Ujenzi wa ghorofa moja tu

Mkuu weka nyama ya kutosha,usiishie hewani,maana wengi tuna altitude ya namna hiyo.kwa hiyo utuelimishe.
 
garama zote hizo za nini.we tafuta seremala chonga double decker kama za shule ya boarding kazi kwisha hamu haipo tena .kama ikijirudia tandika godoro juu ya dari maisha yanasonga
kha!,kha!kha!!!,we jamaa unataka kuvunja tu,mbavu za watu humu.
 

Bila shaka wewe ni Quantity Surveyor.
Umemfafanulia vyema
 
Ungespecify kabisa ukubwa .... na desihn ya vyumba + idadi na material gani itumike maana kuna ghorofa hadi za contenna za gari mkuu 🙂🙂🙂🙂
na huo mshahara wake pia
 
ila jamani hizi BOQ zina overestimate sana yaani unaweza ogopa kabisa kuanza ujenzi
 
Mkuu foundation pekee Fundi anataka milion 8.
Na gharama za vifaa uwe na mili 18 kufikia kwenye hiyo foundation,ukimaliza hapo ndio unaanza kujenga tofari ya kupata vyumba....kwa hiyo kabla hajaanza jitasmini kwa mshahara wako
 
garama zote hizo za nini.we tafuta seremala chonga double decker kama za shule ya boarding kazi kwisha hamu haipo tena .kama ikijirudia tandika godoro juu ya dari maisha yanasonga
Daaaaaa........
 
 
Mtoa mada nilivomuelewa hapo ni sehemu ya makazi, that means pana mchoro wa mipango miji.

Kama hivo ndivyo aanze na surveyor then survey plan ikiwa tayari, nenda kwa afisa ardhi kwa ajili ya Hati,
ukitoka hapo muone architect kwa ajili designing na kukuandalia mchoro, then sasa umpelekee hiyo michoro Qs kwaajili kukutengenezea BOQ.
Kutoka hapo kaombe kibali cha ujenzi halmashari husika.
Kila la kheri
 
Usichukulie experience ya nchi zawenzetu na bongo kuleviwanja ni shida mjini ukienda Huko kwenye viwanja mbn watu wamejenga ma mansion yenye ghorofaa so uzi wako hausiani kabisa na vibe ya huyojamaa kutaka kukaa ghorofanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…