Uhusiano kati ya midori na vioja ndani ya nyumba

Panctuality

JF-Expert Member
Jun 11, 2019
726
1,044
Habari wakuu
Kumekuwa na kawaida katika nyumba mbalimbali iwe masebuleni au vyumbani midori ikionekana imesheheni, baadhi hupamba midori katika meza na makabati, wengine huthubutu hata kuwa na midori vitandani au katika viti (sofa) ikiwa lengo ni kukufanya ujisikie raha fulani hivi unapoongea na ndugu, jamaa au marafiki pale unapomshikashika huyo mdori iwe kwa kumvuta sikio, ulimi ama mkia, na kila mtu huwa na upendeleo wa aina ya mdori kuwa nao ndani baadhi hupenda midori ya ndege mbalimbali mpaka bundi,na midori ya wanyama mpaka fisi.

KISA: Wiki iliyopita jirani yangu alipatwa na sintofahamu yenye ushabiihano na midori,ilifikia wakati akilala husikia kama vitu vinacheza cheza sebuleni,mara chakula kuliwa na asiyejulikana n.k.

Siku moja akaamua kuchungulia akiwa ametoka chumbani na kuiona midori ipo bize na kuruka ruka,alipojitokeza sebuleni midori yote ilirejea sehemu yake.

Alipoirudisha midori hiyo alikoinunua ndio ukawa mwisho wa tatizo.

Naomba kujuzwa kuna uhusiano gani kati ya midori na mauzauza hayo.
 
Mkuu Asante.

kermit.gif
 
Kuna mwalimu fulani hivi wa injili nilisikiliza mahubiri yake miaka ya nyuma,aliwahi kuonya kuwa tuwe makini na midori pamoja na sanamu tunazonunua na kuziweka kama mapambo majumbani mwetu,alisema kuna zingine huwa zimebebeshwa roho fulani,alitoa mfano wa familia moja ilikuwa imenunua sanamu fulani hivi nje ya nchi na wakaipamba sebuleni kwao,basi nuksi za magonvi na kuugua kwa sana hazikuwa mbali nao,mpaka kuna siku baba mwenye nyumba akaishuku sanamu hiyo kuwa kinaweza kuwavm ndicho chanzo akaamua kuiondoa hiyo sanamu hapo nyumbani kwao na kwenda kuichoma moto mbali huko karibu na mto,kikiendelea kumnukuu mwalimu huyo wa injili alimalizia kusema m,huo ukawa ni mwisho wa hayo matatizo katika hiyo familia.
 
Uongo, Uzushi

JE UNAJUA KUWA MIDOLI UNAYOIJAZA NYUMBANI KWAKO INA MAJINI NDANI YAKE?​

Natumai uko salama ndugu msomaji na leo nataka nikujuze kuhusu midoli ambayo wengi huipenda kuwanunulia watoto wao,au kuijaza ndani kama mapambo


kwanza kabisa ndiyo maana hata mjumbe wa Mwneyez Mungu Mtume Muhammad s.a.w alikataza watu wasiweke midoli majumbani mwao pana hekima kubwa sana hapa isiyojulikana'

Mapepo/majini wao ni roho ambazo zinaweza kujigeuza na kuingia kwenye mwili wowote wanaoupenda na ndyo maana binadamu wengi pia huingiwa na majini hao,sasa miongoni mwa vitu ambayo majini hupenda kuingia kwenye maumbo hayo ni midoli, mapepo hupenda kukaa ndani ya misanamu na kufanya huo kama mwili na makazi yake.

ukitaka kuamini haya ninayoyasema kwa kujionea mweneyewe kwa macho yako fanya hivi

uwe unachukua mdoli wako na uwe unaliambia maneno haya huku unalitazama kwenye macho yake kwa siku 41 mfululizo utaona maajabu makubwa sana na usije ukashangaa unaihama nyumba kwa hofu.


sema maneno haya ''wewe blodmeli nibadilishie kinyago hiki''


ONYO
KAMA NI MUOGA,UNA MAGONJWA KM PRESHA,WASIWASI,NK USIJARIBU




 
Back
Top Bottom