Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Mzee mmoja aliagizwa SIDIRIA na mke wake,alipofika dukani akawa amesahau size gani!
Mama muuzaji akamwambia; Njoo unishike maziwa, utakumbuka ukubwa wa SIDIRIA uliyoagizwa.
Mzee aliposikia hivyo akasema dah!! Samahani kumbe niliagizwa na CHUPI!!!
Mama: Nyoo mshenzi mkubwa wewe!!:heh::heh::heh::heh:
Mama muuzaji akamwambia; Njoo unishike maziwa, utakumbuka ukubwa wa SIDIRIA uliyoagizwa.
Mzee aliposikia hivyo akasema dah!! Samahani kumbe niliagizwa na CHUPI!!!
Mama: Nyoo mshenzi mkubwa wewe!!:heh::heh::heh::heh: