Hatuwezi kuuza Nchi
Nani anaweza kununua nchi hii??, what for???Hatuwezi kuuza Nchi
Na kama unaamini hayo wakati umepita darasani basi huo sio tena ujinga bali upumbavu manake mjinga ni yule asiyejua jambo lakini akielimishwa, anaachana na ujinga aliokuwa nao!
Lakini kama umepita darasani na ukafundishwa kwamba hawa jamaa wapo madarakani kwa miaka 60 sasa lakini hata ule mji waliochagua kuwa uwe makao makuu ya nchi bado miaka 60 baade una shida ya maji safi na salama, lakini pamoja na hayo bado unaamini CCM ndio chama bora basi hapo wewe sio tena mjinga bali mpumbavu uliyefuja kodi za wananchi kwa kukaa darasani!
Nani anaweza kununua nchi hii??, what for???
Ujinga zaidi ni pale tutakaposhindwa kutumia fursa ya kuipiga chini CCM leo tarehe 28 Oktoba,2020 kisha tuendelee kulalamika.Ujinga ni kuamini kwamba CCM ndio watu sahihi wa kuongoza Taifa la Tanzania; Kwamba, WAPINZANI wataharibu nchi ikiwa watapewa Ridhaa ya kuongoza.
Ujinga ni Kuamini kwamba, yeyote anaejaribu kuonesha nguvu za kuitoa CCM madarakani kwa mujibu wa kisheria na kikatiba kwa kutumia kura za wananchi huyo NI MPINZANI na anahatarisha AMANI YA NCHI.
Ujinga ni kuamini kwamba AMANI ya nchi inaletwa kwa uwepo wa CCM madarakani
Ujinga ni kuamini kwamba Ukiwa MPINZANI mwenye maono tofauti na UTAWALA, wewe ni MSALITI/ BEBERU, UNATUMIKA, MCHOCHEZI, MVUNJIFU AMANI
UJINGA ni kuhubiria AMANI huku haki za MSINGI za wapinzani zikiminywa na Kubakwa
Ujinga ni kuamini kwamba TANZANIA kuna AMANI huku mitandao ya kijamii ikizimwa na kuwa deactivated.
Ujinga ni kuamini kwamba TUNDU anatumwa na MABEBERU kuja kutuharibia AMANI ya nchi; huku, watu 9 wakiuliwa huko ZANZIBAR kwa kuhakikisha wanamchagua Rais wa matakwa yao.
Ujinga ni kushindwa kujiuliza AMANI tunayoihubiri kuwa tutaiharibu; Ni nani atakayeiharibu? na je itaharibiwa vipi ? na Nani? na kwa Vipi? Ujinga ni kuficha Uovu nyuma ya neno AMANI.
Ujinga ni kutokujua kwamba KAZI ya Tanzania Intelligence Security Services ni kuilinda Serikali iliyopo madarakani dhidi ya kupinduliwa au kuondolewa MADARAKANI kinyume na Utaratibu uliowekwa KIKATIBA kama vile Upigaji kura ( TISS ACT, 1996); Halikadhalika, Ujinga ni kuamini kwamba KAZI ya TISS ni kuitetea serikali iliyopo madarakani kuendelea kuwepo madarakani hata wakati wa upigaji kura kikatiba na kisheria
Ujinga ni kuwa TISS huku ukivaa manguo ya kijani kipindi cha Uchaguzi.
Ujinga ni kuamini kwamba CHADEMA IKISHINDA basi nchi itakuwa na UKABILA WA KIKANDA; Ikama kuna chuki fulani dhidi ya KASKAZINI huku asilimia 75 ya teuzi za awamu ya 5 ni Kanda ya Ziwa.
Ujinga ni watumishi wa UMMA , wanafunzi na wafanyabiashara kushindwa kujua sehemu sahihi ya kuelekeza kura zao ili Kufanya mabadiliko ya kweli na kuleta maslahi mapana ya TAIFA
UJINGA ni kukubali kutatuliwa shida zenu kwenye MIKUTANO ya kampeni kama vile ukosefu wa Nguzo za Umme BABATI hali ya kuwa malipo yalishafanywa takribani mwaka mzima. Inamaana hili lilikuwa halijuiikani? Ujinga ni kushidwa kujua kuwa hawa watu hawapo SERIOUS.
Tumia nafasi ya kubadili karatasi ya kupiga kura kubadili maamuzi yako. Toa Maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa.
Upuuzi mtupu. Tulia dawa iingie vizuri. Watanzania leo wametoka kutimiza haki yao kama wote. Watanzania wanajua wanachokitaka.Ujinga ni kuamini kwamba CCM ndio watu sahihi wa kuongoza Taifa la Tanzania; Kwamba, WAPINZANI wataharibu nchi ikiwa watapewa Ridhaa ya kuongoza.
Ujinga ni Kuamini kwamba, yeyote anaejaribu kuonesha nguvu za kuitoa CCM madarakani kwa mujibu wa kisheria na kikatiba kwa kutumia kura za wananchi huyo NI MPINZANI na anahatarisha AMANI YA NCHI.
Ujinga ni kuamini kwamba AMANI ya nchi inaletwa kwa uwepo wa CCM madarakani
Ujinga ni kuamini kwamba Ukiwa MPINZANI mwenye maono tofauti na UTAWALA, wewe ni MSALITI/ BEBERU, UNATUMIKA, MCHOCHEZI, MVUNJIFU AMANI
UJINGA ni kuhubiria AMANI huku haki za MSINGI za wapinzani zikiminywa na Kubakwa
Ujinga ni kuamini kwamba TANZANIA kuna AMANI huku mitandao ya kijamii ikizimwa na kuwa deactivated.
Ujinga ni kuamini kwamba TUNDU anatumwa na MABEBERU kuja kutuharibia AMANI ya nchi; huku, watu 9 wakiuliwa huko ZANZIBAR kwa kuhakikisha wanamchagua Rais wa matakwa yao.
Ujinga ni kushindwa kujiuliza AMANI tunayoihubiri kuwa tutaiharibu; Ni nani atakayeiharibu? na je itaharibiwa vipi ? na Nani? na kwa Vipi? Ujinga ni kuficha Uovu nyuma ya neno AMANI.
Ujinga ni kutokujua kwamba KAZI ya Tanzania Intelligence Security Services ni kuilinda Serikali iliyopo madarakani dhidi ya kupinduliwa au kuondolewa MADARAKANI kinyume na Utaratibu uliowekwa KIKATIBA kama vile Upigaji kura ( TISS ACT, 1996); Halikadhalika, Ujinga ni kuamini kwamba KAZI ya TISS ni kuitetea serikali iliyopo madarakani kuendelea kuwepo madarakani hata wakati wa upigaji kura kikatiba na kisheria
Ujinga ni kuwa TISS huku ukivaa manguo ya kijani kipindi cha Uchaguzi.
Ujinga ni kuamini kwamba CHADEMA IKISHINDA basi nchi itakuwa na UKABILA WA KIKANDA; Ikama kuna chuki fulani dhidi ya KASKAZINI huku asilimia 75 ya teuzi za awamu ya 5 ni Kanda ya Ziwa.
Ujinga ni watumishi wa UMMA , wanafunzi na wafanyabiashara kushindwa kujua sehemu sahihi ya kuelekeza kura zao ili Kufanya mabadiliko ya kweli na kuleta maslahi mapana ya TAIFA
UJINGA ni kukubali kutatuliwa shida zenu kwenye MIKUTANO ya kampeni kama vile ukosefu wa Nguzo za Umme BABATI hali ya kuwa malipo yalishafanywa takribani mwaka mzima. Inamaana hili lilikuwa halijuiikani? Ujinga ni kushidwa kujua kuwa hawa watu hawapo SERIOUS.
Tumia nafasi ya kubadili karatasi ya kupiga kura kubadili maamuzi yako. Toa Maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa.
Una mtazamo finyu Sana. Hii ni issue ya nchi so watanzania hawana imani na chama binafsi kama hiki cha Mbowe.Chama hiko unachojifaragua nacho, hakina weledi kwenye uongozi wa aina yoyote maana wote wapigaji wote. Ruzuku, michango ya wabunge, pesa ya mifuko ya majimbo mmezipeleka wapi?. Magufuli anatosha kabisa, na Sera za CCM ndio zitakazo ivusha nchi hii Kwenye uchumi wa juu juu juu.Ujinga wao ni kuongea maneno kwa kupotosha UMMA. Sijui kuuza nchi , sijui Amani Kwanza. Yaani kuna mijutu ni mapumbavu, CCM ikipatiwa ushindani wa kweli ndio amani itavunjwa? So Amani ni CCM KUENDELEA kuwa madarakani!!!!!
Utasikia yakisema Tuitunze Amani yetu .......
unajiuliza what ? How ? Tutataka CCM itoke kwa kura za wananchi , Sasa how tunavunja AMANI.
Ujinga Ujinga Ujinga
Kichwa panzi huwezi kuelewa nilichokimaanishaNani anaweza kununua nchi hii??, what for???
Hatuwezi kuwapa Nchi wapinzani hata siku moja.Ujinga ni kuamini kwamba nchi ikipewa wapinzani itauzwa ; ujinga ni kushindwa kuelewa kwamba Rais ni taasisi na Sio mtu . Kama nchi itauzwa basi itakuwa taasisi ya Usalama wa nchi haifanyi kazi .
Ujinga ni kushindwa kutafakari unachoongea
Ujinga ni ku-support kauli chochezi kuwa "usipoichagua CCM huletewi maendeleo huku nchi ikiitwa ya kidemokrasia!Ujinga ni kukataa MABADILIKO
Ujinga ni kuwakataa wazungu huku kupeleka maombi ya mikopo na misaada
Ujinga ni kushindwa kufahamu maana ya Demokrasia
Ujinga ni kutokujua kuwa wewe ni MJINGA
UJINGA NI KUSHINDWA KUSOMA NA KUELEWA Mada
Ujinga ni kutatua matatizo ya wananchi kipindi cha kampeni, huku kipindi chote cha utawala wa 5 years hukuweza kuzitatua.
Ujinga ni kuwa MJINGA
Nchi hii itauzwa kwa gharama gani? --Kichwa panzi huwezi kuelewa nilichokimaanisha
Naona una hamu ya kuchati na mimi, haya tuchati.Nchi hii itauzwa kwa gharama gani??-- jibu hapa kichwa kunguru weee.
Ujinga ni kuamini ccm itatoka madarakani kwa sanduku la kura.Ujinga ni kuamini kwamba CCM ndio watu sahihi wa kuongoza Taifa la Tanzania; Kwamba, WAPINZANI wataharibu nchi ikiwa watapewa Ridhaa ya kuongoza.
Ujinga ni Kuamini kwamba, yeyote anaejaribu kuonesha nguvu za kuitoa CCM madarakani kwa mujibu wa kisheria na kikatiba kwa kutumia kura za wananchi huyo NI MPINZANI na anahatarisha AMANI YA NCHI.
Ujinga ni kuamini kwamba AMANI ya nchi inaletwa kwa uwepo wa CCM madarakani
Ujinga ni kuamini kwamba Ukiwa MPINZANI mwenye maono tofauti na UTAWALA, wewe ni MSALITI/ BEBERU, UNATUMIKA, MCHOCHEZI, MVUNJIFU AMANI
UJINGA ni kuhubiria AMANI huku haki za MSINGI za wapinzani zikiminywa na Kubakwa
Ujinga ni kuamini kwamba TANZANIA kuna AMANI huku mitandao ya kijamii ikizimwa na kuwa deactivated.
Ujinga ni kuamini kwamba TUNDU anatumwa na MABEBERU kuja kutuharibia AMANI ya nchi; huku, watu 9 wakiuliwa huko ZANZIBAR kwa kuhakikisha wanamchagua Rais wa matakwa yao.
Ujinga ni kushindwa kujiuliza AMANI tunayoihubiri kuwa tutaiharibu; Ni nani atakayeiharibu? na je itaharibiwa vipi ? na Nani? na kwa Vipi? Ujinga ni kuficha Uovu nyuma ya neno AMANI.
Ujinga ni kutokujua kwamba KAZI ya Tanzania Intelligence Security Services ni kuilinda Serikali iliyopo madarakani dhidi ya kupinduliwa au kuondolewa MADARAKANI kinyume na Utaratibu uliowekwa KIKATIBA kama vile Upigaji kura ( TISS ACT, 1996); Halikadhalika, Ujinga ni kuamini kwamba KAZI ya TISS ni kuitetea serikali iliyopo madarakani kuendelea kuwepo madarakani hata wakati wa upigaji kura kikatiba na kisheria
Ujinga ni kuwa TISS huku ukivaa manguo ya kijani kipindi cha Uchaguzi.
Ujinga ni kuamini kwamba CHADEMA IKISHINDA basi nchi itakuwa na UKABILA WA KIKANDA; Ikama kuna chuki fulani dhidi ya KASKAZINI huku asilimia 75 ya teuzi za awamu ya 5 ni Kanda ya Ziwa.
Ujinga ni watumishi wa UMMA , wanafunzi na wafanyabiashara kushindwa kujua sehemu sahihi ya kuelekeza kura zao ili Kufanya mabadiliko ya kweli na kuleta maslahi mapana ya TAIFA
UJINGA ni kukubali kutatuliwa shida zenu kwenye MIKUTANO ya kampeni kama vile ukosefu wa Nguzo za Umme BABATI hali ya kuwa malipo yalishafanywa takribani mwaka mzima. Inamaana hili lilikuwa halijuiikani? Ujinga ni kushidwa kujua kuwa hawa watu hawapo SERIOUS.
Tumia nafasi ya kubadili karatasi ya kupiga kura kubadili maamuzi yako. Toa Maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa.