hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
Daaaah
Huyu jamaa anaweza akawa ana ukwelindani yake.
Just saying.............
Huyu jamaa anaweza akawa ana ukwelindani yake.
Just saying.............
Sasa mimi sijui kupika,sijui ndio itakuaje hapo
duuuuuuh noma sana mwanamke kutokujua kupika
Ha haa naenda kusomea wallahbasi hata kupika chakula cha mzee hujui hahahhhhh kimoja chaliiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ha haa naenda kusomea wallah
Akuu.... Mimi hapana chepukaringunataka kuchepuka eh maana hiyo somea yako wapi
Hahaha... í ½í¸ í ½í¸Usije kimbia bure kama umeona mzimu
Option ya pili ni kuonja chakula chakoSasa mimi sijui kupika,sijui ndio itakuaje hapo