Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Watongwe nanyi kwenu si huku..
Kuna dawa nimepewa mwezi mmoja uliopita nikainama..
Aisee ile dawa ni kiboko sijapata kuona, ukiitumia unaharisha mafuta tu! Mafuta yote yaliyomo ndani ndio unayaharisha...nilishangaa sana mara ya kwanza kutumia adi nikawa naogopa nahisi itanitoa utumbo.

Ukipiga bomba 3 unisikia imefika hadi kwenye taya inakua inakereketa. Kwahiyo kila sehemu yenye mafuta inayatoa yote..
Inarekebisha mfumo wa damu, kusafisha mirija ya uzazi na nyonga wakati wa tendo na kutibu ngiri!
Duniani kuna mengi tutembee tujifunze..hasa kuongea na wazee
Nimeitumia mara 3 kesho naitumia pia..
Natamani nikusanye nyingi niondoke nayo maana soon naondoka huku!
Ila huko mikoani hawajui mambo haya.
Huku ndo kwetu ,jitahidi uje hapa Ilagala baada ya Bulombora jkt,ni kweli hizo dawa zipo na zinafanya kazi ulizoziainisha ....ila kuna hivyo vimbegu alivyotaja comrade Jason navyo ni vizuri mno
 
Njia za uzazi wa mpango za asili zipo nyingi. Kila Kabila wana njia zao na zinafanya kazi vizuri.

Lakini watu wengi sikuhizi wanapuuzia tamaduni (hata zenye manufaa!?)

Mwwnyezi Mungu alitufundisha njia ya asili ya kwanza:-

Kwamba, wanawake wanyonyeshe watoto wao kwa miaka miwili.

Kwamba, wanaume waoe wanawake zaidi ya mmoja kama uwezo upo.

Darasa la kupanga uzazi kwa njia za asili linahitaji uzi maalum, maana kwa elimu ya juu juu inaweza kuleta madhara ama mimba kuendelea kuwepo na kudharau njia uliyotumia.

James Jason
Mzee wangu una akili sana sana. Huwa hukurupuki kwenye majibu yako..nikupe hongera kwa hilo
 
SEHEMU YA 16
****************

Sherehe ziliendelea hadi usiku mwingi, Ruti alikuta bidhaa zake zote zimenunuliwa na alikabidhiwa hela yake yote, Dada mkubwa aliniuliza kama nimeelewana na Ruti, nikamwambia nimemaliza kazi, kilichobaki ni wazazi kupeleka maneno kwa wazazi wa Ruti.

Watu walikuwa wengi kwelikweli na Manyomba nzima kulikuwa na gari yangu tu Corona Lift-back, vyombo vya usafiri vingine vilikuwa baiskeli na mikokoteni ya kuvutwa na punda na ng'ombe. Watu walikunywa pombe (ya mtama) na togwa la mtama kwa wachache.

Asubuhi Vikao vya Kitaturu vilianza na kufikia maazimio mbalimbali, vijana waliotoka jando baina ya July 82 hadi sasa (June 83) walipandishwa madaraja na kuondoka katika utoto. Vijana hao sasa rasmi waliruhusiwa kuchumbia (ama kuchumbiwa), mida ya jioni pilika za vijana zikaongezeka huku wazee wakiburudika kwa pombe na nyimbo za asili.

Tarehe 26 jioni sherehe zilifungwa rasmi, baadhi ya watu walianza kuondoka, wengine walibaki lakini bado Manyomba kulichangamka. Kesho yake tarehe 27 tulirudi Ibaga na kuwapa mrejesho baba na mama kuhusu Ruth. Walifurahi, wakasema niwaachie watamalizana na wazee wenzao. Nami nilipanga mwezi Disemba nichukuwe likizo fupi tena kwa ajili ya kuja kumuoa rasmi Ruti.

Niliendelea kuongea na wazazi na majirani, nilitembelea mbugani kila siku (kwa Ruti) kwa kisingizio cha kwenda kuhuisha boma la mbugani, japo kweli nilifanya utaratibu na kuhakikisha panajengwa upya kama palivyokuwa awali lakini kwa ubora wa hali ya juu, niliweka kijana mwaminifu (motto wa mama yake mdogo Ruth) kwa ajili ya kuangalia ng'ombe tano nilizo zinunua (majike wanne na dume moja), nilitaka kuwapunguzia wazee wangu gharama za mahari kwakuwa tayari tulishaambiwa tupeleke debe la asali, ngombe mbili jike na dume moja, ngozi zilizotengenezwa mbili, mkuki, upinde pamoja na shilingi mia moja ambazo ningekuja kutoa wakati wa kushuhudia tukio la kutoa mahari mwezi Disemba na kisha kuoa kabisa kabla mwaka haujaisha.

Dada mkubwa na mumewe walisaidia kuangalia vizuri boma, na pakawa pamehuika.

Tarehe 2 July tulianza safari ya kurudi Dar es Salaam. Tulikuwa mimi nikiendesha, mdogo wangu wa Bagamoyo na mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Tulianza safari asubuhi baada ya chai, saa nane mchana tuliwasili Singida (njia haikuwa rafiki, ni chini ya km 120), tukapata chakula na kuongeza mafuta kwenye gari kisha kuanza kuitafuta Manyoni ambapo tuliwasili saa kumi na mbili na nusu hivi.

Saa nne usiku tulifika Dodoma, tulilala lodge fulani maeneo ya Uhindini, na saa moja asubuhi tulianza safari baada ya kuongeza petroli na kuwasili saa nane mchana jijini Dar es Salaam. Safari hii nilikimbiza gari hadi ile alarm ililia (gari ikifika 110kph), nilifurahia sana jinsi Corona ilivyotulia barabarani, kwenye buti tulijaza mazagazaga kutoka kijijini. Saa nane na robo nilikuwa nimepaki Upanga nyumbani, mdogo wangu wa Bagamoyo naye alikagua gari yake kisha siku hiyo hiyo alitangulia Bagamoyo na kumuacha mke wake ambaye angemfuata kesho yake.

Shemeji, mke wa mdogo wangu alituandalia chakula, nasi tulijimwagia maji na kubadili nguo.

"Shemeji, Juzi tarehe 1 kuna simu ilipigwa, akaanza kuongea mwanaume kwa lugha gani sijui kiarabu mara kigereza halafu akapokea mwanamke akaongea kiswahili vizuri tu..."

"Enhe!?" Nikawa na hamu ya kujuwa zaidi

Tulikuwa bado tupo mezani tukimalizia kula chakula cha mchana...

"Nilimuambia kwamba umesafiri, akaniambia kuwa ukirudi nikupe namba hii upige kisha uombe kuongea na Hamida Binti Burhani, ndiyo nikajuwa kuwa ni dada yule wa kiarabu, tukasalimiana vizuri kisha akanitajia namba ambayo nimeiandika, ngoja nikuletee..." Akainuka na kwenda chumbani kisha akarudi na karatasi ndogo mkononi.

"00968..." Alianza kuitaja nikamkatisha

"Hebu nipe hiyo karatasi"

Akanipatia, nikainakili kwenye kitabu cha orodha ya namba za simu.

Nikanawa mikono na kwenda kwenye meza ya simu. Simu yangu ilikuwa haijaunganishwa kupiga nje ya nchi moja kwa moja, hivyo nilipiga kwa operator wa shirika la posta na simu.

"Opereta wa simu, naomba nikusaidie" Sauti ilisikika baada ya kupokelewa

"Ahsante, nahitaji kuongea nje ya nchi namba..." Nikamtajia.

Akaniambia nisubiri atanipigia. Ilikuwa inaelekea saa kumi kasoro. Mara nikasikia grriiiin grrriiiin, nikapokea, akaniambia subiri...

Kisha nikasikia "Hallow"

Ilikuwa sauti ya kiume.

"Kaifa!?" Ile sauti iliongea..

"May I talk to Hamida bint Burhan?" Nilijibu kwa kiingereza.

"Hamida, Hamida ,no, no, not here" kisha akawa anaita mtu mwingine ili aongee

"Hallow, Can I help you" sauti nyingine ya kiume ilisikika.

"Yes, I need to talk to Hamida" Nilisema.

"Oh, binti Burhani, she is not here, call tomorrow morning" Alisema.

Nikamshukuru kisha tukakata simu.

Kesho yake saa mbili asubuhi nikapiga na ikapokelewa na mtu mwingine anayeongea kiarabu tu, akampatia mwingine ndio tukaelewana..

"Hallo, may I talk to Hamida please!" Nilimwambia baada ya kunisalimu.

"Yes, wait a moment" Kisha nikasikia Hamidaaaa

Sekunde chache baadaye sauti ikasikika

"Hallow" Moja kwa moja nikaitambua sauti ya kipenzi changu...

"Hamida, mimi ni Jamaal" Nilisema kisha kukawa na ukimya sana.

"Nitakupigia saa nane mchana, huko inakuwa saa saba, uwe jirani na simu, sasa hivi nipo zamu" kisha akakata simu.

Nilifurahi kusikia sauti yake lakini nilipatwa na bumbuwazi hata sikujuwa niseme nini. Kupenda ‘buaha'.

Hamida akawa kama amesimamisha muda, saa haziendi, hatimaye nikapata wazo la kulala na kumuambia Shemeji na mdago wangu waniamshe saa sita na nusu ili saa saba niongee na simu kisha saa nane na nusu nimsindikize shemeji Kariakoo akapande basi za kwenda Bagamoyo.

Nikaanza kuutafuta usingizi, wapi, hauji, nikachukuwa kitabu cha hadith 'Dogs of war' alichoandika Frederick Forsyth na kuanza kusoma, haikunichukuwa muda mrefu usingizi ukanichukuwa.

Niligongewa mlango saa sita na nusu juu ya alama, nikajimwagia maji kisha nikawa tayari nikisubiri simu.

Saa saba na dakika kumi hivi simu ikaita, nikapokea, nikasikia sauti ya Hamida. Akaniambia kuwa ameshatoka kazini na hapo anaongea kwenye kibanda cha simu jirani na kazini kwake.

Akaniambia kuwa kumbe baba yake alikuwa na nia ya kumtenganisha yeye na mimi na kufanya mpango wa kupata mume huko huko Oman.

Hivyo walivyofika Muscat, kampeni ya kwanza ilikuwa ni geti kali, hakupata kutoka kwenda popote bila dada yake na shemeji zake kuongozana nao. Aliniambia kuwa aliishi maisha ya tabu kama yupo jela, kwa mwezi mzima (wa kwanza wote) alikuwa akilia tumoyoni akiwa chumbani asijue la kufanya.

"Baada ya miezi mitatu wakaanza kuleta wageni (wanaume) mle ndani kisha kuniaambia niwahudumie chakula, wakiondoka naanza kuulizwa kati ya wale wageni nani nimempenda ili anioe" Alisema hamida huku akionesha sauti ya huzuni...

"Nilikuwa nawakataa, lakini waliendelea kuwaleta wengine na wengine lakini hakuna niliye mkubalia" Aliendelea.

"Baada ya miezi nane kupita nikapata akili, niliwaambia kuwa, siwezi kumpenda mtu wa kuletewa, hivyo nitafute mwenyewe kwa kumuoana ama akiniona, hivyo nitafutieni kazi katika Hoteli kwakuwa mimi nina ujuzi wa mapishi, nitafanya kazi lakini naamini nitapata mtu wa kunioa huko huko" Alisema.

"Lakini kichwani nilikuwa nakuwaza wewe, sikuweza kupata namna ya kukuandikia barua wala kukupigia simu nikiwa 'jela' ya nyumbani, hivyo kwa njia hii nimefanikiwa..." Alisita kidogo kisha akaendelea.

"Kazi nimenza majuzi tarehe 1 mwezi huu wa saba, na nimepangiwa ratiba ya asubuhi hadi mchana tu, pia wananichunga muda wa kufika nyumbani japo si mbali kutokea hapa, ni mwendo wa dakika kumi tu kwa miguu..."

Mie nipo kimya tu namsikiliza kwa makini.

"Leo hii sijui itakuwaje nyumbani, watanigombeza sana lakini angalau nimepata wasaa wa kuongea nawe. Siku hiyo hiyo nilyoanza kazi ndio nikapiga simu huko lakini nikaambiwa umesafiri". Aliendelea kusema

"Kazi wamenitafutia kwenye restaurant moja ya Waturuki, hivyo kila siku asubuhi hadi saa nane mchana ninakuwa Chef wa zamu" Alimaliza.

Nilimuonea huruma sana, na nikapata kujuwa nini kilichomsibu hadi akae kimya miezi tisa hivi tangia tuwasiliane mara ya mwisho.

"Pole sana kipenzi changu Hamida, na hongera kwa kupigania uaminicho, bila shaka mimi nawe tumeandikiwa tuwe mume na mke, kama ndivyo hakuna atakayeweza kuzuia, bali watachelewesha tu" Nilimpa pole na kumtia moyo.

"Mimi huku tangia umeondoka sijamwona mwanamke mwingine (?) zaidi yako, mawazo yangu yote yapo kwako, lakini leo nimefarijika sana kuongea nawe" Nilisema.

"Kutokana na kazi yangu ilivyo siwezi kuja huko, hivyo nakutegemea wewe ufanye unavyoweza ili uje Tanzania, tufunge ndoa, na kwa kuwa tunajuwa kikwazo kipo wapi basi itakuwa rahisi kushughulika nacho."

Tuliongea sana, kisha tukaagana na kuwekeana utaratibu wa muda huo yeye kunipigia.
******

Siku hiyo baada ya kuongea na Hamida mchana, nilikuwa na furaha sana, chakula kilishuka vizuri. Shemeji alikuwa tayari saa nane na robo hivi, hivyo nilimsindikiza stendi (Mkunguni St / Congo St) ambapo alipata basi la Champsi Mulji Co. Ltd maarufu kama Chemsi. Kampuni hiyo ilikuwa na mabasi mengi lakini basi hilo (Leyland CD) siku hiyo vijana walikuwa wanaiita 'Msala' kutokana na mpangilio wake mzuri wa rangi nyekundu na nyeupe wakilinganisha na miswala ya kuswalia wakati huo ilivyopambwa.
***

Siku moja katika kuongea na Hamida, aliniuliza kama nimeshafungua ile handbag aliyoniachia. Nikamjibu kuwa sijafungua bado, akaniambia nikaufungue, kweli jioni ile nikauchukuwa na kugundua, kulikuwa makeup set, handkerchief, makorokoro mengine ya wanawake lakini kwenye sehemu palipofungwa zipu, nilipofungua nilikuta kuna hela zilizofungwa kwa karatasi nyeupe na rubberband, zilikuwepo hela za Kenya na chache za Tanzania.

Kwenye ile karatasi aliandika:-

"Kwako mpenzi wangu Jamaal,

Salamu nyingi sana zikufikie hapo ulipo, utakapo kujuwa hali yangu mimi ni mzima wa afya, hofu na mashaka ni juu yako wewe ambaye sasa upo mbali na upeo wa macho yangu.

Madhumuni ya barua hii ni kutaka kukujulisha kuwa pamoja na ugumu unaoupitia lakini usikate tamaa, hata mimi sintokata tamaa kwa kuwa nakupenda sana tena sana na wala siyo kwa sababu ya kukwepa kuolewa na babu wa Oman.

Hivyo nitahakikisha narudi Tanzania ili tutimize lengo letu la kuoana na kuishi pamoja.

Naomba uvumilie na uniamini, ipo siku tutakuwa wote kama mke na mume.

Nakutakia kusubiri kwema.

Wako akupendaye daima,

Hamida."

Ilikuwa imewekwa seal ya busu (kiss) yenye lipstick ya pink, alichora pia ‘kopa’ na kuweka alama ya mshale. Nilipoinusa ile barua ilikuwa inanukia harufu yake, yaani harufu ya perfume ya Hamida.

Nafikiri ndiyo barua niliyowahi kuisoma kwa kuirudia mara nyingi kuliko zote maishani, nililala nayo kifuani usiku ule, lakini kila nikimkumbuka nilikuwa nachukuwa naisoma tena, na tena.

Siku ya pili yake (baada ya kuifungua ile handbag nilimuuliza kuhusu zile pesa ndipo akaniambia kuwa ni hela zake za akiba alizo-save wakati akiwa KUC, alizitunza kwa ajili ya kujinunulia kitu atakacho wakati wa harusi yake nje ya bajeti ya wazazi.

Tuliendelea kuwasiliana na Hamida karibu mara nne au tano kwa wiki, tuliungana tena kwa kutumia simu, mara nyingi yeye ndiye alipiga kwa kuwa gharama za kupiga nje kutokea Tanzania zilikuwa kubwa sana lakini pia yeye alikuwa anatumia 'telephone boothes' tofauti tofauti.

=

Mwezi wa kumi nilipokea simu kutoka Singida mjini, ni dada yangu mkubwa alinipigia nikiwa afisini. Akanijulisha habari za kusisimua...

"Hallow" Sauti ya Dada

"Hallow, Shikamoo dada" nilimsalimia.

"Marhaba, leo tumekuja na shemeji yako mjini kufuatilia dawa za kutibu ng'ombe, lakini pia kuna habari iliyonifanya nikupigie simu" Alisita kisha akaendelea

"Ruth ana mimba" Alitoboa

"Tena imeanza kuonekana kabisa ina miezi minne sasa, na ameniambia ya kwako" Alisema

Fasta kichwa kikaanza kuvuta kumbukumbu siku ile mtoni ndipo nikajuwa inawezekana kweli alikuwa kwenye heat period, maana ule utelezi ulikuwa wa aina yake, naye alifurahia sana siku ile na kutaka kurudia tena na tena ingawaje nilirudia mara moja tu.

Mbona hakuniambia nisimalizie ndani?
Alinitega?
Mbona mimi na Dada ndio tuliweka mazingira ya kumgegeda!?
Au hajui mambo ya siku za hatari?
Nilijiuliza maswali fasta fasta.

"Nashukuru kwa taarifa, ni kweli ni kazi yangu" Nilisema kisha Dada akacheeka sana.

Nakumbuka nilimgegeda mara mbili tena baada ya sherehe nilipokuwa naenda mbugani.

"Yani hiyo ni yangu kabisa, mwambie asiwe na wasiwasi, wazee wawahishe mahari tu ili nikija Disemba nimuoe kimila kisha nihalalishe kidini.

Tulishazungumza na Ruth kuhusu yeye kubadili dini kabla ya kumuoa na alikubali.

"Wazazi walishapeleka sehemu mahari bado ile shilingi mia na debe la asali." Alinijulisha.

"Ruti siku zake zilipopitiliza, akanifuata akaniambia, ndipo nami nikamjulisha mama, naye akamwambia baba ambaye aliamua wapeleke mahari kabisa" alisema Dada.

Tuliongea na mambo mengine kisha tukaagana na kukata simu.

Habari ili ilinichanganya kidogo ukizingatia tayari nina mawasiliano ya mara kwa mara na Hamida na hususani kwa barua yake aliyoniachia.

"Hamida akijua hii, ndoa naye basi" nilijisemea.

Nikaanza kuwaza jinsi nilivyoanza kukusanya 'silaha za mashambulizi' dhidi ya mzee Burhani, tayari hoja za kumvunja nguvu na kumuonesha udhaifu wake zilisha andaliwa.

Nilipanga kuwatumia Imamu wa msikiti anaoswali na mzee mmoja pale Shibam.

Tulishapanga Hamida mwezi ujao (Novemba) atoroke arudi Tanzania afikie Zanzibar kwa mamkuu wake, passport waliyoificha tayari aliona ilipo siku ile alipotakiwa kiripoti kazini ili wachukuwe taarifa zake muhimu. Hela yake nyingi alitumia kwenye kupiga simu kwangu lakini nilimuambia akiwa tayari anijulishe ili nimtumie tiketi.

Kichwa kilikuwa kimeanza kuwaka moto kwa kuwaza kupita kiasi.

Kazini napo hali ya upatikanaji wa bidhaa ilizidi kuwa mbaya, mapato na huduma zilikuwa zinashuka kila kukicha (kila uchao) lakini tuliendelea kupambana hivyo hivyo.

Mwezi Novemba Hamida hakuweza kuja kwa sababu alisema kuwa bado si muda mzuri wa yeye kutoroka, bado alikuwa anajenga uaminifu kwa shemeji na dada yake ambao walikuwa wanadhani muda wowote posa italetwa kwao.

Hamida alikuwa mzuri, yani mrembo wa maumbile na tabia pia, ni mwanamke aliyeandaliwa vyema kuwa mke na mama bora kwa familia kama ilivyo kawaida kwa familia za kiarabu kuhusu wanawake.

Haikuwa rahisi kwa kijana rijali amuone Hamida kisha ajue kuwa hajaolewa akaacha kumposa. Kutongozwa hapo kazini kwake alishazoea lakini alivaa pete ya uchumba niliyomnunulia Unguja ndiyo ilikuwa kinga yake (kulingana na msimamo alionao)

Mwezi wa kumi na mbili sikuweza kuchukuwa likizo kutokana na hali ya afisini ilivyokuwa. Kijijini nako Ruti mimba ilishakuwa kubwa, akahamia pale bomani kwetu na kuishi hapo pamoja na kijana aliyekuwa anasaidia kuchunga mifungo ambapo kwa bahati nzuri alikuwa ni ndugu upande wa mama yake.

Nilituma hela kwa ajili ya asali na ile hela waliyoitaka, wazee wangu walikamilisha mahari yote kilichobakia ilikuwa ni ndoa.

Mwezi Disemba ulipita, Januari, Februari hadi Machi mwishoni nilipopigiwa simu na Shemeji kwa dada mkubwa (alikuja Singida mjini), akaniambia kuwa Ruti anaumwa, amepelekwa dispensari ya Chemchem.

Dada mkubwa na mdogo wake wote walikuwa wakimsaidia pamoja na wazazi wake Ruti. Ilikuwa ni uchungu, muda wa kujifungua ulikuwa umewadia.
*****

=

Mashambulizi yalianza kwa mzee Burhani. Imamu wa msikiti anaoswali mara kwa mara pale magomeni (mkauni) pamoja na mzee mmoja mtata sana pale Shibamu kisha baadaye wakamuongeza na mzee Shebe aliyekuwa akikaa mtaa wa sunna. Alikuwa ana asili ya Umanga fulani hivi naye baadhi ya mabinti zake aliwaoza kwa vijana waafrika (weusi)

Kila siku pale Shibamu walianza kumsakama mzee Burhana kidogo kidogo. Kero kwake ikawa kubwa hadi kuna siku pale kijiweni ikawa ni mada maalumu.

"Ninyi waarabu mmekuwa mnafanya ubaguzi sana kwa vijana wetu wasioe kwenu, mbona nyie vijana wenu wanawapa ujauzito mabinti zetu tena hata kuoa hawataki, sasa kijana wa watu mstaarabu tena amesilimu ndani ya mikono yako unashindwa kuridhia binti yako aolewe naye!?" Imamu alisema...

"Angalia mimi binti zangu wengi wameolewa na wazaramo na wandengereko mbona wanaishi vizuri tu na kizazi kizuri sana" Mzee Shebe aliongeza...

"Unajuwa sisi sote ni ndugu, yaani binadamu wote ni ndugu, tuna udugu wa namna mbili, udugu wa asili na udugu wa kidini, sasa Jamaali kote kote anastahili..." Mzee mtata wa Shibam, aliongea kisha akaongeza...

"Kumbuka mzee Burhani, pindi Nabii Nuhu alivyokuwa akiwaita watoto wake wakubwa watatu Saam (Shem), Haam (Ham) na Yaafith (Japhet) akitaka kuwahusia..." Ameza mate na kuendea

"Katika hao, Ham alimtuma mtoto wake mkubwa aitwaye Misri (Masri), ambapo baada ya kupokea usia pia aliambiwa wadogo zake wakizaliwa pia awalete (mama yake alikuwa mja mzito), alipojifungua walizaliwa watoto wawili pacha mmoja mweusi (bantu) na mwingine mweupe (arab).

Hawa watoto pacha walitabiriwa kuwa mmoja (mweusi) atashika sana dini lakini hatokuwa na mali nyingi na mweupe atakuwa na mali nyingi na pia kizazi chake watashika dini, lakini akamsihi sana yule mweupe asimsahau mweusi kwa kumsaidia, kwani wote ni ndugu" Alitulia kisha akaendelea...

"Hivyo Waarabu na Waafrika (weusi) ni ndugu kabisa kupitia mjukuu wa Nabii Nuhu aitwaye Misri. Yaani hapo wewe ni Burhan ibn dash dash kisha ibn Misri ibn Ham ibn Nuhu, na Mimi hapa Muharami (alijitaja jina lake) ibn dash dash ibn Misri ibn Ham ibn Nuhu. Hivyo sisi ni ndugu kabisa ingawaje mie nina ngozi nyeusi" Alitulia kisha mwingine akapokea...

"Ina maana kwamba kizazi hiki cha Africa ni ndugu kupitia Mjuu kuu wa Nuhu Misri Ham, hivyo haifai kubaguana wala kutengana, yafaa kusaidiana, na masuala ya ndoa yanaongeza mshikamano katika udugu wa kidamu pamoja na wa kidini..."

Jina la nchi ya Misri (Egypt) ilitokana na jina la mjukuu wa Nabii Nuhu kupitia mwanawe Ham.

Alishambuliwa pale huku mimi niko pepembeni nimetulia nawasikiliza huku nikiwa namwamuru muuza tangawizi aendelee kumiminia kila amalizaye kunywa.

Ijumaa hiyo ilikuwa ya moto sana kwa Mzee Burhani ambaye mwanzo alikuwa akijibu mashambulizi lakini baadaye alizidiwa na hoja na kuamua kubaki kimya akisikiliza tu huku ameinama kidogo...

"Dini inataka ndoa zifanyike haraka, ni moja kati ya mambo matatu ambayo yanatakiwa kuwahishwa; mtu akitaka kusilimu ni muhimu kuharakisha, mtu akitaka kuoa vivyo hivyo ili mradi masharti ya ndoa yote yatimie, na mtu akifa basi yafaa awahishwe kuzikwa, yote haya yana faida kwetu sisi wanadamu." Imam alimeza mate kisha akaendelea..

"Muoaji yupo, muolewaji yupo na ameridhia kuolewa na Jamaal, au keshaolewa!?" Alihoji kwanza Imam

Mzee Burhan alitingisha kichwa kulia na kushoto kuashiria hapana, Imam akaendelea...

"Muoaji yupo, umesikia bwana, muolewaji yupo na yupo tayari kuolewa na muoaji, ni rizki yake kijana wetu Jamaal, ridhia tu amuoe..."

"Uwezo wa kulipa mahari anao, au huna Sheikh Jamaal? " Aliuliza kishabiki, nikajibu ninao, akaendelea...

"Walii wewe upo, wasomaji hutuba ya ndoa tupo na sharti nyingine zote zimetimia, usifanye ubahiri, unaweza kuleta madhara kwa mwanao na jamii kwa ujumla, legeza moyo kaka!" Alisema huku akimgusa bega maana alikaa jirani naye kisha akaendelea...

"Au hamjamchunguza kama Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alivyotuasa kwamba akikujieni mtu akitaka kuoa basi mchunguzeni tabia yake na kama ana dini; kwani Jamaal hamjui tabia yake? Na kwenye Uislam wewe mwenyewe si ndiye uliyemleta msikitini ukaniambia amesilimu mbele ya familia yako!?" Alihoji, mzee Burhani alikuwa kimya.

Mimi hapo kwenye tabia nikawa najiaemea moyoni, wangelijuwa hawa! Nikajipa moyo kwamba lakini ukishasilimu dhambi zote Allah (aliyetakasika) huzifuta na kuanza upya. Ila sasa 'kasheshe' ya Ruti nayo nikawa nayo moyoni tu hata sikujuwa itakuwaje mbele.
********

Usiku uleule nilipigiwa simu na mzee Kassim (Katibu Kata) akiniambia kuwa mzee Burhani alituma ujumbe kwake ili kesho adhuhuri tuonane nyumbani kwa mzee Burhani.

=

"Grriiiin greiiiin, griiiiin griiiin" simu ya ofisini iliita.

Nikainua mkonga wa kusikilizia nikasikia...

"Boss, kuna simu kutoka Singida"

"Unganisha" Nilimjibu na kuendelea kushikilia simu..

"Hallow" Sauti ya upande wa pili ilisema.

"Hallowa, habari?" Nilijibu

"Njema kiasi" sauti ilisikika

"Wewe ni nani?" Niliuliza

"Une ne shemejiako ku..." Alianza kuongea kinyiramba

Ndipo sauti nikaikumbuka vizuri, hali ya hewa nayo haikuwa nzuri maana simu ilikuwa inakwaruza...

Nina Shemeji mmoja tu mnyiramba, mwingine ni Msukuma, na Rehema bado alikuwa hajaolewa.

"Ahaaaaa, bwana shemeji" Nilimchangamkia, ni shemeji yangu mchangamfu sana, alimuoa dada yangu Rahel (Rachel) aliyeniachia ziwa. Dada wa kwanza (Rabeka) aliolewa usukumani.

"Nimetumwa nije nikupe yaarifa mbili" Akasita

"Enhe!?" Niliuliza huku mapigo ya moyo yakaanza kwenda mbio. Shemeji yangu huyu huwa mchangamgu na ana utani mwingi, lakini leo...!? Sijui!!??? Nilijisemea kimoyomoyo

"Enhe?!" Nilisema

"Moja mbaya na nyingine nzuri" Akasita...

"Enhe, hebu anza na nzuri" nilijitia moyo...

"Eeee, umeshakuwa baba, umepata mtoto wa kiume..." Akasita

"Enhe" nilisema

"Bahati mbaya mama yake amefariki" Alimaliza.

Kukawa na ukimya wa muda mrefu, kisha nikamshukuru kwa taarifa lakini nikamwambia asirudi kijijini, saa mbili usiku anipigie tena (reverse call) kwa namba ya nyumbani.
*****

"Boss vipi?" Betty aliniuliza alivyokuja mezani kuchukuwa mafaili, nilikuwa nimejiinamia kwa mawazo...

"Nimepata taarifa ya msiba kijijini, ni msiba unaonihusu, sina budi kwenda kesho asubuhi." Nilimjibu.

Betty alinifariji bila hata ya kuuliza nimefiwa na nani.

Kazi hazikufanyika tena, nikiamua nitoke afisini nielekee nyumbani kuanza kujipanga kwa safari.

Wakati natoka, Betty aliniuliza nimefiwa na nani, nikamjibu mchumba wangu amefariki.

"Mwarabu amefariki, oh masikini, sasa mbona simu imetoka Singida!?" Alihoji

"Hapana, siyo mwarabu, yeye bado yupo Ughaibuni huko, nilivyoona wazazi wake hawaeleweki niliamua kuchumbia kijijini" Nilimjibu.

"Oh, pole sana" Alinifariji

"Ahsante, kesho asubuhi nitawahi hapa, naomba nikukute maana nitakuwa 'njia moja' kuelekea Singida.

Maneno 'njia moja' ama njia namba moja (mbili au tatu nk) yalikuwa maarufu kwa watumiaji wa usafiri wa reli, ikimaanisha treni ipo tayari kuondoka nk.
*****

Nilifika nyumbani na kumueleza Rehema yaliyotokea na kumwambia saa mbili usiku tutapata taarifa zaidi.

Nikatoka kuwahi madukani na kununua baadhi ya vitu muhimu ikiwemo sanda, khanga, vitenge, na kuchukuwa vyakula kama Sukari na mchele, bidhaa hizi zilikuwa adimu sana kijijini na hata nchini kwa ujumla kwakuwa hali ya uchumi ilishafikia pabaya sana. Kisha nikakimbia Bagamoyo kwenda kumuandaa mdogo wangu ili twende naye.

Saa mbili usiku simu iliita na kusikia sauti ya mwanamke ikiniuliza...

" Jonas kutoka Singida anataka kuongea nawe kwa gharama za kwao, je upo tayari?"

"Ndiyo, nipo tayari" Nilijibu

"Ok, Subiri usikate simu" Alisema kisha nikasikia milio ya krrrrrruuuuu krrrrruuuuu kwa mbali kisha "Hallow"

Alikuwa Jonas ambaye ndiye Shemeji yangu.

Alinieleza...

"Jana Ruti alizidiwa, njia ilikuwa ndogo (ama haifunguki?!) mtoto alikuwa hapiti, hivyo wakaomba landrover ya mishen iwasaidie kuwapeleka Zahanati ya Mkalama ambapo napo walishindwa kwa kuwa ilibidi afanyiwe upasuaji hivyo wakaamua haraka wamkimbize Hospitali ya Kiomboi. Walifanikiwa kufika salama lakini presha ya Ruth ilishuka sana wakati wa upasuaji na hakuweza kuishi, lakini mtoto walifanikiwa kumtoa salama na alilia baada ya kupigwa makofi mawili. Mwili wa marehemu mpaka nakuja huku leo tarehe 5 (April) ulikuwa bado upo Hospitalini (mochwari) na mtoto anaendelea vizuri chini ya uangaliza wa mke wangu na shemeji Rabeka (Rebecca)"

Nilimuuliza maswali mawili matatu kisha tukaagana, lakini nikamwambia asiondoke Singida kwa kuwa mimi nitampitia Twende wote kijijini.

Asubuhi na mapema, mdogo wangu wa Bagamoyo alifika Upanga na gari yake Dutsun pickup.

Tukahamishia mizigo niliyonunua kwa ajili ya kwenda nayo kijijini kwenye pickup na kufunga turubai vizuri.

Aliendesha mdogo wangu, tukapitia afisini na kumuaga Betty baada ya kumpa taarifa vizuri ya msiba kisha tukapitia kujaza mafuta na kuondoka. Ilikuwa majira ya saa tatu na nusu asubuhi.

Alikimbiza sana mdogo wangu, saa kumi tulikuwa Uhindini Dodoma tunakula na kuongeza mafuta. Saa nne usiku tulikuwa Singida, tukampitia Shemeji wanapofikiaga ndugu zetu pembeni ya Hospitali ya Mkoa, na tuliondoka muda huo huo baada ya kujaza gari full tank kwa mara ya tatu.

Saa saba kasoro usiku tulifika Kinampanda Hospital. Tuliwakuta Dada zangu na mama yake Ruth na pia Shemeji yangu kwa dada mkubwa alikuwa amefika jioni hiyo.

Kilio kilitawala, tukabembelezana tukatulia.

Asubuhi taratibu za kawaida zilifanyika, tukapewa mwili, tulitandika godoro dogo ambapo tulilaza mwili, mizigo na sisi wengine tukajibanza sehemu iliyobakia.

Mtoto alishikwa na Dada mkubwa aliyekaa mbele, mdogo wangu wa Bagamoyo aliendesha.

Mdogo mdogo tulienda hadi tukawasili Ibaga mida ya saa saba na nusu hivi mchana.

Nilishuka pale kwa wazazi wangu, gari iliendelea hadi mbugani nyumbani kwa akina Ruth (R.I.P)

Jioni ileile mdogo wangu alinifuata na mimi pamoja na wazazi wangu tukajumuika msibani ambapo tulizika kesho yake baada ya misa takatifu Kanisani Chemchem na kisha misa nyingine nyumbani kwenye eneo la makaburi yetu walipozikwa Babu na Bibi.
*********

=

Baada ya kupokea simu kutoka kwa mzee Katibu Kata (siku hiyo Ijumaa tar 30 March 1984) nilifurahi sana, nikajuwa mdahalo wa mchana ulifanya kazi vizuri. Nililala kwa furaha na kuona kama saa haziendi vile.

Saa sita Jumamosi nilimpitia mzee Katibu Kata (tulizoea kumwita hivyo badala ya kutaja jina lake), kisha tukaenda kuswali msikiti wa Mkauni, tulionana naye baada ya swala tukaenda pamoja nyumbani kwake.

Tulimkuta Shangazi yake Hamida, Shemeji yake mzee Burhani, mamaza mzazi wa Hamida pamoja na yule mama Fungameza.

Tuliandaliwa chakula, tukawa tunakula huku mzee Burhani akiongea...

"Kwa kweli baada ya yale maongezi ya jana pale Shibam, nimejifikiria sana. Usiku mzima sikupata usingizi vizuri nikiwa natafari maneno yale." Akawa anakula kidogo kisha anaendelea...

"Nilikata shauri kuwa yafaa leo tukutane, japo kwa uchache lakini angalu mliopo msikie kauli yangu, hivyo nilimtumia ujumbe mzee Kassim ili akujulishe mje tuweze kuweka sawa suala hili" Akapiga matonge mawili hivi kisha akaendelea...

"Kwa kifupi sasa nipo radhi Hamida aolewe na Jamaal" Akatulia akala weee kwanza kisha akaendelea...

Wakati huo mimi nimejawa na furaha kubwa moyoni kwamba hatutotumia njia za panya kutimiza ahadi ya kuoana na Hamida, bali itakuwa halali. Chakula niliona nimeshiba tu baada ya kula tonge chache za wali samaki (papa mbichi chukuchuku)

Mama Warda na Shangazi walikuwa wanatabasamu kwa furaha, Mama Fungameza alipiga kigelegele pale aliposikia "...nipo radhi binti yangu Hamida aolewe na Jamaal...", Shangazi na Mama Hamida nao wakapokea kwa vigelegele.

" Eee kwa kuwa tulishapokea posa mwaka jana, hapa kilichobaki ni kumjulisha Hamida kama yupo tayari kuolewa na ataje mahari yake."

"Majibu ya mahari nitampatia mzee Kassim" Alimaliza mzee Burhan.

Mume wake shangazi alifurahi sana na kumpa mkono shemeji yake baada ya wote kunawa mikono, kisha wote tukapeana mikono kwa furaha.

"Shemeji umeamua jambo zuri sana, Mwenyezi Mungu atakulipa. Ulikuwa unamtesa tu bintiyo, Jamaal hana shida yoyote ya kumfanya asimuoe bintiyo, amechunguzwa kwelikweli na wataalamu wa uchunguzi, hakika umepata mkwe bora, hongera sana." Alisema mume wake aunt.

Mama Warda hakusema neno, alikuwa amefurahi tu hata nilivyokuwa namuangalia usoni niliona waziwazi furaha yake.

Ilipigwa fat'ha na kuombwa dua. (Fat'ha ni msemo wa tamko kuashiria isomwe suratil' fat'ha kisha kufuatia na dua)

Baada ya dua tulipeana mikono tena kisha tukaaga na kuondoka. Nikampeleka mzee Katibu Kata kwake nami nikarudi nyumbani nikiwa mwenye furaha isiyo kifani. Ilikuwa tarehe 31 Jumamosi, weekend hiyo nilienda Drive in Cinema pamoja na mdogo wangu Rehema kufurahia uamuzi wa mzee Burhani.

Jumapili nilienda Bagamoyo kumjulisha mdogo wangu pamoja na mkewe kuhusu maamuzi ya mzee Burhani, wote walifurahi sana. Nilirudi Dar na nazi na mihogo kama kawaida nikitoka Bagamoyo.

Jumatatu nilifika kazini nikiwa mwenye furaha na bashasha hadi Betty aliniuliza...

"Kulikoni Boss una furaha hivyo na hali ya uchumi imeshuka sana ofisini"

Nikamfuata kwa mtindo kwa kucheza, nikamshika mkono, nikamzungusha, aka respond vizuri, tukawa tunaswing, kushoto na kulia kama jahazi mawimbini kwa kuzama na kuinuka, huku nimemtolea macho ya furaha na tabasamu matata kisha nikafungua mdomo...

"Nimekubaliwa kumuoa Hamida, taraa taraa, taraa taraaa!" Nilijibu na kuendelea kumuongoza kucheza.

Hapakuwa na wimbo uliokiwa ukiimba (kuchezwa) ilikuwa ile ya kimyakimya, ila baada ya sekunde chache nilimuachia na kila mmoja aliendelea na kazi yake.

"Kweli, mvumilivu hula mbivu..." Alisema Betty.

"Kabisa, na subira yavuta kheri" nilijibu.

Nilifanya kazi kwa bidii zaidi siku hiyo. Ilipofika saa nane na dakika kumi hivi mchana simu ikaita.

Ilikuwa simu ya Hamida...

"Cheichei Bibie!" nilisema

"Cheichei Bwana!" alijibu Hamida na wote tukacheka kwa furaha.

Akaniambia...

"Baba ameniambia kuhusu kikao cha juzi mlichokaa, pia ameniambia nifanye utaratibu wa kuacha kazi na kurudi Dar ea Salaam..."

Alieleza kwa furaha sana hadi akawa analia...

"Leo tarehe 2 , hivyo sisubiri hadi mwisho wa mwezi, kesho tu naandika kuacha kazi kwa notisi ya saa 24" Alisema

Tuliongea kwa furaha pale na kumshukuru Mwenyezi Mungu kisha tukaagana na kuahidi kunipigia simu usiku kutokea nyumbani bila kificho sasa.

Siku ya Jumatano asubuhi nililetewa bahasha na mzee Kassim afisini, moja kwa moja nilijuwa ni majibu ya mahari. Nikaisoma na kukuta kama vilevile alivyoniambia Hamida siku za nyuma.

Sehemu ya barua ilisema...

"....Mahari ya binti yetu Hamida ni kama ifuatavyo:-

1. Kitanda futi sita kwa sita

2. Kabati la vyombo (show-case)

3. Kabati la nguo milango mitatu

4. Dressing table

5. Kusoma 'Ayatu Kursiyu' mara tatu.

....... ....... .......

Wabillah tawfiq

Wazazi wa Hamida bint Burhan."

Hakukuwa na kiwango cha hela. Kwa mahari hiyo tayari nilikuwa nimeshajiandaa, ila Suratil Yassin sikuwa nimeikariri yote, hata hivyo nimefurahi kwakuwa nimebadilishiwa na kupewa nisome Ayatul' Kursiyyu (Aya tukufu)

Tulifurahi na mzee Kassim kisha akaaga, nikamchukulia teksi akaondoka.

Siku moja baadaye (alhamisi mchana tarehe 5 April 1984) ndipo nikapokea taarifa ya kifo cha Ruth ambapo alifariki usiku wa Jumatano kuamkia alhamisi.
*****************

Itaendelea .....View attachment 1361067View attachment 1361068View attachment 1361069

James Jason
Dah,hii stori yako mzee imeenea kila idara,sijutii kuifatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongeraa sana. I wish ningekua nauwezo kama wako..ningekua nashinda naandika

Huyu mzee ni zaidi ya facilitator
Nachopendea zaidi uandishi wake anatumia lugha ya kawaida kumjengea msomaji taswira ya vitu halisia vilivyotokea kiasi kinachompelekea msomaji kujohisi kuwa sehemu kamili ya kisa kilichotokea
Big up sana kwake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sasa hiyo dawa unajipiga bomba mwenyewe au kuna mtu anakufanyia hiyo kitu?
Nimegundua ndio maana watu wa dar wanashindwa kupafomu vizuri ajili ya kutotumia dawa za kienyeji kusafisha miili yao. Ngiri ishawabungua mno, mwili umejaa mafuta mishipa imeziba na kiuno kimekua kigumu ndio maana ukipiga moja tu mtu upo hoi kiuno hakitaki kuendelea na kazi.
Huo mfumo wa kuinika nilikataaga kuutumia muda mrefu kama ni dawa nilitumia za kunywa tu!
Ni njia nzuri sana hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zahanati ya Chemchem walimchelewesha, yani nilisikitika sana, imagine hospitali ya upasuaji ilikuwa zaidi ya kilometa 80

James JasonMuundo wa marejeo (kifasihi).
Baba umenitoa chozi last year miezi hii nilikua nahangaika na aliyekua kipenzi changu (Selina R I P.) Sewahaji. Nazidi jifunza mengi sana hakika duniani twapita.
 
Huku ndo kwetu ,jitahidi uje hapa Ilagala baada ya Bulombora jkt,ni kweli hizo dawa zipo na zinafanya kazi ulizoziainisha ....ila kuna hivyo vimbegu alivyotaja comrade Jason navyo ni vizuri mno
Wewe nawe unanikumbusha, bulombora 821,ilagala gerezani. Muyobozi nk.Maisha haya rest in piece. Afande komba. Hasani mana. Na Yujini.
 
Sijaanza kuandika bado.

Endeleeni kujadili, kuuliza maswali, etc.

Nikipata wasaa nitaandika na kuweka.

Waalikeni na vijana wengine wasome simulizi hii, yapo ya kujifunza na kujibumbusha.

James Jason
Tunashukuru sana . Tunajifunza mengi sana kwako
 
Kuna yule aliyependekeza kupata tafsiri ya " The perfumed garden" akiingiza ile PDF katika Google translator. Kitabu kizima kitafasiriwa Kama kilivyo. Maaana nakubaliana nae lugha ya mule, Kama so mjuzi wa lugha ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Jason naomba nirudie tena kuuliza swali langu maana mwanzoni hukulijibu. Katika hizo spots 3 A,G na C/U ni ipi humsisimua zaidi mwanamke?
Na pia orgasm ya kawaida na squirting ipi humfurahisha zaidi mwanamke?
Asante sana.
 
Loooh, hongera!.
SEHEMU YA 12-A
******************

...Nilivyoanza kumbusu shingoni akaanza kutoa miguno ya ajabu ajabu, akainua kichwa (shingo) akaangalia juu ya dari, akafumba macho.

Hapo bado tumesimama, nimempunguza ushungi wake wa bluu tu ila bado umeng'ang'ania kwenye nywele, nikakitoa kibanio cha nywele, nywele zikajiachia pwaaa!, sijawahi kuziona nywele ndefu namna ile mubashara, ni kwenye filamu za Kijindi tu, nywele nyeusi tiii (tulikuwa tunaziita 'nywele za singa singa'), ndefu hadi zinakaribia kiunoni, just three or four inches above her waist. Nikazishika kwa mkono wa kushoto na kuzipalaza kuanzia juu ya paji la uso, kupitia utosi, kisogoni hadi zilipoishia, hapo chini nikazishika na kuzivuta kidogo ili shingo iachie nafasi vizuri, alivyoelewa, nikaanza kupapasa shingo kwa kutumia lips na ulimi wangu, huku nikipuliza kidogo upepo wa baridi kisha upepo wa joto kwa kuhema tokea ndani ya kifua changu...

Hamida amekolea haswa, hasemi neno bali alikuwa 'anaugulia' kwa kusikilizia raha, macho amefumba, pumzi zipo juu kwa juu akihema...

Mkono wa kulia bado upo kiunoni mwake, natalii hips zote na mat*ako huku nikifanya kama napandisha gauni lake kuanzia hapo chini ya makalio..., niliporudisha kiunono nikagundua kitu kama shanga...

Mkono wa kushoto nikaupeleka nyuma ya shingo kisogoni kwa chini mwisho wa kuota nywele, nikapapasa hapo kama sitaki kupangusa hivi, mara nifanye kama funza wanatembea... Hamida alibadilisha tena miguno na kuanza kama kulia hivi, oooooOooh, aaaaAaah, mmmmMmmh, aiiiiissHhhh, nikagundua hapo ndipo nywila ilipo...

Bado tumesimama, ule mtandio sijui saa ngapi ulianguka chini, nikamshika kichwani kwa mikono yangu miwili, tukawa tunaangaliana, yeye bado amefumba macho, nikasema kwa kunong'ona...

"Let me take off your clothes..."

Akajibu kwa sauti hafifu sana...

"Please!"

Nikafungua mkanda wa gauni lake, nikafungua zipu iliyo mgingoni, gauni lake lilikuwa la mikono mirefu, nikainama na kushika gauni kutokea chini na kuanza kulipandisha juu...

Upepo wa feni (bangaboi) National, ulikuwa unaendelea kutupuliza taratiiibu... Nikalivuta gauni kuja juu hadi usawa wa kifua likawa gumu, nikamuona amepishanisha mikono yake na kuanza kulivuta, niliacha nafasi aweze kufanya hivyo...

Wakati gauni bado halijavuka mikononi lakini likiwa limemfunika uso, nilimshika chini kidogo ya makwapa, vidole gumba vya mikono yote vikawa ninagusa nyama za matiti juu ya sidiria, nikafungua sidiria nyuma ya mgongo naye akawa tayari ametoa gauni bado ameishika kwa mkono wa kulia...

Nikampokea gauni, Sidiria na gauni lake vyote nikarushia kwenye meza ndogo iliyopo chumbani...

Hapo mimi bado nimevaa tshirt nyeupe pamoja na bukta, Hamida bado akiwa amezubaa, nilitoa fulana yangu na bukta fasta, kisha nikamsogelea na kumkumbatia na kumwambia kwa sauti ya chini...

"Ahsante kwa kunikubali", hakujibu kitu...

Nikamshika makalio, alikuwa amevaa chupi maridadi kabisa nyeupe yenye ua fulani hivi kwa mbele, mimi nilikuwa nimevaa chupi rangi ya brown aina ya pringle, nilikuja na dozen 3 toka UK...

Wakati naminyaminya makalio yake, nikarudi kidevuni mwake, nikambusu kidogo, mdomo niliacha ili aendee kusikilizia utamu kwa kuachama (kufungua mdomo)...

Nikashuka kwenye titi lake la kusho, nikaanza kulamba chuchu na kuzungusha ncha ya ulimi kuzunguka chuchu ile iliyosimama vyema sasa huku ikiwa na vitu kama vipele hivi kwa msisimko...

Mkono wa kulia nilikuwa nachezea titi lake la kushoto, titi lote kuanzia miishio ya alama ya sidiria na pande zingine zote...

Nilidhani password yake ipo shingoni nyuma, kumbe nilikuwa sijavumbua pengine..., Hamida alizidi kubadilika na kuanza kuwa rangi ya 'pink' (unaweza kusema nyekundu pia)... Akaanza kuwa kama anajinyonganyonga hivi kwa raha, nikabadilisha chuchu ya kunyonya, sasa mkono wa kushoto ukaanza kupapasa ziwa lake la kulia kwa mtindo niliofanya kwenye titi la kushoto, chuchu yake ya ziwa la kushoto nikaanza kulihemea kwa joto kisha baridi kisha ulimi kulizunguka halafu nikaanza kunyonya taratibu kwa ufundi mkubwa...

Nikawaza labda hapa kwenye matiti ndipo nywila yake ilipo, maana si kwa kujinyonga kule huku akisikilizia utamu...

Mkono wa kushoto tayari ukapata hamu ya kuchezea kwenye pindo za chupi, chezea sana mule kwenye alama zinazoachwa na pindo hususani kama chupi inabana... Pitisha mkono (vidole) kote kuzunguka kiuno, chini inapoishia chupi, ndani ya mapaja pia bila kugusa kitumbua, sikutaka kufika hapo kwanza kwa kuwa nilishawahi kukutana na mabikira wawili kabla, hivyo najuwa vyema usumbufu wao, nilitaka huyu alainike nyang'anyang'a kwanza...

Wakati huo yeye amejishika nywele kwa mikono miwili na kuachia kwapa zake safi zikitoa harufu nzuri ya deoderant, hata sijui ni brand gani...

Nikasema tena kwa sauti ya chini sana. "Ahsante Hamida kwa kunizawadia bikra yako"

Hakujibu kitu bali anagunaguna tu huku amefumba macho...

Hapo mie dushe limesimama to the maximum, chupi niliyovaa ilikuwa ina kama mfuko wa kuwekea dushe kwa ndani, nikalielekezeaMO ili nisiendelee kuumia kwa misuli kukaza....

"Sasa ni muda muafaka wa kulala kitandani" I whispered to her...

Nikambeba kumuinua ili kumuweka kitandani...

Hamida ni mrefu, futi tano na inchi tano hivi, mie niko na futi tano na nchi 11 hivi, Hamida ni mwembamba, portable, kiuno kilichogawanyika vyema, hips za wastani na 'tako' la haja! Hamida ana matege ya mapaja kwa mbali, yale ya kutaka kugusana, kwa mabaharia wanjuwa wanawake wa hivi wapoje...

Nikamlaza kitandani, kitanda imara, matengegu ya Zanzibar, kitanda futi nne na nusu kwa sita, godoro zuri kutoka Arusha, foronya ya light green na nilitandika shuka nyeupe maridadi kabisa za pamba 100%. Kuna mito miwili yenye foronya nyeupe kama za shuka...

Dirisha upande wa mtaa nilifunga pazia lake, upande wa nyuma nilifungua louvers zake (luva za mbao) na pazia niliacha nusu wazi ili hewa safi (fresh) iwe inaingia, mwanga wa taa ya muanzi (tube light) ulikuwa unamulika kuondoa kabisa giza la chumbani kwa kuwa upande wa mwanga mkali wa jua nilifunga pazia...

Hamida akiwa amelala kwenye shuka laini na kitanda imara bado alikuwa hajui nini cha kufanya ama bado alikuwa amezubaa kwa utamu wa maandalizi ya awali...

Nilipanda kitandani na kulala pembeni yake yeye nikiwa nimemuweka upande wa ukutani, nikaanza kuchezea kinena juu ya chupi, kama nataka kwenda ikulu hivi lakini siendi..

Chupi inazidi kuloa, alama ya umajimaji sasa ilikiwa dhahiri, nilivyoona hivyo nikaanza kushuka nikiwa katikati (ule mstari wa waja wazito japo hakuwa nao) kwa vidole vinne kuanzia kwenye kitovu kushuka kwenye kinena, pindo ya chupi, juu ya chupi, kitumbua hadi usawa wa kis*imi...

Nilikuta kin*embe kimesimama barabara japo sikioni, nikawa nakipalaza kwenda kulianna kushoto kwa upole na mahaba makubwa, Hamida akaanza kutoa sauti za kulia, yaani anagugumia kwa utamu na kujinyonganyoga, mikono yake ameiachia mmoja mashariki na mwingine magharibi, anahangaika kwa raha ama kutaka raha zaidi...

Nikapiga magoti, kisha kwa mikono miwili nikashika chupi yake kwa nia ya kuivua, nikavuta kidogo, akainua kiuno kunipa urahisi, nikaitoa yote, nikairusha kwenye ile meza ndogo, nikaona amevaa cheni ya dhahabu (kumbe si shanga kama nilivyohisi awali), ulikuwa mkufu mmoja tu mwembamba.

Nami fasta nikatoa yangu, kisha nikamlalia Hamida (siyo kwa kuingiza dushe), akanikumbatia na kuchezesha miguu yake kama anajisugua hivi...

Nikainuka na kuweka magoti katikati ya mapaja yake...

"Sijawahi kufanya please!" Alisema kwa tabu Hamida wa watu...

Niliangalia mbunye imekaa vyema na kiu kubwa ya kupata chakula chake...nikaanza kuchezea sasa ngozi kwa ngozi kis*imi tu, taratiiiibu huku nikilambisha ute kutoka chini kidogo na kuuweka kwenye kis*imi..., chezea kwa sekunde kadhaa kisha nabana vidole kwake, nasikia kinavyopwita, bwiku, bwiku, bwiku!, nikaanza kuzungusha vidole vya mkono anticlockwise huku nikisugua kis*imi, akawa anaanza kujikuja na kendelea kubadilisha milio hata haielezeki...

Nikaona kama anataka kufika kilele, nikaacha na nikamshikisha dushe, kisha nikaanza kuichezea cheni kwa kuibiringa juu chini maana alikuwa ameilalia kiunoni mgongoni...

Hamida alishika dushe tu hata hajui nini cha kufanya, nikawa namsaidia kuipeleka kwenye papuchi, akaachia, nami nikashika hatamu...

Nikaanza 'kupiga rangi ukuta wa nyumba', nikawa nabrush taratiiibu kwenye kisi*mi tu na sehemu ndogo ya chini...

Niliendelea hivyo hadi nikaona amefungua mdomo kidogo na kutoa macho, Hamida alikuwa ana macho mazuri jamani, macho angavu, yale ya kizungu si kizungu, kiarabu si kiarabu...

Kumbe Hamida anaona vitu tofauti mwilini mwake, anasisimkwa ajabu, mara akawa anainua kiuno ili sijui nisugue kin*embe?! Nikamkwepa kwa kurudi juu kidogo, akahema, akaanza kukatika sasa wakati nimegusisha kichwa cha dushe kwenye mlango wa K huku nikisugua kwa juu kidogo huku nashuka kwenye mlango wa K...

Sikuwa na papara kwa kuwa jana yake nikishakamua kwa Marry viwili vya nguvu, pia nilichukulia Hamida ni bikra hivyo nilikuwa nataka alainike hadi ajisahau...

Brush sana hadi akawa ameloa ile chapachapa, nikasema moyoni sasa inatosha, ngoja nifungue njia...

Nikaendelea kubrush hadi alipoanza kufanya kama mwanzo kuinua kiuno na kunishika mgongoni, hapo mie tayari nimeshalenga njia.. Alivyoanza kufika kilele nikasubiri aanze kulegeza mikono yake kisha pyuuuuu! (myiuuuuu), Nikatoboa na kuacha kucheza na kumkumbatia...

"Yallah!

Ukelele mmoja wa maumivu aliutoa kwa sauti kubwa, kisha akatulia...

Kwakuwa alikuwa amechoka akalegea na kufumba macho...

Mie dushe bado limo ndani, wastani wa nchi tatu hivi..

Wakati huo nami nilikuwa nimeshajikoleza sana, maana wazungu nilikuwa nawakataza wasije mara kwa mara tena kwa muda mrefu...

Nikapiga ‘tako mbili na nusu’ wazungu hao...

Nikatulia ili wareno wamalizikie kumuingia, kabla dushe halijapungua nikaanza kulitoa (flapu, mbo*o ikatoka), sikutoa taratibu.

Nikaona damu kwenye sehemu ya kichwa cha dushe na sehemu ya juu kidogo na kwake pia.
******

Kumbe kweli Hamida alikuwa bikra, na ameamua kunizawadia mimi, nilijisemea. Hatukuwa na mawazo ya bikra feki wakati huo. Labda wakati wa harusi kwa mpango wa wote yaani Bwana Harusi, Bibi Harusi na Somo (Kungwi) ili kulinda heshima ya binti baada ya kueleza ukweli wazazi ama somo yake, damu za kuku zilitumika sana na mfanowe.

Anyway, Hamida alikuwa bikra na ndiyo tayati nimeshaitoa, sikufaidi sana bali niliamua kufungua njia kwanza, pili kumfikisha 'kilele awali' kabla ya dushe kupenyezwa ili wakati dushe linapenetrate asipate maumivu kabisa ama apate kidogo sana tena bila kumchubua bali kwa kuitoa tu hymen.
***

Bado Hamida yupo kitandani 'haelewi kilichotokea' ama akitafakari kilichotokea, nikamwambia, usiinuke, nisubiri vivyo hivyo...

Nikatoka kitandani, nikachukuwa kitambaa laini cha mkononi, nikajifuta dushe, kisha nikatoka kwenda jikoni baada ya kujifunga taulo...

Nikapasha moto maji kwa kutumia heater, kwakuwa yalikuwa machache haikuchukuwa muda yakapata uvuguvugu, just litle above 37 degrees centigrade, nilijuwa kwa kuyapima kwa ngozi ya nyuma ya kiganja...

Kwa kutumia kitambaa kingine laini cheupe 100% cotton (handkerchief), nilimfuta baada ya kukilowesha, kisha kufanya kama namkanda hivi, nilimkanda vizuri taratibu na kwa mahaba makubwa...

Nilimkanda huku yeye akitabasamu kwa kufurahia huduma ile, baada ya sekunde chache nikamkabidhi kitambaa pamoja na maji kwenye bakuli fulani la plastic, nikamwambia...

"Jifute vizuri"

Akapokea na kuanza kujifuta. Baada ya hapo nikamsindikiza bafuni akiwa uchi (completely naked)....

Hakyanani, Mungu ni mjuzi wa kuumba, ndio nikamuona mubashara Hamida jinsi alivyo...

Kuna watu humu duniani wamependelewa jamani, nilijisemea baada ya kumuacha akioga. Kulikuwa na 'bomba la mvua' (shower), maji yakitoka moja kwa moja kutoka idara ya maji Ubungo.

Kila sifa njema ya mwanamke nimpendaye niliiona kwa Hamida, nikajisemea, mechi ya marudiano lazima nimpige goli mbili ama tatu (sikutaka kurudia kwa siku hiyo)

Mida imeenda tayari, saa nane na dakika zake, sikujali ratiba yake, nilitaka nitimize azma yangu kwanza ya kumteka kimapenzi, na leo ni hatua nyingine tena...

"Wakinikatalia kumuoa nitaendelea kula utamu tu" niliwaza

"Wakinikubalia, nitafanya harusi haraka sana" niliwaza

Niliwaza jinsi baba na mama yangu watakavyo furahi kupata mwenza mrembo...

Niliwaza jinsi wazazi wangu na ndugu zangu watakavyoona kaka yao nimeoa "Mwarabu" na kuleta mchanganyiko wa nasaba ya Kitaturu na Kiarabu...

Niliwaza bora Rose alivyopotea kusikojulikana, kumbe nisingempata Hamida, niliwaza jinsi Marry atakavyokosa kusaidiwa kwa kuwa sasa nitakuwa nimebadilika kabisa kimsimamo, pia niliwaza mabinti niliotembea nao kimasihara na kudhamiria jinsi watakavyo nikosa...

Niliwaza vitu vingi kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na kuacha kunywa pombe, kutekeleza ibada za dini ya kiislamu na maisha mazima kwa ujumla...

Nikaanza kuwaza hadi watoto wetu watakavyokuwa...

Mara nikasikia...

"Jamaal" aliniita,

Nikaenda bafuni, akachungulia mlangoni akaniambia anaomba taulo.

Nikaenda ndani fasta nikachukuwa taulo jeupe nililonunua makutano ya mtaa za Zanaki na Libya kwenye duka fulani la muhindi...

Nikampelekea, akatoa mkono tu ili kupokea, nami nikampatia, sijui alikuwa ananificha nini, niliwaza na kupotezea kisha kurudi chumbani...
***

Chumbani nikaweka nguo zake vizuri kwa kuzining'iniza kwenye hanger, gauni, mtandio, sidiria, chupi niliiacha juu ya meza. Nikainusa kabla sijaiweka tena, harufu tatu ama nne tofauti nilizisikia kutoka kwenye ile chupi...

Harufu ya papuchi kwa mbali, harufu ya manukato (bila shaka body lotion) harufu ya udi na harufu nyingine sikuifahamu mara moja ila ilikuwa inavutia..
***

Mlango wa chumbani ukafunguliwa na akaingia Hamida akiwa amejifunga kuzuia nywele zisiloe, aliingia akiwa anaona aibu, aliinamisha kichwa chake huku mkono mmoja amejishika matiti yote mawili kama kuyazuia hivi yasionekane...

Matiti yake ni ya binti ambaye hajanyonyesha wala kutumika, unaweza kusema ni saa sita na dakika moja, kisha akaenda kwenye kabati la nguo ambalo lilikuwa lina kioo kikubwa kwenye mlango mmoja, akajifuta vizuri kichwani (pembeni pembeni) kisha akajifunga taulo hilo kifuani kuzuia matiti, lilifika chini kidogo ya kinena na kumfanya aonekane mrembo zaidi and very very sexy!

"You are so beautiful Hamida" nilisema,

Aliniangalia kupitia kioo na kutabasamu, hakusema kitu...

Akachukuwa chupi yake akaenda nayo bafuni (kimya kimya)

Mie nikawa naweka mazingita vizuri mle chumbani, nikatoa zile foronya za mito pamoja na shuka zito lililokuwa na matone ya damu machache, nikayaweka juu ya meza ya mle chumbani, nikatoa shuka jingine light blue na foronya za mito nikatandika vizuri baada ya kukung'uta vyema kitanda.

Hamida alirudi kutoka bafuni, na kusema...

"Naomba pasi"

Mara nyingi pasi huiweka kwenye kona fulani sebuleni pembeni ya meza ya kukunja ya kunyooshea nguo...

"Pasi ya nini?" Niliuliza

"Nataka nikaushie chupi yangu" alijibu.

"Hapana Hamida, huna haja ya kuilazimisha ikauke, utaenda kuianika bafuni (zamani hatukuwa tunaanika chupi nje), ila angalia hizi chagua itakayo kukaa vizuri..."

Nilimuambia huku nikimuonesha dazan ya chupi aina ya Pringle zenye rangi tofauti na mikato tofauti kwenye mfuko wake mpya ambao sijaufungua kwa miezi kadhaa tangia nilivyorudi kutoka masomoni.

"Hee, hizo za kike ama za kiume?"

Aliuliza kwa mshangao huku akizipokea, kisha akafungua button ili kuruhusu zitoke, akazichambua...

"Kumbe za kiume!" Alisema huku akiendelea kuchambua...

"Hii itanifaa" alionesha chupi fulani hivi ina mkato wa V rangi ya bluu iliyofifia.

"Hebu ijaribu nione" nilisema huku nikitamani kumuona tena maumbile yake yalivyogawika...

Aliinama na kuvaa huku akiwa bado ana taulo, kisha pwaaaa, akaibwaga taulo china na kusema...

"Ona ilivyonikaa!"

Hakika chupi ile ilimkaa vyema japo ya kiume, akajifunga tena taulo kisha akaelekea bafuni kuanika ile aliyoifua. Alivyorudi mimi bado nilikuwa nimejifunga taulo, nikamwambia ngoja nami nikaoge...

Nikamwacha chumbani nikaelekea bafuni.

Baada ya dakika chache nikarudi na kumkuta tayari ameshavaa nguo zake na kuwa na haiba ile ya Hamida niliye mzoea.

"Leo nitakuwa na kazi ya kuosha nywele na kuoga janaba kwa aunt" aliniambia huku akiwa bado amekaa kwenye kochi la chumbani...

"Janaba ndio nini?" Niliuliza kwa shauku.

Akajibu kwa kirefu kuwa...

"Janaba ni hali inayompata Mwanamme au Mwanamke, kwa moja ya njia zifuatazo:-

1. Kufanya tendo la Jimai (tendo la ndoa ),

2. Kutokwa au kujitoa manii (shahawa) kwa njia yoyote ile,

Pia kuna mambo yaliyokatazwa kufanywa na mtu mwenye janaba, mambo hayo ni:-

1. Kushika Msahafu,

2. Kusoma Qur-an,

3. Kuingia Msikitini,

4. Kusali.

Hata hivyo kuna mambo mengine yanaruhusiwa kwa mwenye Janaba kuyafanya, kama vile kusoma hadithi (mafundisho ya Mtume), kula, kunywa, n.k."

Alisita baada ya kumkatiza...

"Sasa wewe si umeshaoga, janaba halijatoka tu?" Nilidadisi

"Kuna aina mbili za kuoga janaba, moja, ni kuoga Janaba ki-kawaida tu, na pili ni kuoga Janaba Ki-sunna. (kwa kufuata Mtume alivyooga)

Kikawaida ni kwa kueneza maji mwili mzima, wakati anafanya hivyo inakupasa uweke nia moyoni kuwa josho hilo ni la kuondosha Janaba. Lakini iwapo mtu atapata Janaba kwa bahati akaangukia mtoni au baharini, au akapigwa (kunyeshewa) na mvua, mpaka akaloana mwili mzima, kwa vile hakutia nia ya kuondosha janaba, basi janaba itakuwa bado ipo.

Aidha kuoga janaba kisunna lazima uanze kwa kuondosha najisi katika utupu (mbele na nyuma) na sehemu nyengine, kisha ufuatie kuchukuwa udhu kama udhu wa Sala, halafu ujitie maji kichwani, kwa kuanzia kulia na kumalizia kushoto, kisha ujitie maji kifuani na tumboni, kwa kuanzia kulia na kumalizia Kushoto ukifuatia kutia maji mgongoni, kwa kuanzia kulia na kumalizia kushoto halafu ujitie maji miguuni, kwa kuanzia kulia na kumalizia kushoto."

Akameza mate kidogo kisha akasema...

"Hivyo mimi katika kuoga huko lazima nioshe nywele, na nywele zangu kama ulivyoziona, kukauka hadi nifukize kwa udi kwa muda mrefu au nitumie draya (dryier) ya mkono, sasa sina uhakika ya shangazi kama ilipona maana iliharibika"

Akasita kidogo kisha akaleta wasiwasi kwamba, aunt yake akiona anaomba draya anaweza kuhisi tofauti..."

Nikawa nimeelewa vizuri sana, lakini nikamuuliza...

"Kwani mtu akiwa kwenye hedhi ana swali?"

Akanijibu kwa kifupi kuwa haswali, na akimaliza lazima aoge josho la hedhi.

Nikamwambia basi hakuna tatizo. Utasema tu ulimaliza siku zako jana, hivyo unaoga josho la hedhi.

Akaitikia kwa kubetua kichwa juu, kisha akaniambia anataka kulifua lile shuka...

Nikamjibu hapana, akasisitiza hatojisikia vizuri asipofanya hivyo, nikamwambia basi nenda kaondoe madoa mekundu tu, usililoweke lote, muda umeenda sana. Akaondoka nalo, akaondoa sehemu zenye madoa mekundu kwa kufikicha sehemu hizo tu kwa maji ya sabuni, kisha akajanalo chumbani.

"Tayari sasa angalau" alisema.


Akakaa kwenye kochi kwa kuangalia kioo cha kabati la nguo kisha akaomba mkoba wake uliokuwepo sebuleni kwenye kikapu alichokuja nacho..

Nikamletea, akafungua na kutoa perfume iitwayo al-shaikha na kujipulizia kidogo kwapani, akachukua lotion ya cocoa butter akajipaka, kisha akatoa makeup set ndogo sana akaana kujiweka vizuri nyusi na uso.

Muda ulikuwa umeshaenda kuelekea saa tisa hivi. Ratiba ya kupika ikaahirishwa. Alipokuwa tayari nami nilivyokuwa tayari tukapanda pijo na kuanza kuelekea kwa aunt yake...

Njaa zinatuuma, hivyo tulipitia Morogoro Supermarket kwa ajili ya lunch.

Njiani tukawa tunazungumza mawili matatu hasa mimi nikiwa mzungumzaji mkuu, huku na furaha ya kukubaliwa (kwa awali) na Hamida...

"Itabidi ufanye namna uje unifundishe kuoga janaba" nilisema huku mkono mmoja (wa kushoto) nikilishika paja lake la kulia...

"Ngoja niome mazingira ya kwa shangazi kwanza halafu nitakujukisha"

Alisema.

"Utanijulishaje?" Nilimuuliza huku nikfikiria isije akasema hadi Jumatatu nitakapoende kusoma...

"Nimeona kuna simu ya mezani, niandikie namba yake, akatoa note book ndogo kutoka kwenye mkoba wake na kunipatia, ilikuwa na peni ndogo pembeni.

" Andika tu mie nina endesha na sitaki kusimama hadi tufike supermarket"

Nilisema, kisha nikamtajia.

Alivyomaliza kuandika akaniambia...

"Lakini umeniumiza..." Kwa sauti ila ya kumtoa nyoka pangoni huku akiniangalia kwa kugeuza shingo kidogo na kukata jicho..."

"Pole mpenzi, nimejitahidi sana ili usiumie, ni kawaida kwa wengi wanaoanza kufanya kutoka damu kiasi..."

"Hapana, siyo hivyo,wakati nanawa nilisikia maumivu..." Aliniambia.

"Oh, sikujuwa, pole sana, hata hivyo nimejitahidi sana, yani sana usiumie, sasa ndio ufanye hima ukija kunifundisha kuoga janaba tupakomaze ili usisikie tena maumivu" nilisema.

Akaguna tu mmh!
***

Tukaingia barabara ya Haile Selasie mojabkwa moja hadi supermarket na kuanza kujihudumia chakula cha mchana.

Saa tisa na dakika chache hiyo, baada ya kula nilimpeleka hadi jirani na msikiti wa Ghuba, akashuka na mie nikaanza kurudi nyumbani.

Nikawaza sijui atanipigia simu kutokea kwa aunt yake, Sijui atanipigia leo? Yani full hamu ya kutaka mechi ya pili ili nitengeneze njia vizuri, moyoni najuwa bado ataumia kiasi kutokana na ugeni wake katika game na maumbile yangu...

"Huenda hajawahi kuona dushe lingine lolote la mtu mzima, hivyo hana rejea ya kulinganisha..." Nikawaza.

Nikawa narudi nyumbani nikifurahia kumpata Hamida kwa kushiriki naye ngono, nikawa nafurahi pia kwakuwa mimi ndiye nimemuanzisha njia, nikafurahi pia kwa azma yangu ya kumuoa Hamida kupiga hatua nyingine mbele.

Nilifika nyumbani nikiwa mwenye furaha na hamu kubwa ya kusikia mlio wa simu muda wowote, nikajilaza kitandani.
***

=

SEHEMU YA 12-B
******************

Nilipitiwa na usingizi mzito hadi niliposhtushwa na mlio wa simu....

Ngrriiiiin ngrrriiiiin, ngrrriiiin ngrrrrriiiiin!

Nikainuka fasta kwenda kuisikiliza...

"Halo" nilipokea

Upande wa pili napo nikasikia "Hollow"

Sauti siyo ya Hamida.
**********************


Itaendelea...View attachment 1350067View attachment 1350068View attachment 1350069View attachment 1350070View attachment 1350071

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Jason naomba nirudie tena kuuliza swali langu maana mwanzoni hukulijibu. Katika hizo spots 3 A,G na C/U ni ipi humsisimua zaidi mwanamke?
Na pia orgasm ya kawaida na squirting ipi humfurahisha zaidi mwanamke?
Asante sana.
Nilijibu kuwa inahitaji uzi wake.

Kila spot ina ladha yake
Na kila mwanamke atatoa kipaumbele kwa kadri ajijuavyo ama wapi aliguswaje

Kigoroli ndiye sehemu yenye neva nyingi za hisia (the most sensitive part)

A spot, U- spot na G-spot zina support mke kufika kilele

Vilele navyo vipo vingi

Mke anaweza kurusha maji (squirting) lakini asifike kilele, au akafika kilele bila kurusha maji ama akafika vyote kwa pamoja

Ni darasa refu

Muhimu ni kujuwa hizo points zilipo kisha kujaribu kwa mwenza wako na kumuuliza yeye wapi anasikia msisimko zaidi

Wanawake wanatofautiana sana



James Jason
 
Kuna yule aliyependekeza kupata tafsiri ya " The perfumed garden" akiingiza ile PDF katika Google translator. Kitabu kizima kitafasiriwa Kama kilivyo. Maaana nakubaliana nae lugha ya mule, Kama so mjuzi wa lugha ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitumia google translator HUTOPATA LADHA HALISI

Google wanaboronga sana kuleta kwenye lugha ya Kiswahili kutoka lugha nyingine

Bora usome ukiwa na kamusi.

James Jason
 
Nilijibu kuwa inahitaji uzi wake.

Kila spot ina ladha yake
Na kila mwanamke atatoa kipaumbele kwa kadri ajijuavyo ama wapi aliguswaje

Kigoroli ndiye sehemu yenye neva nyingi za hisia (the most sensitive part)

A spot, U- spot na G-spot zina support mke kufika kilele

Vilele navyo vipo vingi

Mke anaweza kurusha maji (squirting) lakini asifike kilele, au akafika kilele bila kurusha maji ama akafika vyote kwa pamoja

Ni darasa refu

Muhimu ni kujuwa hizo points zilipo kisha kujaribu kwa mwenza wako na kumuuliza yeye wapi anasikia msisimko zaidi

Wanawake wanatofautiana sana




James Jason
Wewe ni legend mkuu!
Pamoja na kujisomea lakini mila zetu zilikuwa zinatupa kitu positive vijana.
Leo hii kijana mambo haya unajifunzia jamii forum na sio baba wala mjomba anayejisumbua na wewe
Kweli tumepoteza mengi sana.
 
Nimetoka kucheki game mida hii liver tumefungwa 😔😔😔. nilijua ntapata cha kufutia machozi humu nako holaaa😢😢😢, Ngoja nilale hivyo hivyo ila kesho babu usitusahau😊😊

Usiku mwema wakuu
YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom