Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (kalenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Mary kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikizwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

====

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

====

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine niliona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Mary alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kitaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

"Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuleta mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mrefu na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######

James Jason
 

Attachments

  • Screenshot_20200222-171454.jpeg
    Screenshot_20200222-171454.jpeg
    41.2 KB · Views: 87
  • IMG-20200222-WA0003.jpeg
    IMG-20200222-WA0003.jpeg
    74.2 KB · Views: 103
  • IMG-20200222-WA0004.jpeg
    IMG-20200222-WA0004.jpeg
    65.2 KB · Views: 85
  • IMG-20200222-WA0002.jpeg
    IMG-20200222-WA0002.jpeg
    70.2 KB · Views: 81
Aiseeee, hongera
~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (Calenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Marry kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikiwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

=

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

=

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine nikiona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Marry alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kinyaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

"Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuketa mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mreru na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######View attachment 1366490View attachment 1366493View attachment 1366494View attachment 1366495

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (Calenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Marry kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikiwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

=

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

=

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine nikiona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Marry alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kinyaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

"Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuketa mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mreru na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######

James Jason
Nimefuatilia kwa ukaribu sana simulizi yako, nikiri tu kwa kifupi "mzee uko vizuri"
 
Mzee hongera sana,simulizi yako ni nzuri sana na imenifunza mengi na hata uandishi wako ni wa juu.

Maswali

1.Je bado upo imara kwenye dini ya uislamu?

2.Vipi uliendela kupata ushirikiano mzuri kutoka kwa ndugu wa mkeo(Hamida) hasa ikizingatiwa kwamba mwanzo kulikuwa na hofu ya 'kuchafua ukoo'?

3.Watoto wako wakiamua kubadili dini kwa nia ya kuoa au kuolewa utawaruhusu

4.Hili tukio uliandika mahali labda kwenye Shajara ambao imekusaidia kukumbuka vitu vidogo kama rangi za chupi,nyimbo,majina ya watu baki nk?

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (Calenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Marry kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikiwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

=

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

=

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine nikiona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Marry alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kinyaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

"Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuketa mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mrefu na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######

James Jason

Simulizi hii imenifundisha mengi sana
Hongera mzee kwa kutoa muda wako hasa wa kutupa maarifa vijana wako.
Endelea kutujuza vingine vipya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee hongera sana,simulizi yako ni nzuri sana na imenifunza mengi na hata uandishi wako ni wa juu.

Maswali

1.Je bado upo imara kwenye dini ya uislamu?

2.Vipi uliendela kupata ushirikiano mzuri kutoka kwa ndugu wa mkeo(Hamida) hasa ikizingatiwa kwamba mwanzo kulikuwa na hofu ya 'kuchafua ukoo'?

3.Watoto wako wakiamua kubadili dini kwa nia ya kuoa au kuolewa utawaruhusu

4.Hili tukio uliandika mahali labda kwenye Shajara ambao imekusaidia kukumbuka vitu vidogo kama rangi za chupi,nyimbo,majina ya watu baki nk?

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahsante.
__

1. Ndiyo, mimi, mke wangu na watoto wote ni waislamu. Dada zangu wakubwa wao wahajabadili kurudi katika uislamu, bado ni 'waroman', Mdogo wangu wa Bagamoyo na mkewe sasa ni waislamu, mdogo wangu wa mwisho naye ni mwislamu, aliolewa na kijana wa kiislam.

2. Ushirikiano ninapata vizuri sana, mzee Burhani na jamii ya waasia wenye mtazamo hasi juu ya wabantu kuoa binti zao wamejifunza kitu kupitia ndoa yangu hususani miaka kumi baada ya ndoa wakati wa kumbukizi.

3. Wanangu wote wana ndoa zao sasa, mdogo kabisa aliolewa mwaka jana. Aidha kuhusu kuruhusu mtoto kubadili dini ni kabla ya kuvunja ungo ama kubaleghe, baada ya hapo wanakuwa na uamuzi wao, ingawaje kama mzazi utajaribu kushawishi abaki upande wako. "...Hakuna kulazimishana katika dini..." hii ni moja ya aya katika qur'an. Kwa maana haifai muislamu kumlazimisha asiye muislam awe muislamu. Ingawaje kufikisha ujumbe juu ya habari za uislamu ili akiridhia aingie inaruhusiwa.

4. Zamani tulihimizwa kuwa na shajara na shajara za siri. Hivyo bila shaka niliweka kwenye diary, lakini simulizi hii nilianza kuandika nikiwa Dar lakini nikasafiri nje ya Tanzania na bado sijarudi, hivyo sikuwa narejea.

Kila binadamu ameumbwa kuwa na baadhi ya tabia tofauti na wengine. Moja ya tabia niliyokuwa nayo ni kupenda details ndogondogo. Hivyo nikipenda 'kitu', hukifuatilia, kumbukumbu inabaki, labda kama sijataka kufuatilia.

James Jason
 
Asante sana Mzee wetu kwa simulizi hii tamu. Nina maswali machache naomba kukuuliza
1. Wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu.. unapendelea E-book or paper book

3. Kitabu chako ulichosoma/kununua karibuni ilikuwa lini
4. Ulishawahi kuandika kitabu/je upampango wa kuandika kitabu?
Nisamehe kama maswali yapo too person.. nataka kujifunza kitu kutoka kwako. You have inspared many
 
Ahsante.
__

1. Ndiyo, mimi, mke wangu na watoto wote ni waislamu. Dada zangu wakubwa wao wahajabadili kurudi katika uislamu, bado ni 'waroman', Mdogo wangu wa Bagamoyo na mkewe sasa ni waislamu, mdogo wangu wa mwisho naye ni mwislamu, aliolewa na kijana wa kiislam.

2. Ushirikiano ninapata vizuri sana, mzee Burhani na jamii ya waasia wenye mtazamo hasi juu ya wabantu kuoa binti zao wamejifunza kitu kupitia ndoa yangu hususani miaka kumi baada ya ndoa wakati wa kumbukizi.

3. Wanangu wote wana ndoa zao sasa, mdogo kabisa aliolewa mwaka jana. Aidha kuhusu kuruhusu mtoto kubadili dini ni kabla ya kuvunja ungo ama kubaleghe, baada ya hapo wanakuwa na uamuzi wao, ingawaje kama mzazi utajaribu kushawishi abaki upande wako. "...Hakuna kulazimishana katika dini..." hii ni moja ya aya katika qur'an. Kwa maana haifai muislamu kumlazimisha asiye muislam awe muislamu. Inhawaje kufikisha ujumbe juu ya habari za uislamu ili akiridhia aingie inaruhusiwa.

4. Zamani tulihimizwa kuwa na shajara na shajara za siri. Hivyo bila shaka niliweka kwenye diary, lakini simulizi hii nilianza kuandika nikiwa Dar lakini nikasafiri nje ya Tanzania na bado sijarudi, hivyo sikuwa narejea.

Kila binadamu ameumbwa kuwa na baadhi ya tabia tofauti na wengine. Moja ya tabia niliyokuwa nayo ni kupenda details ndogondogo. Hivyo nikipenda 'kitu', hukifuatilia, kumbukumbu inabaki, labda kama sijataka kufuatilia.

James Jason
Jamali naomba uwe mshenga wangu kwa uwezo wa Allah tutafanikiwa ninavikwazo kidini kifefadha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (Calenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Marry kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikiwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

=

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

=

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine nikiona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Marry alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kinyaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

"Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuketa mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mrefu na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######

James Jason

aisee, asante kwa simulizi nzuri yenye mwisho unaofurahisha.....
 
Asante sana Mzee wetu kwa simulizi hii tamu. Nina maswali machache naomba kukuuliza
1. Wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu.. unapendelea E-book or paper book

3. Kitabu chako ulichosoma/kununua karibuni ilikuwa lini
4. Ulishawahi kuandika kitabu/je upampango wa kuandika kitabu?
Nisamehe kama maswali yapo too person.. nataka kujifunza kitu kutoka kwako. You have inspared many

Shukrani.
__

1&2. Ndiyo, ni mpenzi wa kusoma vitabu. Napenda Hard copies.

3. Mwezi mmoja uliopita

4. Sijawahi kuandika kitabu. Mpango wa kuandika ninao nikipata muda wa utulivu.

James Jason
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom