Uhusiano wangu kimapenzi na 'Hamida' wangu

Uhusiano wangu kimapenzi na 'Hamida' wangu

Mkuu JBourne59 hii stori yako ni nzuri, ni burudishi na yenye mafunzo tele. Kwa sababu ilianzia kwenye jukwaa la Mapenzi, Mahusiano na Urafiki, na pia inahusiana na mambo hayo, nilikua nashauri uiweke kwenye jukwaa lile (MMU) ili wadau wengi zaidi wa MMU wafaidi.

Pia itakua ni namna bora zaidi ya kumuenzi rikiboy kwa uzi wake kuzaa simulizi hii mujarab na pia kumuenzi baharia mwanafunzi (yule wa bao 23, ambazo kumbe zote ni offside).

Vinginevyo nimetega macho na masikio kwa ajili ya kujifunza na kuburudika na simulizi hii mwanana...
Nawasilisha.
Simulizi inaendelea jukwaa ulilopendekeza, MAHUSIANO, MAPENZI, URAFIKI (MMU)

Karibuni huko.

James Jason
 
Samahani lakini,hivi kwanini hii stori imetolewa kwenye ile thread pendwa na kuanzishwa kama thread inayojitegemea?
Huku chichat binafsi sijawahi kufika ila hii stori imenileta tu.
Kwenye thread ile, msingi wake ulikuwa ni ...KULA .... KIMASIHARA....

Lakini simulizi inayoendelea haikuwa KIMASIHARA bali kwa kudhamiria haswa!

Karibu MMU, simulizi inaendelea huko.

James Jason
 
Kwenye thread ile, msingi wake ulikuwa ni ...KULA .... KIMASIHARA....

Lakini simulizi inayoendelea haikuwa KIMASIHARA bali kwa kudhamiria haswa!

Karibu MMU, simulizi inaendelea huko.

James Jason
Ubarikiwe na nimekuelewa kiongozi
 
Kwenye thread ile, msingi wake ulikuwa ni ...KULA .... KIMASIHARA....

Lakini simulizi inayoendelea haikuwa KIMASIHARA bali kwa kudhamiria haswa!

Karibu MMU, simulizi inaendelea huko.

James Jason
Mkuu JBourne59 nimeitafuta kwa kila namna sijaipata,naomba unitag niweze kuisoma tafadhali
 
Mkuu JBourne59 nimeitafuta kwa kila namna sijaipata,naomba unitag niweze kuisoma tafadhali

James Jason
 
Hebu nipe muangaza mkuu,Matt damon si ndo jason bourne??
Kuna watu wanajua kuvaa uhusika sana kama Matt Damon, kafanya watu tuamini kua yeye ndio Jason Bourne.
Jeremy Renner alijitahidi kuvaa uhusika wa wa Jason ila watu hatukumuelewa. Ikibidi waandaaji wamrudishie Matt Damon.

NB. Maelezo haya hayana mahusiano na Uzi wa muhisika ila yametokana na ID na Avatar ya mtoa uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu nipe muangaza mkuu,Matt damon si ndo jason bourne??

Sent using Jamii Forums mobile app
Matt Damon ndio alicheza kama Jason Bourne kwenye muvi za Bourne Identity,Supremacy nk..
J.Bourne ni fictional character ila Matt Damon ndio mwigizaji. Usichanganye M.Damon na Mark Wahlberg aliyecheza Transformer,Lone Survivor nk, hawa watu wanafanana kwa 90% na hawana undugu. Hawa watu hata wazungu wanashundwa kuwatofautisha...nao washakubali kua endapo shabiki akimuona Matt Damon akasema ni Mark..basi Matt inabidi akubali kua yeye ni Mark. Same applies to Matt Damon
 
Nimekuelewa sana,hebu ngoja nikajionee google aisee
Matt Damon ndio alicheza kama Jason Bourne kwenye muvi za Bourne Identity,Supremacy nk..
J.Bourne ni fictional character ila Matt Damon ndio mwigizaji. Usichanganye M.Damon na Mark Wahlberg aliyecheza Transformer,Lone Survivor nk, hawa watu wanafanana kwa 90% na hawana undugu. Hawa watu hata wazungu wanashundwa kuwatofautisha...nao washakubali kua endapo shabiki akimuona Matt Damon akasema ni Mark..basi Matt inabidi akubali kua yeye ni Mark. Same applies to Matt Damon

Sent using Jamii Forums mobile app
 

James Jason
 
Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu!
Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni EquatorStory
Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa?
Hili ndo suluhisho lako.
Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia hii website
unda account yako na uweze kupost story yako mpya.
 
Inaitwa multiplier effect, bila ule uzi kweli huyu jamaa tusinge jua umahiri wake kwenye uandishi picha,

Jamaa ni mwandishi mzuri, halafu mjini hapo yupo kitambo

"James Jason," naomba tu hii isiwe na mwisho wa kusikitisha kama Ile ya Lindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
then jamaa hii mimi naona kama live sababu sehemu anazotaja ni kweli zipo hata watu aliowataja pia ninawafahamu huko Kwao Singida
 
Nami nilishakuwa kimapenzi na jina la mtu anaitwa hamida hivyo hivyo ilikuwa mwaka 2016 ila ni mkoa tofauti sema majina tu yamefanana, dah! Namkumbuka sana nikiona hilo jina,
 
Back
Top Bottom