Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

weThw sunk cost Fallacy umekuwa mpinzani sana wa magu. yaani hutakagi kabisa kuukubali uhalisia,

magu ndik kajenga barabara na kuzisimamia tangu aliookuwa wazir lakini we bado unamponda na kusema hajafanya kitu

mama yako tuzo ile aliyopewa kakir kabisa kwamba aliyekuwa anastahili kupewa ile tuzo si yeye bali ni hayat magufuli lakini wewe bado unakomaa kwa kusema bora ya mama kwakuwa kaanza na njia 3 hujiskii vibaya kauli yako kukinzana na mama yako?

mtu hata kama unamchukia ni bora ukabaki kimya lakini sio kuponda hata yale mazuri aliyoyafanya

angalia sasa alichosema mama yako hapo ..... View attachment 2239914View attachment 2239915
Hiyo tuzo ni ya Watanzania, ila anayepokea ni mmoja. Miundombinu imejengwa kwa kodi zetu mimi, yule na wewe kuanzia wakati wa Baba wa Taifa, AH Mwinyi, JKikwette na huyo Mwendazake. Mipango ya miundombinu iko kwenye vision 2025 iliyoandakiwa na Benjamin Mkapa mwaka 2000.
Kama unataka kutoa sifa kwa mabarabara basi Mkapa ndiye anastahili. Mkapa ndiye alileta mapinduzi ya barabarani nchini. Aliunda Bodi ya Mfuko wa Barabara (Tanzania Road Fund) ambayo iko empowered kukusanya fedha za barabara kupitia petroli na dizeli tunayonunua kama una gari. Hiyo ndiyo fedha inayo finance ujenzi wa barabara just in case ukisikia chanzo cha ndani. Kwa hiyo JK na Magufuli wamekuta MKAPA kawatengenezea.

Pili Mkapa aliunda TANROADS sambamba na huo mfuko wa maendeleo ya barabara

Mkapa alijenga barabara a Singida- Shelui- Nzega- Mwanza na kufanya Watanzania wa Bukoba na Mwanza waache kupita Kenya na Uganda wakienda makwao
 
Ni wapuuzi, unadhani kinachojenga ni pesa au maneno?

Huyo Mwendazake wenu alijenga km chache Sana za barabara na kama mnazijua zilizokamilika nitajieni..

Mkoa niliko Mwendazake alikamilisha barabara moja tuu ambayo ilianza kujengwa miaka 10 iliyopita na bado Mkandarasi anadai..

Si bora hata Mama nimeona kuna ujenzi wa barabara 3 umeanza..

Mliacha kujenga barabara mnakomaa na mareli yasiyo na maana..

Pesa zikizoingia kwenye reli zingemaliza barabara Kwa 89% lakini zimezikwa zaidi ya til.15 na hata nusu hatujamaliza..

Hii ndio tatizo la kukosa mtu sahihi kwenye uongozi,kuacha huwezi lazima umalize hata kama ni tembo mweupe..

Mwisho kuna uzembe fulani kwa sababu kama ujenzi ulipanga km450 na zimejegwa 46% tuu ya barabara kuu ,kuna shida mahala.
Majizi kama haya kila yakisikia jina la mwendazake huweuka!
 

Attachments

  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    122 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    49.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220520-171316.jpg
    Screenshot_20220520-171316.jpg
    116.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220526-121519.png
    Screenshot_20220526-121519.png
    182.3 KB · Views: 2
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

weThw sunk cost Fallacy umekuwa mpinzani sana wa magu. yaani hutakagi kabisa kuukubali uhalisia,

magu ndik kajenga barabara na kuzisimamia tangu aliookuwa wazir lakini we bado unamponda na kusema hajafanya kitu

mama yako tuzo ile aliyopewa kakir kabisa kwamba aliyekuwa anastahili kupewa ile tuzo si yeye bali ni hayat magufuli lakini wewe bado unakomaa kwa kusema bora ya mama kwakuwa kaanza na njia 3 hujiskii vibaya kauli yako kukinzana na mama yako?

mtu hata kama unamchukia ni bora ukabaki kimya lakini sio kuponda hata yale mazuri aliyoyafanya

angalia sasa alichosema mama yako hapo ..... View attachment 2239914View attachment 2239915
Huo ni uungwana wa Samia tuu maana angeweza ku mute na kujisifia kama bwana yule..

Kwamba AfDB hawajui wakifanyacho ila nyie sio?

Historia imeandika jina la Samia,nyota yake imeshawaka hiyo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-071405.png
    Screenshot_20220527-071405.png
    237.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220527-070857.png
    Screenshot_20220527-070857.png
    230.4 KB · Views: 2
Ni wapuuzi, unadhani kinachojenga ni pesa au maneno?

Huyo Mwendazake wenu alijenga km chache Sana za barabara na kama mnazijua zilizokamilika nitajieni..

Mkoa niliko Mwendazake alikamilisha barabara moja tuu ambayo ilianza kujengwa miaka 10 iliyopita na bado Mkandarasi anadai..

Si bora hata Mama nimeona kuna ujenzi wa barabara 3 umeanza..

Mliacha kujenga barabara mnakomaa na mareli yasiyo na maana..

Pesa zikizoingia kwenye reli zingemaliza barabara Kwa 89% lakini zimezikwa zaidi ya til.15 na hata nusu hatujamaliza..

Hii ndio tatizo la kukosa mtu sahihi kwenye uongozi,kuacha huwezi lazima umalize hata kama ni tembo mweupe..

Mwisho kuna uzembe fulani kwa sababu kama ujenzi ulipanga km450 na zimejegwa 46% tuu ya barabara kuu ,kuna shida mahala.
Magufuli alikuondoa kazini kwa vyeti feki, mbona kila siku unamwadika vibya, kwetu sisi Magufuli ni Rais BORA wa Karne. Kwenda Bukoba tulikuwa tunapita Kenya, Uganda lakini Magufuli aliondoa tatizo ili, source ya barabara zote ni Magufuli Hilo Alina ubishj.
 
Hiyo tuzo ni ya Watanzania, ila anayepokea ni mmoja. Miundombinu imejengwa kwa kodi zetu mimi, yule na wewe kuanzia wakati wa Baba wa Taifa, AH Mwinyi, JKikwette na huyo Mwendazake. Mipango ya miundombinu iko kwenye vision 2025 iliyoandakiwa na Benjamin Mkapa mwaka 2000.
Kama unataka kutoa sifa kwa mabarabara basi Mkapa ndiye anastahili. Mkapa ndiye alileta mapinduzi ya barabarani nchini. Aliunda Bodi ya Mfuko wa Barabara (Tanzania Road Fund) ambayo iko empowered kukusanya fedha za barabara kupitia petroli na dizeli tunayonunua kama una gari. Hiyo ndiyo fedha inayo finance ujenzi wa barabara just in case ukisikia chanzo cha ndani. Kwa hiyo JK na Magufuli wamekuta MKAPA kawatengenezea.

Pili Mkapa aliunda TANROADS sambamba na huo mfuko wa maendeleo ya barabara

Mkapa alijenga barabara a Singida- Shelui- Nzega- Mwanza na kufanya Watanzania wa Bukoba na Mwanza waache kupita Kenya na Uganda wakienda makwao
Wajinga wengi wanao msifia Magufuli hawajui nondo hii uliyoiangusha.
In fact hawajui kuwa hata TANROADS ni zao la Mkapa.

Nami nasisitiza Magufuli has never been a policy thinker.
Yeye alikuwa mtekelezaji tuwa policy za marais wenzake.

Miradi yote aliyoiasisi ilikuwa a one-man-show, not well thought na hivyo utekelezaji wake wa kusuasua.
 

Attachments

  • Screenshot_20220309-221958.png
    Screenshot_20220309-221958.png
    95.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220304-084139.png
    Screenshot_20220304-084139.png
    120.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220328-115000.png
    Screenshot_20220328-115000.png
    152.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220328-115140.png
    Screenshot_20220328-115140.png
    149.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220522-164714.png
    Screenshot_20220522-164714.png
    220.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220327-201854.png
    Screenshot_20220327-201854.png
    228.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220327-202239.png
    Screenshot_20220327-202239.png
    195.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220406-153134.png
    Screenshot_20220406-153134.png
    266.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220402-230047.png
    Screenshot_20220402-230047.png
    160.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220329-162855.png
    Screenshot_20220329-162855.png
    243.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220329-162800.png
    Screenshot_20220329-162800.png
    226.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220329-160231.png
    Screenshot_20220329-160231.png
    239.1 KB · Views: 1

Attachments

  • IMG_20220524_174736_323.jpg
    IMG_20220524_174736_323.jpg
    929.9 KB · Views: 3
  • IMG_20220524_175106_500.jpg
    IMG_20220524_175106_500.jpg
    1.2 MB · Views: 2
  • IMG_20220524_174713_993.jpg
    IMG_20220524_174713_993.jpg
    1.1 MB · Views: 2
  • IMG_20220524_174031_880.jpg
    IMG_20220524_174031_880.jpg
    946.1 KB · Views: 2
  • IMG_20220524_173524_646.jpg
    IMG_20220524_173524_646.jpg
    947.6 KB · Views: 2
  • IMG_20220524_173605_258.jpg
    IMG_20220524_173605_258.jpg
    707.2 KB · Views: 2
Magufuli alikuondoa kazini kwa vyeti feki, mbona kila siku unamwadika vibya, kwetu sisi Magufuli ni Rais BORA wa Karne. Kwenda Bukoba tulikuwa tunapita Kenya, Uganda lakini Magufuli aliondoa tatizo ili, source ya barabara zote ni Magufuli Hilo Alina ubishj.
Kwenu wewe na nani? Kwani akiwa Bora kwako ndio Bora kwa wote? 😬😬😬😬

Vyeti feki tumelipwa mafao na la saba tumerudishwa...

Barabara zingine hizi hapa kwa mwaka huu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-202353.png
    Screenshot_20220524-202353.png
    161.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220525-082454.png
    Screenshot_20220525-082454.png
    170.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220525-225828.png
    Screenshot_20220525-225828.png
    174.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220525-225938.png
    Screenshot_20220525-225938.png
    193.2 KB · Views: 2
Kwani angewekwa mwingine asinge jenga..? yaani una kuja mwenyewe kwenye msimamo wangu. Ni hivi hata asingekua waziri ndani ya wizara hiyo. Mambo yangeenda tena labda yangeenda kwa umakini zaidi. Waziri anafanya kazi akiwa chini ya mwongozo wa nani..?
Hebu acha kushupaza shingo. Kwa kifupi hata hiyo mkware alimpa credit jiwe alikiri bila yeye miundo mbinu awamu yake ingekuwa mibovu sana.
 
Hebu acha kushupaza shingo. Kwa kifupi hata hiyo mkware alimpa credit jiwe alikiri bila yeye miundo mbinu awamu yake ingekuwa mibovu sana.
Sasa jiwe boss wake alikua nani.?? Yaani unanipa furaha mno. Nani alikua anamtuma mwenzie.? Acha kuruka ruka jibu kama inavyotakiwa.
 
Wabunge waliochangia hotuba ya Wizara ya Ujenzi wamelia na kusuasua kwa ujenzi wa barabara za majimboni mwao.

Wengine wamefikia hatua ya kumkumbuka Mwamba hayati Magufuli

Chanzo: Bungeni
Ujinga wa kuwategemea wanadamu badala ya kujenga mifumo. Zao la ujinga.
 
Back
Top Bottom