Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,418
Ukweli hawa jamaa wanaojenga hii barabara ya morogoro kutoka ubungo mpaka city centre ni third class, yaani wana create unnecessary folini mji mzima
style yao inasababisha kero kubwa kwani wameanza kuivunja bara bara yote bila ya kuweka alternative roads na pia hawajali kuongoza magari
tumewahi kuona ujenzi wa bara bara zote za dar es salaam kuanzia city centre mpaka kariakoo lakini haikua kama hivi
wale jamaa walikua wanamaliza kipande kimoja baada ya chengine , wakimaliza section moja wanaanza pengine
lakini stye hii ya kuvunja barabara muhimu yenye zaidi ya kilomita 35 hii inaonesha wazi hawa jamaa hawana uzoefu wa kufanya kazi ndani jiji lenye harakati
tunaomba tanroads na city waingile kati ..kabla hawaja shindwa kama konoike na barabara ya kilwa
style yao inasababisha kero kubwa kwani wameanza kuivunja bara bara yote bila ya kuweka alternative roads na pia hawajali kuongoza magari
tumewahi kuona ujenzi wa bara bara zote za dar es salaam kuanzia city centre mpaka kariakoo lakini haikua kama hivi
wale jamaa walikua wanamaliza kipande kimoja baada ya chengine , wakimaliza section moja wanaanza pengine
lakini stye hii ya kuvunja barabara muhimu yenye zaidi ya kilomita 35 hii inaonesha wazi hawa jamaa hawana uzoefu wa kufanya kazi ndani jiji lenye harakati
tunaomba tanroads na city waingile kati ..kabla hawaja shindwa kama konoike na barabara ya kilwa