BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Habari wakuu,
Napenda kufahamu yoyote mwenye uzoefu wa namna sahihi ya kupunguza gharama wakati kujaza kifusi wakati wa ujenzi wa nyumba baada ya kumaliza msingi.
Hii ni baada ya kuona jirani yangu amemaliza msingi na jana amemaliza kujaza kifusi ambacho kimemcost sh milioni moja na laki nane. Kifusi trip moja ni sh 90,000 na yeye alijaza vifusi trip 20.
Kwa yeyote mwenye uzoefu atufahamishe aliwezaje kupunguza gharama za kujaza kifusi.
Karibu kwa mawazo yenu
Napenda kufahamu yoyote mwenye uzoefu wa namna sahihi ya kupunguza gharama wakati kujaza kifusi wakati wa ujenzi wa nyumba baada ya kumaliza msingi.
Hii ni baada ya kuona jirani yangu amemaliza msingi na jana amemaliza kujaza kifusi ambacho kimemcost sh milioni moja na laki nane. Kifusi trip moja ni sh 90,000 na yeye alijaza vifusi trip 20.
Kwa yeyote mwenye uzoefu atufahamishe aliwezaje kupunguza gharama za kujaza kifusi.
Karibu kwa mawazo yenu