D dixies85 Member Joined Nov 6, 2014 Posts 7 Reaction score 0 Jul 12, 2015 #1 Samahani nahitaji msaada Nina swali Kama nataka kuziba ufa za ukuta nahitaji material gani na nifanyeje nataka kufanya mwenyewe
Samahani nahitaji msaada Nina swali Kama nataka kuziba ufa za ukuta nahitaji material gani na nifanyeje nataka kufanya mwenyewe
Enzymes JF-Expert Member Joined Feb 14, 2013 Posts 4,332 Reaction score 3,020 Jul 12, 2015 #2 Wote leo sisi ni Wajumbe wa NEC, tuko mjengoni kupitia TV zetu nyumbani. Post upya J4. Sisi huku kanda ya Ziwa tunajianda kumpokea Dr. Magufuli, kanda ya kwanza kutoa Marais 2 huku Kaskazini wao wakizalisha wezi!!
Wote leo sisi ni Wajumbe wa NEC, tuko mjengoni kupitia TV zetu nyumbani. Post upya J4. Sisi huku kanda ya Ziwa tunajianda kumpokea Dr. Magufuli, kanda ya kwanza kutoa Marais 2 huku Kaskazini wao wakizalisha wezi!!