Ujasiri wa kumpiga mkeo ugenini unaupata wapi?

Ujasiri wa kumpiga mkeo ugenini unaupata wapi?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,144
Reaction score
166,082
Mmeenda kwenu kijijini, eti mkeo hakwenda kuteka maji (kwa taarifa ulizopewa na dada zako)

Hizo nguvu za kumpiga na kumuumiza mke wako kwa maneno ya kusikia unazipata wapi?

Hebu tulijadili kwa akili tulizoambiwa tuishi na wake zetu.
 
Sio busara kabisa.Mkuu kuna uzi watu wanakuita 'Gilesi'...tunaomba ufafanuzi tafadhali.
 
Back
Top Bottom