Ujenzi wa Daraja la Magufuli wahujumiwa, CCM wacharuka

Daraja la nini si kuna mapatoni mengi huko tunajenga bwawa kwanza la muhimu kitaifa hata kijijini kwako utapata umeme
 
Kuna watu kila kitu wanataka kupiga. Inatia aibu na huruma sana
Ni aibu kwelikweli, siwapendi CCM lakini JPM kwa hili daraja nilimsifu na bora alilazimisha likajengwa maana lisingejengwa milele , nasikia linaunganisha nchi tatu na mikoa yote ya kanda ya Ziwa
 
kigongo-Busisi_16dec19.jpg

Busisi Bridge AKA JPM Brige

Work begins on 3.2km bridge over Lake Victoria​

Tanzania’s president has laid the foundation stone for the Kigongo-Busisi Bridge, which will cross the southern end of Lake Victoria.​

President John Magufuli said that construction of the 3.2km bridge will enhance the movement of people and goods, curb marine accidents and promote trade in the region around the lake as well as neighbouring countries. Tanzania, Uganda and Kenya all border the lake; Burundi and Rwanda are nearby.
The bridge will link Kigongo and Busisi, connecting Tanzania’s Mwanza and Geita regions. It is billed as the longest in East Africa and the sixth longest in Africa. Its construction will be undertaken by China Civil Engineering Construction Group and the China Railway 15th Bureau and it will be financed by the Tanzanian government at a cost of approximately US$295 million.
Completion is scheduled for July 2023.
Works, transport and communications minister Isaack Kamwelwe said that, in addition to the Kigongo-Busisi Bridge, the government is overseeing construction of six major bridge projects, namely Wami (Pwani), Magara (Manyara), Sukuma (Mwanza), Kitengule (Kagera), Msingi (Singida), Ruhuhu (Ruvuma) and Selander (Dar es Salaam).
 
Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.

Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.

Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Hili Daraja la Kigongo hata lisipomaliziwa na wanafiki waliopo madarakani sasa, amin nawaambia ipo siku LITAKAMILIKA!!!
 
Itabidi Mwenyekiti wa CCM Taifa am summon Rais wa Tanzania ajieleze na ikibidi amtumbue. Hatuna jinsi nyingine.
 
Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kuwa ujenzi wa daraja refu zaidi Afrika Mashariki la Magufuli linalojengwa kukatiza ziwa Victoria kuunganisha kati ya Kigongo na Busisi unahujumiwa.

Kutokana na hujuma hizo Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetaka uchunguzi wa haraka ufanyike na watakaobainika wafikishwe mahakamani kujibu tuhuma zao.

Ikumbukwe daraja hilo linajengwa kwa jumla ya billion 700 za walipa kodi wa Tanzania.

View attachment 1986233

Yani Ccm nao wanachukia uwizi
 
Unahujumiwa na nani tena, na wakati nchi iko katika mikono salama ya chifu Hangaya? Msaidizi mwaminifu kabisa wa Hayati!
Na Kazi Inaendelea!

Hawa nao wamekosa kazi. Wahujumu watakuwa ni akina nani kama siyo wao wenyewe kwa wenyewe wanahujumiana?
 
Na Kazi Inaendelea!

Hawa nao wamekosa kazi. Wahujumu watakuwa ni akina nani kama siyo wao wenyewe kwa wenyewe wanahujumiana?
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini
 
Sijui ni sababu zipi zinazowafanya muutamani sana "ugaidi", lakini mbona somo linatolewa vizuri sana hapo jirani yetu Uganda, kwa nini msiende kujifunza yanayotokea huko kuliko kuhangaika na kubambikizia kesi watu wasiohusika kabisa!

Ni kama mnatamani sana yanayotokea huko nje ya nchi yatokee hapa, hivi mnachokitafuta hasa ni kipi? Kuwatia uoga waTanzania ili mzidi kuwatawala kirahisi?
 
Back
Top Bottom