Ujasiri wa kulala kwa wanawake mnaupata wapi wenzangu?

Ujasiri wa kulala kwa wanawake mnaupata wapi wenzangu?

Bolizozo59

Member
Joined
Oct 8, 2018
Posts
21
Reaction score
62
Kuna mahali nilikua naishi,vjirani zangu ni mdada sasa mara kadhaa jamaa zake wamekua wanakuja na asubuhi napishana nao means hua wanalala.

Sasa najiuliza inawezekana kua comfortable kulala nyumbani kwa mwanamke wako? maana mimi binafsi siwezi kabisa.
 
Inawezekana ila noma mara nyingi ni kwa hao wanawake. yes unakuta chumba ni mwananmke amepanga ila kodi na vitu vingine mwanaume anakuwa anazingatia 100%. inshu bwana mkizinguana hapo kudadeki..hao mademu wanakuwaga na maneno ya hovyo sana yan
 
Shida ni pale mekutana na demu barabarani jana, leo anakwambia njoo tulale kwangu hakuna shida anakuaminisha mara sijaolewa, niliachana, bwana yuko safarini!!!! Dume hustuki ukiwa hatarini??? Unakenua tu

Dume linapeleka tumbo na kukoroma kabisa mara dume mwenye nyumba kaja gafla!!😄😄

Usiamini mwanamke kirahisi ukalale kwake abadani utafanywa vibaya
 
Shida ni pale mekutana na demu barabarani jana, leo anakwambia njoo tulale kwangu hakuna shida anakuaminisha mara sijaolewa, niliachana, bwana yuko safarini!!!! Dume hustuki ukiwa hatarini??? Unakenua tu

Dume linapeleka tumbo na kukoroma kabisa mara dume mwenye nyumba kaja gafla!!

Usiamini mwanamke kirahisi ukalale kwake abadani utafanywa vibaya
Na asubuhi linajifunga taulo na kwenda kuoga bila hofu.
 
Utakuta huyo dem anawanaume hata watano, na kila mmoja anaambiwa pale ni kwake na yupo peke yake. Na wakati huo wote watano kila mmoja anatoa pesa ya kodi kila mwezi, na anaacha pesa ya meza kila akija kulala
 
Utakuta huyo dem anawanaume hata watano, na kila mmoja anaambiwa pale ni kwake na yupo peke yake. Na wakati huo wote watano kila mmoja anatoa pesa ya kodi kila mwezi, na anaacha pesa ya meza kila akija kulala
Na huyo jirani yangu anaonekana kupokea wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati tofauti ,inawezekana unachosema mkuu.
 
Back
Top Bottom