uniquelady
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 420
- 177
Kwani kutoka nae hiyo weekend lazima sex???au kuondoa stress had ufanye sex......duh na akisafir mwez je itakuwaje
No brainer..........
it is absurd when much brainer comment on no brainer! peole might not notice the different.
Embu waandalie thread hawahamuwezi kutulia hata mwaka??? kuweni wavumilivu bhàna
hujawahi sikia kitu inaitwa massage? kweli bongo wadada hawajui wajibu.Kwani kutoka nae hiyo weekend lazima sex???au kuondoa stress had ufanye sex......duh na akisafir mwez je itakuwaje
Sometimes mtu una hamu na vinne heavy ila unapewa kinusu aaagrrrr wakiwepp wasaidizi wanamalizia hivo vitatu na nusu roho kwatuuunikikukamata...........utajuutra
watano,hayo majanga.kuwadhibiti huwezi.wawili rahisi kidogo ndio maana kuna wachezaji wa akiba ktk teamKwa kweli kuwa na kimwanaune kimoja ni shida vile vile.kama watano hivi kila mmoja na majukumu yake..wewe unataka wanawake wawili..kila mmoja anawatano..kwenye circle mpo kumi na mbili...mmoja akiukwaa wote chaliiiiii....jamaniii epuka kuja kuvaa nepi ukubwani
ni kweli mwanangu! siku haya makitu yakigoma moja yote utakosa!.sijajua kuna kuwa na uhusiano gani! tena sababu inaweza kuwa moja,uwanja mchafu!Alichosema mkubwa sawa,kuwa na reserves,maaaana.kitu kimoja wajomba c mchezo,kinachanganya kichwa,lakin mm nakumbuka ninao.watano lakini ikafika siku wote wakanipiga tikitaka
was forced to speak his language for him to comprehend my point.other wise my class is different from his.
Mkuu ni mwendo wa kusuuza rungu tuuKwa miaka hii ukiwa na uhusiano wa mwanamke zaid ya mmoja kwa sababu tu ya kuwa na substute kuna hasara kubwa kuliko faida achilia mbali risk ya mmoja wa hao wapenzi kutokuwa muaminifu na kukuangamiza ila hata wewe hutoweza kuwa na mapenzi ya dhati kwa wote..
afadhali ungeuliza nilimaanisha nini? anyway sio kiingereza unachotumia kila siku,kwa lugha rahisi maanake ulichoandika kiko wazi hakihitaji akili nyingi kuona[kwa maneno mengine nakubaliana na ulichoandika.it is absurd when much brainer comment on no brainer! peole might not notice the different.
mkuu ungenisaidia kumuelewesha.Haha. English is just beautiful. Dangerously beautiful.