Ujenzi wa barabara ya Morogoro: Contractor ni third class

Wadau, naelewa adha na hasira inayowapata lakini kuna facts nyingine tuzifahamu:

1. Strabag sio kampuni ya kujenga barabara kiwango duni. It is a 10+ billion euros company (revenue alone), employing over 76,000 staffs worldwide.

2. Strabag imeshafanya projects nyingi na kubwa ulimwenguni (e.g.Germany,UAE,Malaysia,Denmark,Libya,Cameroun,Rwanda, etc) ambazo ni kubwa kuliko hiyo project ya Dar.

3. Strabag wanatumia latest construction technologies -na kwa hili nyie ni mashahidi ya vifaa wanavyotumia kujenga hiyo Kimara-Jangwani stretch.

Ingawa sitetei kucheleweshwa ujenzi kutokana na adha watumizi tunazopata lakini kutoka na history na weledi wa kampuni kuna sababu nyingine zinazoleteleza na I can bet you zinaweza kuwa ni sisi (waTz) tunasababisha. Mfano unaweza ukakuta kuna baadhi ya vitu vimekwama bandari kwetu kutokana tu na urasimu usio na msingi.

There could numerous reasons as to why the project is stalled but the point I am trying to make is that STRABAG is a very serious company that can deliver.

Nimeweka links hapa chini na brochure that I sourced from their website.

STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.[/QUO

Hawa jamaa walikataa kubid kazi za nchini nigeria kwasababu ya solicitation of kitu kidogo (corruption) kutoka kwa maafisa wa nigeria hawaendekezi cha juu kama wachina hao...na barabara ikiisha hiyo mtaacha kuwaponda na kuanza kuwasfia.
 
Sikatai...lakini ninachosema kutakuwa na sababu nyingi tu kwanini zege limechelewa kumwagwa. Kwa mfano, zege linalotumiwa sio la kuchanganya mifuko ile ya 50kgs tuliyozoea. Ni zege special ambalo likely linatoka Wazo (Twiga Cement) for special order in some x metric tons. How come Wazo cannot deliver ? Hatujui.Kunaweza kuwa na sababu milioni. Huo ni mfano mmoja tu.

Point yangu ni kwamba lazima tuangalie msururu wote katika supply-chain ili kujua kwanini mradi unasuasua na ndiyo maana nasema sababu za kusuasua huko "most likely" zitakuwa zimesababishwa na sisi wenyewe wabongo.

nakubaliana na wewe hii kampuni iliagiza magari na vifaa vilizuiliwa bandarini kwa takribari miezi mitatu ujenzi ukachelewa kuanza nadhani kuna watanzania mafisadi yanayorubuni huu mradi ili kampuni ionekane imeshindwa wachukue wao na ninahisi mmojawapo atakuwa anawania kuwa raisi wa nchi
 
Ndugu wengi tunaelewa Ujenzi Huwa unasababisha usumbufu Mkubwa!! Ila kwa Hili hawa wakandarasi siwatetei kwa lolote Ng'o. Unajua huwezi Kupewa hela kwa ajili ya Traffic Diversion, na unatumia hela Hizo Kuweka Concrete posts tuu Bila utaratibu unaoeleweka!! The road reserve is Huge@! Why don't They Utilize the space by Making a new diversion road? si wanalipwa kwa kazi Hiyo? Imagine 20bil TZS Kwa Traffic diversion ni nini wamefanya? Watu tunalazimika kulala Njiani bila kufika makwetu!! Please lets shout they will start utilizing the 20bil tzs for traffic diversion!! to make things fine!! Please lets shout for our rights and others rights


unawezakuta zimepelekwa kwenye chaguzi au zitatumika kwenye uchaguzi ujao kwani epa si inasemekana zilichukuliwa kwa ajili ya uchaguzi
 
Wadau, naelewa adha na hasira inayowapata lakini kuna facts nyingine tuzifahamu:

1. Strabag sio kampuni ya kujenga barabara kiwango duni. It is a 10+ billion euros company (revenue alone), employing over 76,000 staffs worldwide.

2. Strabag imeshafanya projects nyingi na kubwa ulimwenguni (e.g.Germany,UAE,Malaysia,Denmark,Libya,Cameroun,Rwanda, etc) ambazo ni kubwa kuliko hiyo project ya Dar.

3. Strabag wanatumia latest construction technologies -na kwa hili nyie ni mashahidi ya vifaa wanavyotumia kujenga hiyo Kimara-Jangwani stretch.

Ingawa sitetei kucheleweshwa ujenzi kutokana na adha watumizi tunazopata lakini kutoka na history na weledi wa kampuni kuna sababu nyingine zinazoleteleza na I can bet you zinaweza kuwa ni sisi (waTz) tunasababisha. Mfano unaweza ukakuta kuna baadhi ya vitu vimekwama bandari kwetu kutokana tu na urasimu usio na msingi.

There could numerous reasons as to why the project is stalled but the point I am trying to make is that STRABAG is a very serious company that can deliver.

Nimeweka links hapa chini na brochure that I sourced from their website.

STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.

Hamna kitu hapo, niliona juzi kwenye taarifa ya habari ITV wafanyakazi wanalalamika hawana buti, gloves,mazingira ya kazi ni magum, mshahara kiduchu sizan kama ni serious company
 
Hamna kitu hapo, niliona juzi kwenye taarifa ya habari ITV wafanyakazi wanalalamika hawana buti, gloves,mazingira ya kazi ni magum, mshahara kiduchu sizan kama ni serious company

Pia inabidi Hawa wanaohusika na ajira za Kipindi kifupi na CRB (Contractors Registration Board) waweze Kuwabana Hawa Jamaa ili safety Gears ziweze Heshimika na labors wote wapewe Mikataba!! Wizara ya Kazi pia Inahusika!!
 
Pia Ijulikane Hii Kazi Imetengewa Billions of Money kwa ajili ya Traffic Diversions Ila naona Hizo Hela wameziona ni kama

sadaka tu!! I hope is Over 20billions for Traffic Diversions sasa Hizi hela kwa nini wanalipwa na Kazi Hiyo Hawafanyi??
Mkuu umesema uzuri kwa kweli sijui kwanini wanafanya hivi kuna kazi zingine zingefanywa usiku zingeondoa kabisa foleni

zisizo za lazima lakini wenyewe wanafanya mchana nakusababisha foleni kubwa kwelikweli zinazoepukika.

Sasa hapo kwenye traffic Diversions jamani sijui hawa wasimamizi wetu wanagawana nao pesa,angalau huyu wa

morogoro road japokuwa vinjia vyake havikizi haja amejitahidi kuvitengeneza wa Mbagala sasa yaani anachofanya ni

kudivert magari tu yatatengeneza njia yenyewe barabara imejaa vumbi,mashimo haimwagiliwa maji basi hata kutoa hilo

vumbi yaaani hadi barabara inaisha kuna gari zitakuwa tayari juu ya mawe kutokana na hizo diversions road.

hebu wahusika jamani mfanye kazi hata vitu kama hivi inashindikana kuvisimamia halafu mwisho wa siku ooooh barabara

iko chini ya kiwango wakati wanajenga mlikuwa wapi wakati watu wanakosa hata diversions roads.Pumbaaaaaaf...
 
Huyo contractor unayemponda ni mmoja kati ya bora kabisa tanzania na ukitaka kufahamu ukweli huo fanya utafiti wa kazi alizokwisha fanya hapa tz. hata hivyo utendaji wake ikiwamo ubomoaji ni kwa kuzingatia workplan aliyowakilisha serikalini na kukubaliwa na wenye barabara. contractor wa aina hii hawafanyikazi hovyo hovyo bila mpangilio
 
Huyo contractor unayemponda ni mmoja kati ya bora kabisa tanzania na ukitaka kufahamu ukweli huo fanya utafiti wa kazi alizokwisha fanya hapa tz. hata hivyo utendaji wake ikiwamo ubomoaji ni kwa kuzingatia workplan aliyowakilisha serikalini na kukubaliwa na wenye barabara. contractor wa aina hii hawafanyikazi hovyo hovyo bila mpangilio
Sasa naona watu wanawakubali kiaina ingawa wapondaji bado wapo
 
Back
Top Bottom