Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Picha Zote na majengo yote bwana mzee au sio maana sisi tunataka sana kuona
Kule nako kuna madudu kibao yanaendelea na pamoja na uhuni unaofanywa na baadhi ya watu kama vile kutolipa intime ni ukweli usiopingika kuwa itakuwa ni project ambayo CCM na JK atajivunia sana.
Yote ni katika kukamilisha ilani ya uchaguzi ya 2005 ambayo sura ya 6 ibara ya 63 (b) imejieleza vilivyo
Kule nako kuna madudu kibao yanaendelea na pamoja na uhuni unaofanywa na baadhi ya watu kama vile kutolipa intime ni ukweli usiopingika kuwa itakuwa ni project ambayo CCM na JK atajivunia sana.
Yote ni katika kukamilisha ilani ya uchaguzi ya 2005 ambayo sura ya 6 ibara ya 63 (b) imejieleza vilivyo
Sema nina objection kuhusu baadhi ya faculties zilivyojengwa na sijui hapa tatizo ni architect , Financier au sijui ni contractor lakini ile faculty of Medicine majengo yao yanitia kichefu chefu machoni wakati huo huo ukitazama majengo ya masomo yetu (HUMANITIES / SOCIAL SCIENCES) utaona tofauti yake ni sawa na mbingu na ardhi ukilinganisha na faculties zingine kwanza yanaonekana kuwa kazi imefanywa na watu ambao wako serious, pili ...and that so called dispensary..well, lets say sitoshangaa wakiamua kuifanyahospitali ya ma VIP
sasa challenge hapa iko kwa ma clients, consultants, architects,contractors na subcontractors.
Upande wa siasa za shule ni wazi kuwa uongozi wa chuo nao ushachoka na ziara za kustukiza zisizo kwisha za watawala kuanzia SPIKA mpaka ma DC. hawa jamaa wanatakiwa muda wao mwingi uwe kwenye mamabo ya elimu lakini haya mambo ya SPIKA sitta kupeleka shemeji zake wakapewe ziara ya chuo na uongozi ni abuse ya hali ya juu
Na wakati huo huo uongozi wa chuo (IDRISSA KIKULA na swahiba wake SHAABAN MLACHA ambaye ni Deputy Vice Chancellor, Planning, Finance and Administration) nao umekuwa na tabia za kihuni za kusema uongo mbele ya wakuu wa nchi na mfano ni ule uwongo ulisemwa na MLACHA mbele ya waziri mkuu ile ilikuwa ni embarassment kubwa kwa chuo na wanalalamikiwa na wajenzi kuwa wanawaingilia sana kwenye kazi zao...ohh how can we forget wale wahuni wengine kule Ministry of Finance? ahh anyway
sina picha lakini nikizpata nitaziweka hapa
all in all its a project ambayo we should all be proud of na challenge ni jamaa wa mipango miji kuweza kuicorporate hii project kama Nigeria walivyofanya kule Abuja amba sivyo itakuja kuwa vurugu kama sehemu zingine maana sisi kwa kuharibu tuu hatuna mfano
......NADHANI KIKWETE AMEKUWA MNO OCCUPIED NA DODOMA KIASI KUWA WANAACHA MLIMANI INAKUFA...kumbukeni mlimani kipo au kilikuwa kati ya vyuo vikuu 100 bora duniani...naambiwa sasa kinashuka kwa kasi ya ajabu....
miradi yote ya elimu ya juu lazima iende sambamba na kuimarisha ile tuliyokuwa nayo.....wote ni watoto wetu...hatuwezi kuwatenga wengine tu kwa kuwa ni watukutu....mtoto wako akikunyea hukati mkono..sasa watu wanahisi kuwa wanasiasa wana chuki na mlimani hasa kutokana na misimamo yao kisiasa...rais kikwete hajapata kufanya ziara rasmi mlimani zaidi ya kuhudhuria graduation ya rzwani na salama kama mzazi!!..hapo dodoma kila akiwa pale lazima apite UDOM...Wote wanao baba!!