TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 1,816
- 5,151
Nilishawaambia sihitaji salamu, ukitaka salamu rudi huko kijijini kwenu!
Waswahili na Ujinga ni kama Mapacha vile!
Huwa nashangaa sana mwanaume mwenye akili timamu anapomfumania mkewe yeye huanza kupambana na mwanaume mwenzie badala ya kupambana na mkewe!
Aliyekwambia kumpiga na kumdhalilisha mwanaume mwenzio kutaibadili tabia ya umalaya ya mkeo nani? Mkeo anajua kabisa ameolewa na bado akisimamishwa huko mitaani na vijana anakubali kirahisi na namba ya simu anatoa wanaanza kuwasiliana kisha analiwa kimasihara halafu wewe unakuja kumpiga mwanaume mwenzio, hivi kichwani zinakutosha kweli?
Wanawake wengi sikuhizi ni vichwa maji, anajua kabisa kaolewa na bado ukimsimamisha ukianza kumtongoza atakwambia bila aibu hajaolewa, sasa hapo kosa ni la nani?
Huyo jamaa unayepambana nae kosa lake like wapi? Mkeo angekuwa anajua ameolewa angekubali kutongozwa kijinga?
Mkeo kama anakupenda kweli akitongozwa na kusumbuliwa na kijana wa mtaani ni lazima akwambie mume wake ili umuonye huyo kijana, na asipofanya hivyo it means huyo mkeo ni malaya tu na huwezi kuibadili tabia yake.
Kama mkeo ni malaya utawapiga wanaume wa ngapi? Kwahiyo kila mwanaume atakayekuwa analala na mkeo utapambana nae? Sawa, utapambana na wanaume je, tabia ya mkeo utaibadili?
Mwanamke ukimfumania achana nae ila si kupambana na wanaume wenzio.
Ipo siku utapigiwa mkeo na ukileta kimbelembele na wewe vilevile utapigwa. Yaani mkeo atapigwa na wewe utapigwa!
Waswahili na Ujinga ni kama Mapacha vile!
Huwa nashangaa sana mwanaume mwenye akili timamu anapomfumania mkewe yeye huanza kupambana na mwanaume mwenzie badala ya kupambana na mkewe!
Aliyekwambia kumpiga na kumdhalilisha mwanaume mwenzio kutaibadili tabia ya umalaya ya mkeo nani? Mkeo anajua kabisa ameolewa na bado akisimamishwa huko mitaani na vijana anakubali kirahisi na namba ya simu anatoa wanaanza kuwasiliana kisha analiwa kimasihara halafu wewe unakuja kumpiga mwanaume mwenzio, hivi kichwani zinakutosha kweli?
Wanawake wengi sikuhizi ni vichwa maji, anajua kabisa kaolewa na bado ukimsimamisha ukianza kumtongoza atakwambia bila aibu hajaolewa, sasa hapo kosa ni la nani?
Huyo jamaa unayepambana nae kosa lake like wapi? Mkeo angekuwa anajua ameolewa angekubali kutongozwa kijinga?
Mkeo kama anakupenda kweli akitongozwa na kusumbuliwa na kijana wa mtaani ni lazima akwambie mume wake ili umuonye huyo kijana, na asipofanya hivyo it means huyo mkeo ni malaya tu na huwezi kuibadili tabia yake.
Kama mkeo ni malaya utawapiga wanaume wa ngapi? Kwahiyo kila mwanaume atakayekuwa analala na mkeo utapambana nae? Sawa, utapambana na wanaume je, tabia ya mkeo utaibadili?
Mwanamke ukimfumania achana nae ila si kupambana na wanaume wenzio.
Ipo siku utapigiwa mkeo na ukileta kimbelembele na wewe vilevile utapigwa. Yaani mkeo atapigwa na wewe utapigwa!