mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,732
- 1,610
Utaitwaje huo uwanja
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
wanaujenga kwa standard za olimpiki au kwa timu tu??Huo uwanja unaitwa "White Hart Lane" labda ubadilishwe baada ya ujenzi mpya yaani kuongezwa idadi ya viti na jukwaa jingine.
Huo uwanja unaitwa "White Hart Lane" labda ubadilishwe baada ya ujenzi mpya yaani kuongezwa idadi ya viti na jukwaa jingine.
wanaujenga kwa standard za olimpiki au kwa timu tu??
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Ni ujenzi au ukarabati
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
mkuuStandard yao, Standard ya Olympic ni London Stadium ambao WestHam wanatumia.
wanaujenga kwa standard za olimpiki au kwa timu tu??
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Ni ujenzi au ukarabati
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Huo wa zamani c wangemgawia mwakyembe asee cjui tungeubebaje?
Uwanja wa zamani ukiwa unakaribia kumezwa na uwanja mpya.
waukweli mkuu
Ni uwanja mkubwa unaweza kulingana na wa Arsenal wa Emirates.
Hiyo ni jinsi unvyoonekana kwa ndani hadi sasa, ujenzi waendelea.