Ujasiri ndio utajiri wako

Ujasiri ndio utajiri wako

Mtoto Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
300
Reaction score
173
Japokuwa watu wengi wamekuwa wakiogopa changamoto za biashara ya Daladala lakini mimi sitaacha kamwe biashara hii labda ziungue zote na moto halafu niwe sina pesa ya kununulia nyingine.

Karibuni kwenye biashara hii
 
Kuhusu Risk kila kitu ni Risk!,hata kulala ni Risk!,kuna watu walienda kulala hawakuamka tena!
 
Wadau Nipeni Uzoefu Wa Biashara Za Suzuki Carry. Hii biashara naona ni pasua kichwa, na humu jf sijabahatika kuona thread inayohusu hivi vigari vya suzuki carry. Naomba nielekezwe uzi unaogusa Biashara Hii, niutafute au naomba ushauri kwani ninazo mbili na nimefikiria badala ya kuzipeleka kijiweni niletewe hesabu Na Madereva Wangu, Sasa nimeona bora zifanye shughuli zangu binafsi, sasa ni shughuli gan binafsi naweza kufanya na carry hizi? Sorry Kwa Kuingiza Mada Ndan Ya Mada.
 
Wadau Nipeni Uzoefu Wa Biashara Za Suzuki Carry. Hii biashara naona ni pasua kichwa, na humu jf sijabahatika kuona thread inayohusu hivi vigari vya suzuki carry. Naomba nielekezwe uzi unaogusa Biashara Hii, niutafute au naomba ushauri kwani ninazo mbili na nimefikiria badala ya kuzipeleka kijiweni niletewe hesabu Na Madereva Wangu, Sasa nimeona bora zifanye shughuli zangu binafsi, sasa ni shughuli gan binafsi naweza kufanya na carry hizi? Sorry Kwa Kuingiza Mada Ndan Ya Mada.

kwanza mkuu umeanza na kusema hiyo ni biashara ya pasua kichwa!,kweli itakuwa hivyo kama ulivyosema kwani ajionae mtu moyoni ndivyo alivyo!,Pili umesema unafanya biashara hii ss ni uzoefu gani unaotaka?,Tatu umesema unataka kufanyia shughuli zako!,Hapo ni maamuzi anataka kufanya wala sio ushauri!Nisikuchoshe na status ndeeefu mkuu!
 
kwanza mkuu umeanza na kusema hiyo ni biashara ya pasua kichwa!,kweli itakuwa hivyo kama ulivyosema kwani ajionae mtu moyoni ndivyo alivyo!,Pili umesema unafanya biashara hii ss ni uzoefu gani unaotaka?,Tatu umesema unataka kufanyia shughuli zako!,Hapo ni maamuzi anataka kufanya wala sio ushauri!Nisikuchoshe na status ndeeefu mkuu!

Sawa nimekuelewa mkuu, ingawa hujajibu chochote, kuna watu huwa tuna vipaji vya kupima mawazo ya mtu na kutambua uwezo wake kiakili kwa njia tatu; Argumentation, Analyzation & Reaction. You Have Argued With Tired Mind, You Have Analyzed My Request With Ruined Brain And You Have Reacted As A Dead Mind.

Nimepata jibu kwanini unaiweza biashara ya magari, itakuwa wewe mwenyewe ni fundi magari kwani walio wengi hupelekwa garage baada ya kufeli darasa la 7.
 
Sawa nimekuelewa mkuu, ingawa hujajibu chochote, kuna watu huwa tuna vipaji vya kupima mawazo ya mtu na kutambua uwezo wake kiakili kwa njia tatu; Argumentation, Analyzation & Reaction. You Have Argued With Tired Mind, You Have Analyzed My Request With Ruined Brain And You Have Reacted As A Dead Mind.

Alivyokujibu ni sahihi make tayari ushakata tamaa. Kwenye scrumble za kuboresha biashara hutakiwi kukwepa changamoto bali yakupasa ukabiliane nazo.
Pia umesema tayari ushachukua uamzi wako wa kufanya issues nyingine ili hayo magari yako yakuingizie faida, hujataja ni biashara ipi hiyo ili uelezewe changamoto zake.
I can simply conclude that bufanyii upembuzi yakinifu ktk kila wazo la biashara zako na ndiyo maana hata hiyo ya kwanza umeiona kuwa ni pasua kichwa!
Kwa mantiki hiyo utaendelea kupasua kichwa tu kama utaendelea kuingia kwenye biashara zako ki-kichwakichwa!
Usisikilize maneno ya vijiweni mkuu, buni wazo then ingia kwenye field wewe mwenyewe then put it into action and practise.
 
Nikupe mfano mdogo tu kwa sisi tulioamua kukaa kijijini.Laiti kama ningekuwa na hizo suzuki carry2, biashara yangu ingekuwa ni shughuri ya kuzibebesha mkaa tu mara2 kwa siku na kila trip nabeba gunia10 so kwa gari mbili ntakua na gunia40 kwa siku.

Ningenunua chainsaw kwa sh1800k, then naingia mkataba na wachoma mkaa kwa kuwakatia magogo then wao wanapanga na kuchoma kwa sh5000 kwa roba. Nikinunua petrol ya sh120000 2T ya sh36000 na Oilchafu ya sh20000 inatosha kabisa kuzalisha roba 1000 za mkaa.

Loba1 la mkaa kulitoa porini mpaka store/kwa mteja nitalilipia gharama ya sh1000 tu.Kutoka pori mpaka hapa ni km25 tu, so nikuachie assignment ya kujazia cost za mafuta ya hizo suzuki carry kwa huo umbali x2 per day. Kisha fanya overall calculation ya cost na faida utakayopata ikiwa bei ya roba1 ntauza minimum sh25000
.
Huo ndo mtaji wangu, ningeanza hivyo na wala nisingepasuliwa kichwa na hii biashara hata siku moja.
 
Sawa nimekuelewa mkuu, ingawa hujajibu chochote, kuna watu huwa tuna vipaji vya kupima mawazo ya mtu na kutambua uwezo wake kiakili kwa njia tatu; Argumentation, Analyzation & Reaction. You Have Argued With Tired Mind, You Have Analyzed My Request With Ruined Brain And You Have Reacted As A Dead Mind.

Nimepata jibu kwanini unaiweza biashara ya magari, itakuwa wewe mwenyewe ni fundi magari kwani walio wengi hupelekwa garage baada ya kufeli darasa la 7.

Mkuu Laiti ungekuwa una uwezo wakusoma hadi Akili za mtu basi muda huu usingekuwa hapa jamii forum kuomba ushauri!,ungesoma mawazo yetu then ungefanya yako!,kuhusu kufeli darasa la saba sio tatizo kwani mbona kuna watu wana degree zao wanafanya kazi kwenye kampuni za watu waliishia darasa la Saba
 
nikupe mfano mdogo tu kwa sisi tulioamua kukaa kijijini.
Laiti kama ningekuwa na hizo suzuki carry2, biashara yangu ingekuwa ni shughuri ya kuzibebesha mkaa tu mara2 kwa siku na kila trip nabeba gunia10 so kwa gari mbili ntakua na gunia40 kwa siku.
Ningenunua chainsaw kwa sh1800k, then naingia mkataba na wachoma mkaa kwa kuwakatia magogo then wao wanapanga na kuchoma kwa sh5000 kwa roba. Nikinunua petrol ya sh120000 2t ya sh36000 na oilchafu ya sh20000 inatosha kabisa kuzalisha roba 1000 za mkaa.
Loba1 la mkaa kulitoa porini mpaka store/kwa mteja nitalilipia gharama ya sh1000 tu.
Kutoka pori mpaka hapa ni km25 tu, so nikuachie assignment ya kujazia cost za mafuta ya hizo suzuki carry kwa huo umbali x2 per day. Kisha fanya overall calculation ya cost na faida utakayopata ikiwa bei ya roba1 ntauza minimum sh25000.
Huo ndo mtaji wangu, ningeanza hivyo na wala nisingepasuliwa kichwa na hii biashara hata siku moja.

nice presentation brother.........
 
Wadau Nipeni Uzoefu Wa Biashara Za Suzuki Carry. Hii biashara naona ni pasua kichwa, na humu jf sijabahatika kuona thread inayohusu hivi vigari vya suzuki carry. Naomba nielekezwe uzi unaogusa Biashara Hii, niutafute au naomba ushauri kwani ninazo mbili na nimefikiria badala ya kuzipeleka kijiweni niletewe hesabu Na Madereva Wangu, Sasa nimeona bora zifanye shughuli zangu binafsi, sasa ni shughuli gan binafsi naweza kufanya na carry hizi? Sorry Kwa Kuingiza Mada Ndan Ya Mada.

kama zimekushinda kaka niuzie moja.. nifanyie kazi zangu
 
Wadau Nipeni Uzoefu Wa Biashara Za Suzuki Carry. Hii biashara naona ni pasua kichwa, na humu jf sijabahatika kuona thread inayohusu hivi vigari vya suzuki carry. Naomba nielekezwe uzi unaogusa Biashara Hii, niutafute au naomba ushauri kwani ninazo mbili na nimefikiria badala ya kuzipeleka kijiweni niletewe hesabu Na Madereva Wangu, Sasa nimeona bora zifanye shughuli zangu binafsi, sasa ni shughuli gan binafsi naweza kufanya na carry hizi? Sorry Kwa Kuingiza Mada Ndan Ya Mada.
Kwa ufupi wewe mwenye maelezo yako tu pasua kichwa.
Sasa umevyoingia kwenye hiyo biashara ndio mkakumbana mapasua vichwa wawili mkashindwana.
Fahali wawili hawaishi zizi moja.Utakuwa ulikurupuka
 
Back
Top Bottom