Ujenzi wa barabara za 'flyovers' Dar kuanza Septemba 2014

Ujenzi wa barabara za 'flyovers' Dar kuanza Septemba 2014

Yaani vitu ambavyo ni vya msingi serikali kuvifanya sisi tunaona extraordinary...

Ndio maana hawa wanasiasa vimburukutu wataendelea kuwatumia Watanzania kama misukule vile...

Watu hawajui wajibu na kazi za serekali.
 
TazaraBomba(2).png

Mafundi wa kampuni ya ujenzi ya RJR wakiwa kazini kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere jijini Dar es Salaam

10437337_10152416897224857_57971254973257182_n.jpg

Flyover inayotazamiwa kuoteshwa hapo makutano ya Mandela na Nyerere (TAZARA)


Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale, amesema ujenzi wa barabara zipitazo juu (flyover) kati ya Mandela na Nyerere utaanza rasmi mwezi Septemba mwaka huu. Katika mahojiano na NIPASHE Jumapili, mhandisi Mfugale, alisema ujenzi huo utaanza mara baada ya kukamilika kuondoa nguzo za umeme na mabomba ya maji, zoezi ambalo linaendelea hivi sasa.

NIPASHE ilifika jana eneo hilo ambalo litajengwa barabara hizo na kukuta makandarasi wakiendelea na zoezi la kuhamisha mabomba. Akizungumza na gazeti hili, Msimamizi wa zoezi hilo, Peter Mitondo, tayari wamekamilisha uondoaji wa mabomba ndani ya Tazara na sasa wapo kwenye barabara kuu za magari.

Alisema uhamishaji huo wa mabomba ya maji kwenye barabara ya Tazara ili kupisha ujenzi huo unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba mwaka huu.

Alipoulizwa ujenzi huo utachukua muda gani kukamilika, msimamizi huyo alisema hafahamu kwa kuwa mkandarasi atakayehusika atakuwa mwingine. Alisema mkandarasi wa sasa anayehusika kwenye kuyaondoa mabomba hayo ya maji ni kampuni za pamoja ambazo ni RJR, RJ na Jos Harsen.

Source: Nipashe

Maboresho
- Ada zinazotozwa kama parking kila bus linapoingia mji mwingine zirudishwe kama Road Toll na zilipwe kwa kutumia kadi maalumu kama za TANAPA na NGORONGORO (Hii nimeona inafanyika HONGKONG, dereva anakutana na SWAP machine na si binadamu)
- Mnapofikiria barabara za Juu mfikirie na za chini kuunganisha mjini mmoja na mwingine (hili nalo linafanyika HongKong)
- Barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo kazi naona kuna makosa, ingewekwa njia tatu kila upande (i) Mabasi yaendayo lazi (ii)Treni za behewa moja (iii) watumiaji wengine wa barabara. Wenye vipato watumie mabasi na wa kipato cha chini watumie treni
-
 
Wezi wa EPA wangapi wamesharejesha??!! Na majina vipi yanapatikana kwa watu wa Msoga tu ama???!!

Nina ndugu yangu kafungwa kwa wizi wa kuku,nikimlipia mtamuachia serikali sikivu ama msamaha ni kwa wezi wa multibillion tu??!!

Mkuu hii inahusiana vipi na Uzi uliowekwa hapo juu?? Au ilimradi Nawe useme tu
 
TazaraBomba(2).png

Mafundi wa kampuni ya ujenzi ya RJR wakiwa kazini kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere jijini Dar es Salaam

10437337_10152416897224857_57971254973257182_n.jpg

Flyover inayotazamiwa kuoteshwa hapo makutano ya Mandela na Nyerere (TAZARA)


Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale, amesema ujenzi wa barabara zipitazo juu (flyover) kati ya Mandela na Nyerere utaanza rasmi mwezi Septemba mwaka huu. Katika mahojiano na NIPASHE Jumapili, mhandisi Mfugale, alisema ujenzi huo utaanza mara baada ya kukamilika kuondoa nguzo za umeme na mabomba ya maji, zoezi ambalo linaendelea hivi sasa.

NIPASHE ilifika jana eneo hilo ambalo litajengwa barabara hizo na kukuta makandarasi wakiendelea na zoezi la kuhamisha mabomba. Akizungumza na gazeti hili, Msimamizi wa zoezi hilo, Peter Mitondo, tayari wamekamilisha uondoaji wa mabomba ndani ya Tazara na sasa wapo kwenye barabara kuu za magari.

Alisema uhamishaji huo wa mabomba ya maji kwenye barabara ya Tazara ili kupisha ujenzi huo unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba mwaka huu.

Alipoulizwa ujenzi huo utachukua muda gani kukamilika, msimamizi huyo alisema hafahamu kwa kuwa mkandarasi atakayehusika atakuwa mwingine. Alisema mkandarasi wa sasa anayehusika kwenye kuyaondoa mabomba hayo ya maji ni kampuni za pamoja ambazo ni RJR, RJ na Jos Harsen.

Source: Nipashe
safi sana lakini hiyo picha ya fly over sidhani kama ndo inatazamiwa kujengwa hapo maana hiyo ya kwenye picha ni kubwa na hiyo sehemu ni ndogo sana.
 
Flyover mnazitaja kienyeji enyeji tu
Brazili zinadondoka na hamna uchakachuaji hapa kwetu si zitakuwa kaburi?
Barabara za chini bado zinatushinda tunakimbilia za juu haya ni maajabu ya dunia
Labda uniambie wanataka kuweka kamoja kakuombea kura 2015


Kweli mkuu, barabara za chini zimetushinda et now tunakimbilia za juu, kama wakiweza kuboresha barabara zote za dar to the required standards, nadhani itasadia sana rather than this mentality ya kukimbilia hizo za juu just for the sake of it!
 
Kweli mkuu, barabara za chini zimetushinda et now tunakimbilia za juu, kama wakiweza kuboresha barabara zote za dar to the required standards, nadhani itasadia sana rather than this mentality ya kukimbilia hizo za juu just for the sake of it!

Kinachofanyika sasa hivi ni kuongeza wimbi la magari kujazana mjini badala ya kuandaa barabara nyingi pembezoni mwa jiji ambako kuna wakazi wengi na pia kuandaa belt way ambayo ingekuwa kwa kiwango cha divided way with three or four lanes kila upande kuanzia Mbezi Beach - Mbezi Juu - Pugu - Mbagala hadi Kigamboni. Kisha barabara nyingine kadhaa zinazoungana na hiyo toka mjini. Hilo lingekuwa suluhisho la kupunguza msongamano na magari yangekuwa yanapendelea huko kwenye barabara ya kwenda haraka na kasi badala ya mjini ambako kuna ucheleweshaji wa foleni na mataa.
 
kuna mijitu inaboa humu.....

Hizo barabara za chini mnazosema zitajengwa na zingine zinaendelea kujengwa....

Tazara flyover ni strategic project...in sense that tutaboresha magari ya mizigo inayotoka bandar ichukue muda mfupi ktk safar ya kuelekea Rwanda, zambia au congo...thus itaboresha ufanisi wa bandar kwa namna moja

pia hiyo flyover itaboresha ufanisi wa kutoka na kuingia JNIA.....

hii flyover ni very strategic n viable one. tuache kubwabwaja maneno hata kwa vitu vya msingi.

muungwana una appreciate mradi huu halafu unakosoa maeneo mengine ili yaboreshwe sio kila kitu kuponda tu
 
Rais Kikwete anamaliza kipindi chake kama vile anaanza vile....

I wish angeongezewa miaka mingine miwili tu na kwetu Iringa tungekuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa.

Halafu utasikia wale mbulumundu wakidai hakuna maendeleo, sijui maendeleo maana yake nini???
Pathetic...!

Alikuwa wapi wakati wa kipindi chake chote kuyafanya haya?

Je ni flyovers tu ndizo kipimo cha utawala bora wa JK?elimu imeporomoka,huduma za afya mbovu(wasioweza kumudu kwenda India wanakufa), makazi duni, uchumi utangazwao kukua haushabihiani na rasilimali za nchi na maendeleo halisi demokrasia inakandamizwa n.k

Tubadilikeni, hayo uyaonayo sasa yangeweza kuwa maradufu kama viongozi wetu wangekuwa wazalendo na wenye kujali utu.
 
kuna mijitu inaboa humu.....

Hizo barabara za chini mnazosema zitajengwa na zingine zinaendelea kujengwa....

Tazara flyover ni strategic project...in sense that tutaboresha magari ya mizigo inayotoka bandar ichukue muda mfupi ktk safar ya kuelekea Rwanda, zambia au congo...thus itaboresha ufanisi wa bandar kwa namna moja

pia hiyo flyover itaboresha ufanisi wa kutoka na kuingia JNIA.....

hii flyover ni very strategic n viable one. tuache kubwabwaja maneno hata kwa vitu vya msingi.

muungwana una appreciate mradi huu halafu unakosoa maeneo mengine ili yaboreshwe sio kila kitu kuponda tu
2326874_dodoma_967a0.jpg


Serikali ihamishie ofisi Dodoma kupunguza msongamano wa magari na watu Dar
Serikali imeshauriiwa kuendeleza mchakato wa kuhamisha ofisi zote zake mkoani Dodoma kwenye makao makuu ya nchi yetu ili kuweza kupunguza msongamano wa watu na magari.Hayo yalisemwa na Mtanzania Mzalendo, John Lyasenga wakati akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa mikutano Idara ya Habari (MAELEZO) jijini Dar es Salaam.

Kutokana na jiji la Dar es Salaam kuwa na msongamano wa watu na foleni za magari, kuna umuhimu kwa Serikali kufikiria suala hili la kuhamishia ofisi zake na huduma zingine muhimu kwa mji huo mkuu wa Tanzania kwa ni kwa kufanya hivyo kutaleta fursa kwa wakazi wa mji huo,"alisema Lyasenga.

Aidha aliongeza kuwa faida za kuhamia Dodoma ni pamoja na kuwepo kwa fursa mbalimbali kama vile ajira ,kuongeza pato la mkoa kupitia ujenzi wa viwanda vitakavyoongeza uzalishaji na kupunguza maafa kwa jiji la Dar es Salaam kama vile mafuriko kutokana na wingi wa watu.Mkoa wa Dodoma ina ukubwa wa eneo 41,000 kilomita za mraba na idadi ya watu ni 2,083,588 kutokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012.

Aliongeza kuwa, hali ya hewa ya mkoa huo ni nzuri,ukilinganisha na mkoa wa Dar es salaam wenye kilomita za mraba 1,397 huku hali ya hewa, ikiwa ni joto wastani na idadi ya watu ikizidi kuongezeka hadi kufikia milioni 4,364,541 sawa na asilimia 4.3 kwa mwaka kutokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012.
 
kuna mijitu inaboa humu.....

Hizo barabara za chini mnazosema zitajengwa na zingine zinaendelea kujengwa....

Tazara flyover ni strategic project...in sense that tutaboresha magari ya mizigo inayotoka bandar ichukue muda mfupi ktk safar ya kuelekea Rwanda, zambia au congo...thus itaboresha ufanisi wa bandar kwa namna moja

pia hiyo flyover itaboresha ufanisi wa kutoka na kuingia JNIA.....

hii flyover ni very strategic n viable one. tuache kubwabwaja maneno hata kwa vitu vya msingi.

muungwana una appreciate mradi huu halafu unakosoa maeneo mengine ili yaboreshwe sio kila kitu kuponda tu

Just thinking deep...sehem ipi inahitaji ufanisi zalidi/pana abiria wengi JNIA au Stand ya Ubungo?and how Abt traffic light,magari yanayotoka kwa kasi kwenye izo flying over si yatakwenda kujazana kwenye mataa ya ubungo ?au yanayotoka airport,Gomz,vingunguti,kiwalani n.k si yatakwenda kujazana mataa ya chang'ombe?nway it's a gud start,and I real appreciate it but they should have thought beyond that sio solving ya tatzo moja iongeze jingine
 
Just thinking deep...sehem ipi inahitaji ufanisi zalidi/pana abiria wengi JNIA au Stand ya Ubungo?and how Abt traffic light,magari yanayotoka kwa kasi kwenye izo flying over si yatakwenda kujazana kwenye mataa ya ubungo ?au yanayotoka airport,Gomz,vingunguti,kiwalani n.k si yatakwenda kujazana mataa ya chang'ombe?nway it's a gud start,and I real appreciate it but they should have thought beyond that sio solving ya tatzo moja iongeze jingine

Nchi ambazo walibuni ujenzi wa flyovers ni baada ya kuona hakuna namna nyingine kwa vile barabara zote zimeshajengwa na msongamano unaongezeka. Kwatu tungehitaji kwanza uboreshaji wa barabara za pembezoni ambazo zingevutia waendesha magari kukimbilia huko kukwepa foleni za mjini, lakini kwa kinachoendelea ni sawa na kuongeza tatizo juu ya tatizo.
 
Nchi ambazo walibuni ujenzi wa flyovers ni baada ya kuona hakuna namna nyingine kwa vile barabara zote zimeshajengwa na msongamano unaongezeka. Kwatu tungehitaji kwanza uboreshaji wa barabara za pembezoni ambazo zingevutia waendesha magari kukimbilia huko kukwepa foleni za mjini, lakini kwa kinachoendelea ni sawa na kuongeza tatizo juu ya tatizo.

Exactly....tazara tutavuka vzuri bt tukitoka Hapo tatzo lipo pale pale...we also need njia za mchepuko ziwe nyingi na barabara zikiwezekana ziwe ht nne nne kwenda na kurudi na tuwe na intelligent traffic light sio iz tulizonazo....but it's a good start once agin...tatizo likihamia ubungo watajenga na huko,though ilipaswa ijengwe kipindi hiki cha mradi wa magari yaendayo kasi
 
Watanzania wengi wanapenda kuonyeshwa picha.... Ni yale yale ya Kigamboni City.......
 
JK piga kazi mwanawane,hayo mengine ni ubinadam tu kila mmoja na mapungufu yake
 
Ukitaka kkuona flyover nenda Kenya. hii ya Tazara is a day pipe dream na haita materialize. you can quote me. watch my words
 
Kwa niji msiboreshe treni ili ibebe mizigo?

Au itaua biashara ya malori ya watu fulani fulani??



kuna mijitu inaboa humu.....

Hizo barabara za chini mnazosema zitajengwa na zingine zinaendelea kujengwa....

Tazara flyover ni strategic project...in sense that tutaboresha magari ya mizigo inayotoka bandar ichukue muda mfupi ktk safar ya kuelekea Rwanda, zambia au congo...thus itaboresha ufanisi wa bandar kwa namna moja

pia hiyo flyover itaboresha ufanisi wa kutoka na kuingia JNIA.....

hii flyover ni very strategic n viable one. tuache kubwabwaja maneno hata kwa vitu vya msingi.

muungwana una appreciate mradi huu halafu unakosoa maeneo mengine ili yaboreshwe sio kila kitu kuponda tu
 
Pathetic...!

Alikuwa wapi wakati wa kipindi chake chote kuyafanya haya?

Je ni flyovers tu ndizo kipimo cha utawala bora wa JK?elimu imeporomoka,huduma za afya mbovu(wasioweza kumudu kwenda India wanakufa), makazi duni, uchumi utangazwao kukua haushabihiani na rasilimali za nchi na maendeleo halisi demokrasia inakandamizwa n.k

Tubadilikeni, hayo uyaonayo sasa yangeweza kuwa maradufu kama viongozi wetu wangekuwa wazalendo na wenye kujali utu.
Kweli kabisa, wazalendo kama babu anaejilipa mamilioni na kuchota ruzuku kila kukicha...
 
wakuu tatizo nchi yetu ni ubinafsi tu mbona dubai kuna matajiri wanajitolea kujenga barabara na fly over, hebu fikiria kama Mengi ajenge fly over magomeni, Manji ajenge fly over ubungo, na Baresa ajenge kamata na keko hapo tatizo linakuwa kwishney
hayo ni mawazo yangu tu.
 
Back
Top Bottom