McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Nimeshangaa sana kukutana na list hii.
Kwa hiyo Uingereza kwa siku moja approximately wanakamata watu 30 kutokana na comments wanazotoa mitandaoni.
Inakuwaje kuwaje, Russia na China wanakamata watu wachache kuliko Uingereza wakati UK ndo inajulikana kwa kutangaza zaidi "demokrasia na freedom of speech" duniani
Na Malawi siioni kwenye hii list. Kwamba watu hawakamatwi huku?
Nimeshangaa sana kukutana na list hii.
Kwa hiyo Uingereza kwa siku moja approximately wanakamata watu 30 kutokana na comments wanazotoa mitandaoni.
Inakuwaje kuwaje, Russia na China wanakamata watu wachache kuliko Uingereza wakati UK ndo inajulikana kwa kutangaza zaidi "demokrasia na freedom of speech" duniani
Na Malawi siioni kwenye hii list. Kwamba watu hawakamatwi huku?