MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Serikali ya Ujerumani ikiongozwa na waziri wa Sheria Heiko Maas inatarajia kuwawekea vikwazo ikiwepo FAINI makampuni makubwa ya Mitandaoni Facebook na GOOGLE kama hawatafuta Hotuba za Chuki kwenye mitandao yao .
Tayari kikosi maalumu cha FACEBOOK,TWITTER na GOOGLE kilikaa mwaka jana kushughulikia tatizo hilo lakn report ya serikali hadi hivi majuzi imeonyesha bado Taarifa hizo nyingi hazijachukuliwa.
Tayari kwa Upande wa Facebook Hivi juzi wamezindua SOFTWARE maalum ya kugundua Taarifa Feki katika mtandao wake kabla haijarushwa.
Kuna kitu cha kujifunza;
Soma habari nzima hapa chini
Germany to force Facebook, Google and Twitter to act on hate speech
Tayari kikosi maalumu cha FACEBOOK,TWITTER na GOOGLE kilikaa mwaka jana kushughulikia tatizo hilo lakn report ya serikali hadi hivi majuzi imeonyesha bado Taarifa hizo nyingi hazijachukuliwa.
Tayari kwa Upande wa Facebook Hivi juzi wamezindua SOFTWARE maalum ya kugundua Taarifa Feki katika mtandao wake kabla haijarushwa.
Kuna kitu cha kujifunza;
Soma habari nzima hapa chini
Germany to force Facebook, Google and Twitter to act on hate speech