Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,663
Habari zenu, mimi ni kijana mwenzenu msomaji mzuri sana humu ila si muanzishaji sana wa nyuzi kuna jambo kidogo huwa linanitatiza wanawake niliowahi kuwa nao wengi huwa na mambo mengi yaani hawajatulia ila sasa kinachonishangaza linapofika suala la kupima.
Mimi ninayejifanya mtulivu ndie muoga namba 1 halafu hawa wao kupima ni kama kunywa maji tu muda wowote popote wapo tayari na hii si kwangu tu hata rafiki zangu wawili watatu kwenye stori stori wamewahi kuongelea hii ishu.
Kwanini wanaume wengi (si wote) tunakuwa waoga sana linapofika suala la kupima?
Karibuni wadau.
Mimi ninayejifanya mtulivu ndie muoga namba 1 halafu hawa wao kupima ni kama kunywa maji tu muda wowote popote wapo tayari na hii si kwangu tu hata rafiki zangu wawili watatu kwenye stori stori wamewahi kuongelea hii ishu.
Kwanini wanaume wengi (si wote) tunakuwa waoga sana linapofika suala la kupima?
Karibuni wadau.