Ujasiri ndio utajiri wako

Ujasiri ndio utajiri wako

Sawa nimekuelewa mkuu, ingawa hujajibu chochote, kuna watu huwa tuna vipaji vya kupima mawazo ya mtu na kutambua uwezo wake kiakili kwa njia tatu; Argumentation, Analyzation & Reaction. You Have Argued With Tired Mind, You Have Analyzed My Request With Ruined Brain And You Have Reacted As A Dead Mind.

Nimepata jibu kwanini unaiweza biashara ya magari, itakuwa wewe mwenyewe ni fundi magari kwani walio wengi hupelekwa garage baada ya kufeli darasa la 7.
Acha dharau,wewe mwenye uliesoma mbona huna jipya.
Presentation yako yenyewe mbaya kweli,yaani unashindwa hata kuandika unachotaka kushauriwa?
Halafu unaleta dharau kwa Std 7.Nyie ndio mkisoma mnaona kama ndio kila kitu na mnashindwa ku badilika katika maisha halisi.
We hadi unanunua Carry mbili halafu unashindwa ku manage,wakati huo huo kuna watu juu na elim za kawaida wanakupa dondo za maana.Elima ya Darasani ni tofauti na Elim ya maisha.Jifunze acha maisha ya kusadikika.

Pili unatia aibu hao wasomi wenzio kama kweli,msomi wewe unaweza kuweka hoja kingumbaru namna hii.
Acha dharau kwa wenzio,heshim utu wa mwenzio na daraja la mwenzio,kwakuwa hujui mungu moyoni kampa mtu huyo upeo gani na kipaji gani.Nyie ndio mnafanya watembea na vibahasha posta kuwa weeengi,na mnafanya wenzenu wakose ajira wakimaliza masomo kwa kuambiwa lazima wawe na uzoefu wa miaka mitano kwa Umbumbu huu wa kushindwa kujieleza kisha kujiita wasomi.

Na kwa muonekano tu ni kwamba hakuna biashara nyepesi wala ngum utakayoiweza.Na unaiga nani kafanya na mie nifanye.
Kwa ku declare interest ninafanya biashara hiyo ya Carry na kama mwanaume ni changamoto za kawaida sana ambazo kubwa ni matengenezo.Na kwa kukusaidia ni kwamba sasahivi watu wanatoka kwenye Carry wanaingia kwenye liteace au Townace pick up za tani moja,hesabu ya siku ni 25,000 -30,000 wakati carry ni 20,000 kwa siku.
 
kama ni muelewa atakuwa Kashaelewa Mkuu,ss kazi kwake afanye biashara au aendelee kupasuka kichwa na Elimu yake!
 
Tajiri mtoto umelizwa swal apo juu lakini hukujibu choxhote,vipi unapatikana mkoa gani?kwani mikoa mingine kweli biashara hii bado changa anyway mm nipo Arusha,kwanza kuna tetesi kuwa ili kupata daladala nzuri(nazungumzia hiace) ununue bodi safi na engine mpya nzuri separately ndo uunganishe frm there you are in a good position to start running your business lakini on top of that naskia ili

kufanikiwa kwenye biashara hii,usave atleast 10%-15% ya kipato kinachopatikana either kwa siku au wiki kutoka kwa muajiriwa wako ili isikuumize sana kichwa je kwa uzoefu wako waweza shauri nn?natanguliza shukrani
 
Tajiri mtoto umelizwa swal apo juu lakini hukujibu choxhote,vipi unapatikana mkoa gani?kwani mikoa mingine kweli biashara hii bado changa anyway mm nipo Arusha,

kwanza kuna tetesi kuwa ili kupata daladala nzuri(nazungumzia hiace) ununue bodi safi na engine mpya nzuri separately ndo uunganishe frm there you are in a good position to start running your business lakini on top of that naskia ili kufanikiwa kwenye biashara hii,

usave atleast 10%-15% ya kipato kinachopatikana either kwa siku au wiki kutoka kwa muajiriwa wako ili isikuumize sana kichwa je kwa uzoefu wako waweza shauri nn?natanguliza shukrani

Ndio mkuu kuhusu kununua bodi ndio njia nzuri yakusave gharama cha msingi ni kuangalia bodi limekaa vipi sio kwamba ili mradi bodi Lolote!,Lkn kumbuka unaponunua bodi sio kwamba unanua bodi tupu yaani inatakiwa ununue pamoja na Engine yake mbovu,kwahiyo hapo utapata spea vitu kama silinda head,stata,pampu na shafti!,

kwani kinachosumbua sana kwenye Engine ni half engine ya chini hasahasa block linakuwa Linatanuka na kusababisa ulaji wa Oil hii pia hupelekea kunoki engine kama dereva akiwa mzembe!,

Kuhusu kuweka akiba unaweza kufanya hv kama una hiace tatu unaweza kuweka akiba hesabu ya hiace moja yaani akiba ambayo haugusi kabisa na hesabu ya hiace mbili unaendeshea biashara!,hakikisha uwe unatatua tatizo kwa wakati muafaka usikubali kufuga matatizo,ukiwa bahili sana magari yako yote yatachoka vibaya!kama kuna swali unaweza kuuliza!
 
Watu wengi wanakata tamaa kwenye biashara hii wakidhani kuwa mafanikio yanakuja gafla gafla,kumbuka gari ukiwa unafanya service kwa muda unaotakiwa unaweza ukatumia hadi miaka 5-8,sasa fikiria utakuwa umetengeneza bei gani?,Lkn ukiwa na hasira ya kurudisha gharama ulizonunulia gari bila kulijali gari hata nusu ya manunuzi hautarudisha!
 
Acha dharau,wewe mwenye uliesoma mbona huna jipya.
Presentation yako yenyewe mbaya kweli,yaani unashindwa hata kuandika unachotaka kushauriwa?
Halafu unaleta dharau kwa Std 7.Nyie ndio mkisoma mnaona kama ndio kila kitu na mnashindwa ku badilika katika maisha halisi.
We hadi unanunua Carry mbili halafu unashindwa ku manage,wakati huo huo kuna watu juu na elim za kawaida wanakupa dondo za maana.Elima ya Darasani ni tofauti na Elim ya maisha.Jifunze acha maisha ya kusadikika.

Pili unatia aibu hao wasomi wenzio kama kweli,msomi wewe unaweza kuweka hoja kingumbaru namna hii.
Acha dharau kwa wenzio,heshim utu wa mwenzio na daraja la mwenzio,kwakuwa hujui mungu moyoni kampa mtu huyo upeo gani na kipaji gani.Nyie ndio mnafanya watembea na vibahasha posta kuwa weeengi,na mnafanya wenzenu wakose ajira wakimaliza masomo kwa kuambiwa lazima wawe na uzoefu wa miaka mitano kwa Umbumbu huu wa kushindwa kujieleza kisha kujiita wasomi.

Na kwa muonekano tu ni kwamba hakuna biashara nyepesi wala ngum utakayoiweza.Na unaiga nani kafanya na mie nifanye.
Kwa ku declare interest ninafanya biashara hiyo ya Carry na kama mwanaume ni changamoto za kawaida sana ambazo kubwa ni matengenezo.Na kwa kukusaidia ni kwamba sasahivi watu wanatoka kwenye Carry wanaingia kwenye liteace au Townace pick up za tani moja,hesabu ya siku ni 25,000 -30,000 wakati carry ni 20,000 kwa siku.

Anafanyiaa hobby just because kaona someone kafanya hivi nae a copy
 
Hahaa haa haa si utani nimeipenda hiyo. Imetulia.
Wakuu Tamalisa na GITWA, watu wanashuka nondo za atari za bussiness plan nyie mkalia tu stori eti jina la........
Halafu mwingine nae anakuja ku quote tena eti anaandika tu, jina la.....wako,

Acheni mambo hayo bhana tupeni changamoto zilizopo kwenye biashara za daladala na suzuki carry.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Tamalisa na GITWA, watu wanashuka nondo za atari za bussiness plan nyie mkalia tu stori eti jina la........
Halafu mwingine nae anakuja ku quote tena eti anaandika tu, jina la.....wako,

Acheni mambo hayo bhana tupeni changamoto zilizopo kwenye biashara za daladala na suzuki carry.

Aha ha ha tulinogewa mkuu kumbe ulikuwa unatunyemelea kimya kimya, hafu huyu Gitwa ndo alianzisha huyu
 
Wakuu Tamalisa na GITWA, watu wanashuka nondo za atari za bussiness plan nyie mkalia tu stori eti jina la........
Halafu mwingine nae anakuja ku quote tena eti anaandika tu, jina la.....wako,

Acheni mambo hayo bhana tupeni changamoto zilizopo kwenye biashara za daladala na suzuki carry.

Oho!! Sorry iwapo tumekukwaza unajua wakutanapo wafaamianao kuna kujisahau hivyo nitarudi kwenye mada husika.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mtoto tajiri umeongelea daladala. Vp kuhusu Noah maana huku mikoani zinapiga kazi. Je nazo unaweza nunua yenye bodi safi tu? Na bei yake unakadiria ni sh. Ngapi? Vile vile bei ya hizo daladala zenye bodi safi hata injine ikiwa imechoka ni sh. Ngapi? Na kuna hizi Toyota dyner (dungu) zinaweza kuwa sh. Ngapi? Naomba majibu kwa hayo na kama unauzoefu wa upatikanaji wake tueleze ili mtu apate maada wako pindi atakapo hitaji. Natanguliza shukurani.
 
Transportation business had never been a successful business in this world...!
 
Back
Top Bottom