote na kuacha macho tu hata wakati wa jua,kisha kupiga picha!! ha ha haaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…