Uhusiano kati ya Martin Luther King Jr & Malcolm X

Doswe Dossena

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
314
552
Habari..!!.
imani yangu inanipa ya kuwa JF kuna wasomi wengi wa Elim za juu.
Naomba tusaidiane katika hili mana wengine huwa tunapenda kujifunza ambavyo hakutuvisoma..

Martin Luther King Jr & Malcolm X.
hawa watu wawili ni watu mashuhuri sana duniani,
walikuwa ni wanaharakati wa kutetea haki za watu weusi waliokuwa na wakati mgumu mno, na wote wliuawa kwa kupigwa risasi nchini marekani.
na walikuwa vipenzi vya watu wengi ulimwenguni mpk kupelekea Malcolm X kuzunguka sehem kubwa ya dunia katika mialiko ya nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.

Kikubwa nilitaka tujuzane ni kwanini hawa wapendwa wawili walikuwa walishindwa kuendeleza harakati zao kwa pamoja ilihali walikuwa wanafanya kazi hyo zama moja(kipindi kimoja)..????
 
Wote wawili walikuwa watu wa dini mbili tofauti japo walipambana ktk vita ya pamoja.Luther king alikuwa Mkristo mrutherani Na Malcolm x alikuwa Ni Muislam kindakindaki.
 
Nchi hii ilibahatika kutembelewa (au kuishi) na wanaharakati mashuhuri wa zama hizo! Malcolm, Che Guevara! Walter Rodney! Mwl. Ayi Kwei Armah! Fidel Castro! Prof. Ngugi, Tata Madiba! (kutaja wachache)! Sijui tulikosea wapi mpk kuja kuwa na kizazi cha woga!
 
Wote wawili walikuwa watu wa dini mbili tofauti japo walipambana ktk vita ya pamoja.Luther king alikuwa Mkristo mrutherani Na Malcolm x alikuwa Ni Muislam kindakindaki.
Harakati za ukombozi zinaanzia kwenye ulimwengu wa kiroho ndipo zinakuja kwenye ulimwengu wa kimwili
 
Wote ni wana harakati wa kupigania haki za mtu mweusi Marekani. Wote walitumia imani ya dini ktk harakati zao. Malcolm Islam na Martin Christian. Tofauti kubwa waliyokuwa nayo ni njia za uwanaharakati wao tu. Malcolm akiamini ktk violence/force na Martin akiamini ktk peaceful ways. Kwa pamoja mtu mweusi ameitawala Marekani.
 
ila Malcolm X kabla ya kuwa muislam alikuwa ni mkristo na baba yake alikuwa ni kiongozi wa kanisa.
alikuja kuslimu baadae sana
Baada ya kubadili dini na kuwa Muislamu ndipo alipoanza harakati za ukombozi angalia filamu ya inaitwa Malcolm X ya mwaka 1994 utaelewa zaidi. Inaelezea historia yake kwa ufasaha sana.
 
Wote ni wana harakati wa kupigania haki za mtu mweusi Marekani. Wote walitumia imani ya dini ktk harakati zao. Malcolm Islam na Martin Christian. Tofauti kubwa waliyokuwa nayo ni njia za uwanaharakati wao tu. Malcolm akiamini ktk violence/force na Martin akiamini ktk peaceful ways. Kwa pamoja mtu mweusi ameitawala Marekani.
yap uk sahihi malcom alimini baada ya kuslimu kuwa wazungu wanatutega au kutulainisha kupitia ukristo hivyo haki inachelewa so kwake discussions na wazungu ilikuwa ngumu martin alikuwa akishare nao wazungu meza ya mazungumzo so hataki kifo chake malcomx wazungu mdo walimu assassinate na baadaye waliokuwa wafusi wa malcomx inaaminika nao walili revenge kwa king jr wakiamini yy ndo alihusika n mpango wa kifo cha malcomx niliwahi kuona makala nzuri sana ikiwaelezea hawa jamaa cnn....
 
Malcolm x na Martin Luther king Jr wote walikua after Black Nationalism. Tofauti zao mwanzo dini ilikua cio tatizo Malcolm aliamini dini ni personal business kama wewe ni muislam, mkristo dini yako iache nyumbani hapa tunapambana na matatizo yetu sote na tunapambana na adui yetu sote (whites). Kilichofanya Malcolm x amind ni dini maana Martin Luther alikua anafundisha watu weusi wasiwe na chuki waishi kwa upendo pamoja na watu weupe.
HAPO NDO MALCOM KUAMINI DINI INAYOWEZA KUWAKOMBOA WATU WEUSI NI UISLAM MAANA USISUBILI KUPEWA UHURU WAKO, KAMA WEWE NI WANAUME CHUKUA KWA NGUVU.
 
Uhusiano ni kwamba wote walikua ni Civil right leader, wote walikua ni wa kristo lakin baada ya Malcom kufungwa gerezani akakutana na sheik huko akapewa dawa , alivotoka akaslim na ndo mwanzo wa itikadi kali.
 
fredhampton.jpg
 
Nchi hii ilibahatika kutembelewa (au kuishi) na wanaharakati mashuhuri wa zama hizo! Malcolm, Che Guevara! Walter Rodney! Mwl. Ayi Kwei Armah! Fidel Castro! Prof. Ngugi, Tata Madiba! (kutaja wachache)! Sijui tulikosea wapi mpk kuja kuwa na kizazi cha woga!
Kizazi cha wajinga
 
Back
Top Bottom