Uhusiano kati ya uwezo wa physical fitness/exercise na sexual performance kwa mwanamme

lbaraka

JF-Expert Member
Feb 24, 2014
393
248
Habari wadau,
Hivi mwanamme kuwa na kuwa na uwezo wa physical fitness, pia uwezo wake katika mapenzi ni mkubwa?
Maana ninavyojua mimi, ukiwa vizuri kimazoezi, yaani physical fitness, almost kila kitu huwa simple kwako kufanya ilimradi knowledge tu.
Swali langu hasa linalenga uhusiano kati ya physical fitness na sexual drive/perrformance.. Thanks
 
Physical fitness inamchango mkubwa katika kufanya mapenzi maana utakua na pumzi ya kutosha lakini pia utaweza kunyumbulika vizuri na kutumia dakika 35-55 ukiwa juu ya kifua cha mwanamke,nasema haya maana nina uzoefu wa kutumia dakika hizo kwa hiyo mazoez ni muhimu sana.
 
Ukiwa phisically fit inasaidia mno kwenye mambo mengi sana yanayohitaji kutumia nguvu ama pumzi...Mimi ni mpenzi sana wa Gym na mfano bench na press mpaka kg 110...Nikifululiza gym kwa week 1 nzima nikija kamata mama nakuwa na pulling mbaya kabisa...Na mbya siku nikipiga squat hata kilele hutofiki kabisa wazungu wote wanakuwa wameshushwa kwenye visigino utapiga kumridhisha mwenza tu hadi akisema Po na wewe unachomoka huku kitu ikiwa imesimama kama msumari..
 
Ukiwa phisically fit inasaidia mno kwenye mambo mengi sana yanayohitaji kutumia nguvu ama pumzi...Mimi ni mpenzi sana wa Gym na mfano bench na press mpaka kg 110...Nikifululiza gym kwa week 1 nzima nikija kamata mama nakuwa na pulling mbaya kabisa...Na mbya siku nikipiga squat hata kilele hutofiki kabisa wazungu wote wanakuwa wameshushwa kwenye visigino utapiga kumridhisha mwenza tu hadi akisema Po na wewe unachomoka huku kitu ikiwa imesimama kama msumari..
Acha fix na kujisifia,
 
Ukiwa phisically fit inasaidia mno kwenye mambo mengi sana yanayohitaji kutumia nguvu ama pumzi...Mimi ni mpenzi sana wa Gym na mfano bench na press mpaka kg 110...Nikifululiza gym kwa week 1 nzima nikija kamata mama nakuwa na pulling mbaya kabisa...Na mbya siku nikipiga squat hata kilele hutofiki kabisa wazungu wote wanakuwa wameshushwa kwenye visigino utapiga kumridhisha mwenza tu hadi akisema Po na wewe unachomoka huku kitu ikiwa imesimama kama msumari..
Uko vzuri mkuu. Ila ucje ukaacha tiz ghafla, coz itakucost sn
 
kama huamini ktk mazoezi fuga kitambi kihasara hasara
pakata laptop pale kazini masaa mengi
kula hovyo hovyo pasi na mpangilio
kisha uende sita kwa sita uone performance....
neno kitambi tumia kwa kiingerezaa banaaa mnanichefuaaa
 
kama huamini ktk mazoezi fuga kitambi kihasara hasara
pakata laptop pale kazini masaa mengi
kula hovyo hovyo pasi na mpangilio
kisha uende sita kwa sita uone performance....
Hahahaaa
 
Ukiwa phisically fit inasaidia mno kwenye mambo mengi sana yanayohitaji kutumia nguvu ama pumzi...Mimi ni mpenzi sana wa Gym na mfano bench na press mpaka kg 110...Nikifululiza gym kwa week 1 nzima nikija kamata mama nakuwa na pulling mbaya kabisa...Na mbya siku nikipiga squat hata kilele hutofiki kabisa wazungu wote wanakuwa wameshushwa kwenye visigino utapiga kumridhisha mwenza tu hadi akisema Po na wewe unachomoka huku kitu ikiwa imesimama kama msumari..
True....hapo kwenye squart umenena
 
Yaaaaaaa uhusiano upo mazoez yanafanya blood circulation inakuwa nzur hakuna cholesterol kwenye vein znazokwamisha blood kucirculate hivyo hata penis erection ni blood circulation kwenye tissue za uume inaweza kuwa maintained mda hapo bila uume kusinyaa kwakuwa circulation yako ni nzur na enaendana na pumping ya heart na ur heart beat itakuwa powaaa kwakuwa no fatty disposition in ur heart
Ila ukiwa ufany mazoez km mim hapa nw I see the different zaman nilkuwa mwepes sana kwakuwa nilkuwa nafanya mazoez chuo baada ya kuja mtaan na life la kaz majukum ya kusaka pesa nimejiachia kidogo na kakitamb kameanza naona utofaut mkubwa sana kwenye ensue ya Sex nachoka mapema na bao hazzd3 I promis kurud tena mazoezn nihatar hii nikija kuoa nisichapiwe
Kwahyo ukiwa hufany zoez disposition za cholesterol,kwenye blood vein ni kubwa sana na inategemea pia na intake yako ya food km unafakamia sana fat protein tegemea bao moja tu la 2mins
Tujitahid kufanya zoez hata for30mins itasaidia na kunywa maji meng kwa kuwa yanapotea sana kwenye zoez na kula vizur pia heshma ya ndoa itarud tusijidanganye na Supu ya pweza huku vitamb vnazd na km hufany zoez sexual desire inaongezeka ukipewa Papunch tu bao moja chal na utakuwa msalit wa mapenz kila saa umataman ila ukifanya zoez tamaa za kijnga znapotea kabisa hata mind yako inabadlika na ukipewa Papunch utaitendea haki
 
Back
Top Bottom