Uhusiano wa Franco na Mobutu

umetishaaaa hii ndio ladha ya jf
pia fuatilia tafsiri wimbo wa franco uitwao tres impoli utacheka hadi uvunjike mbavu
 
Vipi Josky Kiambukuta, yeye hakuwa generation ya Franco. Kuna wimbo niliona kaimba na madilu alikuwepo ndani unaitwa kitu kama 'Chandra'
 
hahaha kwahiyo hakuwa na namna nyingne zaidi ya kumfumua mpongo
 
true
 
true
 
Mkuu kama mtoto wake anaongea kiswahil au kiingereza ebu mshawishi ajiunge JF hata atupe kidogo tafsir ya baadhi ya ngoma
kiingereza anajua kidgo sana,yy anajua kifaransa na lingala
kuhusu tafsiri ya nyimbo mbna n rahisi tu? ingia internert search tafsiri ya nyimbo yyote ya Franco inakuletea
 
narudia tena soma history mpongo aliimba OK jazz mwaka 1977 ubishi wa nn? som history ya okk jaz kwanza alaf rudi


Hivi luambo makiadi kwanini unakuwa mpumbavu na mbishi? Nimeishi Zaire kwa miaka 7 na nilibahatika kukutana na M'pongo pamoja na wanamuziki lukuki kipindi kile.....naijuwa fika historia ya M'pongo. Aimee Francoise (M'pongo Love) hajawahi kutia hata sauti huko OK Jazz unakohisi wewe, na Franco kabla ya ujio wa kina Jolie Detta, Baniel na Nana (1986 - 1988) hajawahi kuwa na mwanamuziki muimbaji wa Kike, hata kama uamini uliza Mze Assossa au hata vijana hawa wa leo kina Bella. Usiwe mpuuzi kubisha vitu vya kudhania, unajiaminisha ujinga bure. Soma historia ya huyo M'pongo, watu wengine bwana kwa ujinga?
 


Kumbe huelewi unasoma nini, ndiyo maana nimewaambia M'pongo hajawahi kuimbia OK Jazz, never! Empopo Loway (marehemu) ambaye ndiye alikuwa anapiga saxo OK Jazz ndiye aliyempika M'pongo na kumshawishi kuwa mwanamuziki. Mwanzoni wa M'pongo, Loway na Mayaula Mayoni ambao walikuwa wanamuziki wa OK Jazz walikuwa wanamtungia M'pongo nyimbo ila si kwa OK Jazz bali kwa bendi yake M'pongo iitwayo Tcheke Tcheke Love. Mimi mwenyewe nimeishi Zaire miaka ya 80 mwanzoni na nafahamu story ya M'pongo ya kimuziki ndiyo maana nawabishia kuwafundisha msichojuwa.
 
MBNA ktk historia ya kimzki ya Franco ukiisoma wekipedia inaonyesha mwaka 1977 alimsajil mpongo love? hebu tufafanulie
 
ufafanuz murua
 
Reactions: OTG
Uzi huu una mengi kuhusu Franco bahati mbaya kuna mengi kiasi fulani hayako sawa. Nitaupitia wote na nitaweka yale ninayo yafahamu. By the way leo 19.03.2018 Le Vieux and Grand Poete Papa Simon Lutumba alias Simaro Massiya Lutumba aamefikisha miaka 80 na anastaafu rasmi kupiga muziki. Huwezi uakaongelea mziki wa Franco bila kuangalia mchango wa Simaro.
 
Kwenye dongo hili-Franco alimuuliza Kengo "Aliyekupa sindano amekunyang'anya, utashona na nini". Sote twajua bila sindano cherehani si kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…